pato

Pato, also called juego del pato (Spanish pronunciation: [ˈxweɣo ðel ˈpato], literally "duck game"), is a game played on horseback that combines elements from polo and basketball. It is the national sport of Argentina since 1953.Pato is Spanish for "duck", as early games used a live duck inside a basket instead of a ball. Accounts of early versions of pato have been written since 1610. The playing field would often stretch the distance between neighboring estancias (ranches). The first team to reach its own casco (ranch house) with the duck would be declared the winner.
Pato was banned several times during its history because of the violence—not only to the duck; many gauchos were trampled underfoot, and many more lost their lives in knife fights started in the heat of the game. In 1796, a Catholic priest insisted that pato players who died in such a way should be denied Christian burial. Government ordinances forbidding the practice of pato were common throughout the 19th century.
During the 1930s, pato was regulated through the efforts of ranch owner Alberto del Castillo Posse, who drafted a set of rules inspired by modern polo. The game gained legitimacy, to the point that President Juan Perón declared pato to be Argentina's national game in 1953.In modern pato, two four-member teams riding on horses fight for possession of a ball which has six conveniently-sized handles, and score by throwing the ball through a vertically positioned ring (as opposed to the horizontal rim used in basketball). The rings have a 100 cm (3.3 ft) diameter, and are located atop 240 cm (7.9 ft) high poles. A closed net, extending for 140 cm (4.6 ft), holds the ball after goals are scored.
The winner is the team with most goals scored after regulation time (six 8-minute "periods").
The dimensions of the field are: length 180 to 220 m (196.9 to 240.6 yd), width 80 to 90 m (87 to 98 yd). The ball is made of leather, with an inflated rubber chamber and six leather handles. Its diameter is 40 cm (15.7 in) handle-to-handle and its weight is 1050 to 1250 g (2.3 to 2.8 lbs).
The player that has control of the pato (i.e. holds the ball by a handle) must ride with his right arm outstretched, offering the pato so rival players have a chance of tugging the pato and stealing it. Not extending the arm while riding with the pato is an offense called negada (refusal).
During the tug itself, or cinchada, both players must stand on the stirrups and avoid sitting on the saddle, while the hand not involved in the tugging must hold the reins. The tug is usually the most exciting part of the game.
Pato is played competitively and also by amateurs, mostly in weekend fairs which usually include doma (Argentine rodeo). Its status as the national game of Argentina has been challenged by association football, which is much more widespread. While virtually the entire population of the country are avid football fans and players, it is estimated that 90% of Argentines have not seen a pato match, and there are only a few thousand players of the game. In light of this, a bill was introduced in the Argentine legislature in 2010 to elevate football to the status of national sport and reduce pato to a traditional sport. Defenders of pato's official status point out that it is a completely indigenous game, while football was imported.
Pato is similar to the game of horseball played in France, Portugal, and other countries.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Zijue nchi sita tajiri katika Afrika wakati Pato la jimbo la California linazidi pato lote la Afrika

    Hii ni orodha ya nchi sita zenye pato kubwa katika Afrika na nchi maskini sana katika Afrika. https://a-z-animals.com/blog/richest-countries-in-africa-today-ranked/ Did you know that the highest state Gross Domestic Product (GDP) in the United States measures greater than the highest country...
  2. Suley2019

    Dkt. Mwigulu: Pato la kila mtu nchini lafikia milioni 2.8

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021. Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni...
  3. I

    The Top 10 African Countries with the Best GDP Data Quality Ratings in 2023: An Overview by World Economics

    The legitimacy of data, regardless of scale or function cannot be overstated. It is paramount that accurate data is made available to the public and primary stakeholders, in order for development to take place, particularly when it comes to public data. ======= Business Insider Africa...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mary Masanja: Serikali Kuboresha Huduma za Utalii ili Kukuza Pato la Taifa

    Naibu Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mary Masanja amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imejipanga kuboresha huduma kwa watalii katika nyanja mbalimbali ili kuvutia watalii wengi zaidi ikiwa ni mkakati mahsusi wa kuwafanya watalii ho kuongeza siku za kukaa nchini na...
  5. NetMaster

    Mbinu zipi wamezitumia Wakinga kuwa wafalme Kariakoo?

    Hapo zamani wafanyabiashara wengi wakifika kariakoo kujumua / kufunga mizigo kwajili ya kwenda kuuza mikoani ama nchi zilizotuzunguka walifikia maduka makubwa ya wachaga na wapemba ukiachana na wenye asili ya asia, Kwa sasa hali ni tofauti maana jamii ya wakinga wanamiliki share kubwa ya soko...
  6. Replica

    Je, wajua? Pesa iliyotoa Qatar kuandaa Kombe la Dunia ni pato la Taifa Tanzania kwa miaka 3.5

    Qatar nchi yenye km za mraba 11,000 na watu wapatao milioni 3 imeandaa Kombe la Dunia lililotumia gharama zaidi tangu Dunia iumbwe. Zaidi ya dola bilioni 220 zimetumika kwenye maandalizi mpaka kufanikisha Kombe la Dunia huku mapato ya kiuchumi yakitarajiwa dola bilioni 7.5 pekee mpaka kuisha...
  7. N

    Samia Housing Scheme itaongeza pato la Taifa

    Nyumba la Taifa (NHC) ujulikanao Samia Housing Scheme (SHS) wa nyumba 5000 pekee unatarajiwa kutoa ajira zipatazo 26,400(direct 17,600 na indirect 8,800), taarifa hiyo imetolewa na Meneja Habari na Uhusiano wa NHC. Amesema utakuza mapato ya serikali mfano mradi wa SHS 5000 unatarajiwa...
  8. MWANAHARAMU

    SoC02 Ukahaba na ukuzaji wa pato la Taifa

    Nani asiyefahamu hii ni moja ya biashara kongwe duniani ambayo imeshindwa kufutika toka dahari. Karne mpaka karne mamlaka mbalimbali duniani zilijaribu kuitokomeza aina hii ya biashara ila zikaambulia patupu, hivyo kufanya ishamiri licha ya marufuku ya serikari mbal;imbali ulimwenguni. Tanzania...
  9. Bemendazole

    Kama pato lako ni chini ya milioni 3 jenga ghorofa la Kinyakyusa ukiwa na ndoto ya kujenga ghorofa kwa sasa!

    Ujenzi wa sasa ni gharama, Ukitaka ujenge haraka, jenga nyumba ndogo. Ili iishe haraka, uhamie. Tumetembelea maeneo mengi. Nimeona, wengi waliojenga majumba makubwa, wameishia njiani. Endapo una ndoto ya kujenga ghorofa na kipato chako NET ni chini ya milioni tatu kwa mwezi, sikushauri. Ila...
  10. kavulata

    Mauzo ya gesi nje ya nchi ya Tanzania yakiongezeka pato la serikali kwenye gesi litaongezeka pia?

    Mkataba wetu na mwekezaji kwenye gesi unasemaje? Baada ya vikwazo vya kuuza gesi kutoka Urusi bila shaka hata gesi yetu itapata soko kubwa huko nje ya nchi, hasa Ulaya. Je, hii itakuwa na manufaa gani kwa pato la taifa?
  11. Meneja Wa Makampuni

    Kwanini pato la Taifa (GDP) la Tanzania linashika nafasi ya 9 Afrika wakati pato la kila Mtanzania linashika nafasi ya 31

    Pato la Taifa (GDP) ni thamani ya soko ya bidhaa na huduma zote za mwisho kutoka kwa taifa katika mwaka fulani. Nchi za Afrika zimepangwa kulingana na data kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Takwimu zilizowasilishwa hapa hazizingatii tofauti za gharama ya maisha katika nchi mbalimbali, na...
  12. M

    Pato la Taifa ni GNP (Gross National Product) au GDP (Gross Domestic Product)?

    Hamjambo je tunao hapa wataalamu wa uchumi? Pato la Taifa ni GNP au GDP? Nominal - itakuwa kinaganaga? Ufafanuzi kwa Kiingereza: GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI) : total domestic and foreign output claimed by residents of a country, consisting of gross domestic...
  13. Kasomi

    Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP) 2022

    Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP) 1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion 2. Mwanza - sh 10.95 Trillion 3. Mbeya - sh 8.3 Trillion 4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion 5. Morogoro - sh 7.1 Trillion 6. Tanga - sh 6.9 Trillion 7. Arusha - sh 6.9 Trillion...
  14. T

    Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

    Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza. Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine. Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga...
  15. mahunduhamza

    Hali halisi ya pato halisi (GDP) la Tanzania

    Katika kipindi cha mwaka 2001-2010 pato halisi la Tanzania(GDP) limeonyesha kiwango cha wastani wa kukua cha 7%. Ukuaji ulishuka mwaka 2009 na kuwa 6.0%, hasa kutokana na kudorora sana kwa ukuaji wa uchumi duniani. Hata hivyo ulirudia kwenye 7% mwaka 2010. Sekta zilizoonyesha viwango vya...
  16. Impimpi

    SoC01 Miradi ya nyumba nafuu za kiutamaduni na kiasilia itaimarisha utalii na pato kwa shirika la nyumba na real estates companies na Taifa kwa ujumla.

    Sio siri kuwa miradi mingi ya nyumba za makazi na biashara hushindwa kuliteka soko kwa Watanzania wengi hasa wa kipato cha chini na badala yake nyumba nyingi zimebaki tupu bila wapangaji ama wamiliki ( wanunuzi) kwani miradi hio hukosa uhalisia wa maisha ya watu wa chini. Makampuni hudhani kuwa...
  17. D

    SoC01 Jinsi ya kuboresha Sekta ya Afya ili kuongeza pato la nchi

    Tanzania ni nchi ambayo pato lake bado lipo katika ukuaji japokuwa tupo katika uchumi wa kati ila tunasafari ndefu ya kufika pato la juu. Hili tutaweza kulifikia endapo nchi na wananchi wake tukawekeza nguvu kasi ambayo itazaa matunda mazuri kwa miaka ijayo. Leo ninawazo zuri ambalo kwa namna...
  18. KIKOTI12

    SoC01 Vichocheo vya ukuaji wa Uchumi wa Tanzania yetu

    Uchumi hupimwa kwa ongezeko la Pato la ndani la nchi ambalo nchi inakuwa umepata kwa mwaka mmoja. Kuna sababu nyingi zinazopelekea ongezeko Hilo. Kwenye nchi nyingi hupimwa pia kwa jinsi gani watumiaji wa bidhaa wananunua na uwekezaji wa bidhaa. Kama mtumiaji anauwezo wa kununua mahitaji yake...
  19. Opportunity Cost

    Top ten ya Mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa

    Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha...
  20. S

    Pato la Taifa linapatikanaje?

    Wakuu naomba mnijuze juu ya kitu kinachoitwa pato la taifa huwa linahesabiwa vipi. Je ni majeti yetu? Madeni na makusanyo ya Serkali? Natanguliza shukrani. ======= Mchango wa Mdau
Back
Top Bottom