Francis: Pray for me (Spanish: Francisco – El Padre Jorge, lit. 'Francis – Father Jorge') is a 2015 Argentine film, starring Darío Grandinetti as Pope Francis. The film is based on the 2013 book, Pope Francis: Life and Revolution, which was written by Francis' close friend Elisabetta Piqué who is also a correspondent for the Argentine newspaper, La Nación in Italy and the Vatican since 1999. The film was released as Papa Francisco: The Pope Francis Story in the Philippines.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki mwenye miaka 86, alilazwa Machi 29, 2023 katika Hospitali ya Gemelli Polyclinic baada ya kuripotiwa kuwa na matatizo ya kupumua ambapo alianza matibabu ya Dawa za 'Antibiotic'.
Maafisa wa Vatican wamesema #PapaFrancis atakuwa katika Uwanja wa Mtakatifu Petro kwa...
Taarifa kutoka Vatican zimeeleza kuwa Papa alianza kupata shida ya kupumua na kukimbizwa Hospitali kwaajili ya vipimo lakini Madaktari wameshauri abaki kwa uangalizi zaidi.
Kwa mujibuwa taarifa, Papa amelazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha The Gemelli mjini Roma, ambako atahitajika kukaa...
Papa anadai kuwa takwa la mapadri kutooa lilikuwa ni la muda tu(Takwa hilo lilianza karne ya 11). Anasema hakuna utata wowote iwapo watawa wataoa. Anadai mapadri wa kanisa la mashariki wanaoa na hakuna shida yoyote. Anafanya mpango kureview suala hilo.
======
In a new interview, Pope Francis...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kusitishwa kile alichokiita vita vya "kipuuzi na kikatili" nchini Ukraine.
Wito huo ameutoa Jumatano mjini Vatican, katika hadhara yake ya kila juma, ikiwa ni kipindi kifupi kabla ya kutimia mwaka mmoja tangu...
Juzi kwenye Uwanja wa Taifa (Stade des Martyrs) Kinshasa wananchi walimzomea Rais Felix Tshisekedi mbele ya Papa Francis wakiimba nyimbo ambazo zinasema (Fetshi oyebela mandat eseli) wakiwa na maana kuwa Rais Fatshi utawala wako umefika mwisho
Huku UN (umaja wa kimataifa) walitoa kauli kuwa...
Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani ambaye yuko katika ziara inayomalizika Februari 3, 2023, amesema Ukatili wanaofanyiwa Wananchi kimevuka mpaka na ni lazima kikomeshwe.
Kauli hiyo inafuatia Wahanga wa Machafuko ya Kivita wengi wao wakiwa wamekatika viungo vya mwili, kupita mbele ya...
Hello Wadau.
Papa Francis wa RC ya Vatican ameupiga mwingi kwa kuunga mkono ushoga na kusema mashoga siyo wahaliifu, na kwamba ni wana wa Mungu pia.🙄🙄
Haijaeleweka mara moja ikiwa huu ndiyo msimamo wa Kanisa Katoliki au ni maoni binafsi ya Papa Francis.
Commets ziwe fupi fupi tafadhali.
Video...
Katika taarifa yake, Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki ameomba watu kumkumbuka katika Sala Maalumu ya kumtakia afya njema #PapaEmeritusBenedict ambaye alijuzulu Februari 2013.
Benedict ambaye jina lake halisi ni Joseph Ratzinger alitangaza kuwa hali yake kiafya imetetereka na kuamua kuachia...
Akitoa salamu zake wakati wa kusherekea Sikukuu ya Krisimasi amesema hali hiyo ndiyo inachafua Dunia, kicha ya kutotaja kwa majina lakini inaaminika alikuwa akizungumia vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
"Matukio ya vita ni mengi, waathirika wakubwa ni wanyonge na walio katika...
Kiongozi huyo wa Kanisa la Katoliki lenye Waumini zaidi ya Bilioni 1.3 alisaini Barua ya Kujiuzulu baada tu ya kuteuliwa kushika Wadhifa huo na inasubiri tu augue kiasi cha kushindwa kutekeleza Majukumu yake ili aondoke Madarakani.
Papa Francis aliyetimiza miaka 86 Desemba 17, 2022 aliikabidhi...
Papa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).
ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God...
Katibu Mkuu wa Vatican, Kadinali Pietro Parolin, kwa niaba ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ametuma salamu za rambirambi kwa watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia ajali mbaya ya ndege ya Precision Air iliyosababisha watu 19 wapoteze uhai.
Papa Francis ametoa...
Papa Francis amekiri kwamba pornography ni tatizo kubwa kwani hata Mapadri na Sisters ni wapenzi wakubwa sana wa kuangalia hizo video.
Papa amesihi viongozi hao wa dini kuacha kuangalia ngono za mitandaoni kwani hapo ndio njia ya shetani kuwaingia.
=====/
Pope Francis has warned priests and...
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.
Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.
========
Jana Alhamis Papa Francis amesema...
Papa Francis Amesema Anaweza Kuachia Cheo Chake Kutokana Na Kusumbuliwa Kiafya Hasa Goti Lake
Ikiwa Atafanya Hivyo Basi Atafuata Nyayo Za Mtangulizi Wake Papa Benedict Ambaye Alipojiuzuru Nafasi Hiyo Kwasasa Anaishi Vatican
Ingawa Papa Francis Tangu Aapishwe Amekuwa Akisema Endapo Kazi...
Papa Francis ameomba radhi kwa watu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo na Sudan Kusini kwa kusitisha safari yake ya kufanya ziara katika nchi hizo kutokana na matatizo ya kushindwa kutembea.
Kiongozi huyo wa Vatican alitangaza kusitisha ziara yake hiyo ya Julai 2-7, 2022 kutokana na tatizo la...
Orodha ya walioteuliwa imeambatanishwa
Jan-Marc Aveline, archbishop of Marseille, France
Peter Okpaleke, bishop of Ekwulobia, Nigeria
Leonardo Ulrich Steiner, archbishop of Manaus, Brazil
Filipe Neri Antonio Sebastao di Rosario Ferrao, archbishop of Goa and Damao, India
Robert Walter McElroy...
Baada ya tukio la watoto 19 kuuawa kwa kufyatulia risasi Texas, Marekani, viongozi mbalimbali Duniani wameomboleza vifo hivyo wakiongozwa na Papa Francis ambaye amesema amesikitishwa na mauaji hayo.
“Nimeumizwa sana na mauaji haya katika shule ya msingi, nawaombea watoto hao na watu wazima...
Picha ya Maktaba, Rais Vladimir Putin (kulia) alipokutana na Papa Francis, Vatican mnamo Julai 4, 2019.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amesema kuwa aliomba kukutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin ili kumshawishi kumaliza vita dhidi ya Ukraine lakini hajapata majibu.
Papa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.