Ibra Chenza akituringishia Passport yake ilivyochafuka

Ibra Chenza akituringishia Passport yake ilivyochafuka

Adryz

Senior Member
Joined
Dec 7, 2025
Posts
192
Reaction score
523
Mwamba mfanyabiashara maarufu Tanzania wa mtandanaoni Ibrahim Chenza the king of Oviedo kajiposti kwenye ukurasa wake wa Facebook akituringishia mihuri na visa kadhaa kwenye passport yake.

Video hiyo inamuonesha kakaa kwenye waiting lounge uwanja wa ndege huku akifungua kila kurasa za passport kwa madaha.

Dogo adriz ana passport lakini hajawahi kusafiri hata nje ya Dar.

Hongera zake.



adriz de mbusii
 
Mwamba mfanyabiashara maarufu Tanzania wa mtandanaoni Ibrahim Chenza the king of Oviedo kajiposti kwenye ukurasa wake wa Facebook akituringishia mihuri na visa kadhaa kwenye passport yake.

Video hiyo inamuonesha kakaa kwenye waiting lounge uwanja wa ndege huku akifungua kila kurasa za passport kwa madaha.

Dogo adriz ana passport lakini hajawahi kusafiri hata nje ya Dar.

Hongera zake.

View attachment 3597073

adriz de mbusii
Haka kajamaa ni kweli Jana hela ila nakaona kama kashamba Fulani hivi...ana ule ushamba wa kitoto sana
 
Back
Top Bottom