Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo leo Juni 11, 2026 amesema wastani wa Pato la Taifa kwa Mtu umeongezeka kwa asilimia 7.4 na kufikia shilingi 3,544,124 (dola 1,390) mwaka 2025, ikilinganishwa na shilingi 3,299,637 (dola 1,264) mwaka 2024.
Akiwasilisha Bungeni taarifa ya hali...