oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Mhariri Mkuu Clouds, Joyce Shebe: Mazingira ya Oktoba 29 hayakuwa rafiki kwa wanahabari

    Mwenyekiti wa zamani wa TAMWA na Mhariri Mkuu wa Clouds media Joyce Shebe amebainisha namna Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari kwa ujumla wake vilivyopata wakati mgumu kufanya kazi Oktoba 29 mwaka huu na siku zilizofuata, kufuatia vurugu zilizotokea siku hiyo ambazo zilisababisha uharibifu...
  2. Chivundu

    Naweka rekodi sawa: Wafuatao ni wastaafu waliokuwa na madaraka na viapo vya utii na siri, wakati wa Mauaji ya Oktoba 29

    Naenda moja kwa moja kwenye hoja yangu ya kichokozi. Nimeona kama huu "msala" kuna watu wanataka kujitoa au kujifanya hawakuhusika yaani wame "mute" huku kadhia yote akiachiwa "Ma Mkwe". Ni kama "Ma Mkwe" ndio kaachiwa alinywe peke yake, wakati wapo pia waliokuwa wanapanga nae mauaji yale...
  3. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Majibu RC Chalamira kuhusu Kuzimwa kwa Mtandao Oktoba 29

    Majibu ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamira Akijibu kuhusu Kuzimwa kwa Mtandao Oktoba 29, Akiongea kwenye mkutano na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo December 05,2025.
  4. Ghayo El Yehudi

    PostGE2025 Mange alituaminisha kuwa Oktoba 29 kuwa Jeshi na polisi wote wapo kwetu sisi tutoke tu kisha wao wamalize

    Mzuka wana Jamvi ? Nakumbuka siku karibia na October 29 Mange alituhakikishia kuwa tusiliangushe Jeshi na kwamba vyombo vya usalama Jeshi na polisi hawapo pamoja na Rais Samia na wanatumia message maofisa wengi na Askari wakimtaka awaaambie Watanzania watoke kwa wingi wasipoteze hii nafasi wao...
  5. R

    PostGE2025 RC Makame: Kilichofanyika Oktoba 29 kiliratibiwa kuharibu uchaguzi na kuipindua serikali

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe Jabiri Omari Makame amesema kile kilichofanyika wakati na baada ya siku ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Oktoba 29, 2025 kilikuwa ni fujo, vurugu na njama za kupangwa za kuharibu uchaguzi na kuiangusha Serikali ya Tanzania Amebainisha hayo wakati wa Kikao kazi na watumishi wa...
  6. JanguKamaJangu

    PostGE2025 TCRA: Hatukuzima intaneti Oktoba 29, 2025

    Wakati kukiwa na malalamiko ya wananchi na jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua zilizochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuzima intaneti intaneti siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025, mamlaka hiyo imekanusha ikisema, “TCRA haikuzima intaneti bali ilichukua hatua za...
  7. funaku

    Tuwatambue WAPANGAJI, WASHITIRI na WATEKELEZAJI wa jaribio ovu la Oktoba 29, 2025

    Katika hotuba yake kwa wazee wa Dar esSalaam Rais samia amegusia juu ya lilioitwa "Jaribio ovu" dhidi ya Serikali halali ya Tanzania ambalo lilifanyika siku muhimu ya uchaguzi oktoba 29 - 2025. Ametaja makundi matatu katika mpango huo 1- Wapanga Mipango(Wapo nje) 2- Washitiri/Wafadhili(Wapo...
  8. Dam55

    PostGE2025 Kwa Kauli zilizotelewa leo na Rais Samia, Tume ya uchunguzi ya 29 Oktoba ivunjwe mara moja haina maana tena kuwepo

    Kwa matamshi yake ya leo ni dhahiri mambo yote yalio tokea 29 Oktoba yalikuwa na baraka zote kutoka kwa Rais na watendaji wake. Hivyo basi tume iliyoundwa kamwe haiwezi kuwa na majibu yenye kuleta furaha na matumaini kwa raia kwamba wahusika wa mauaji ya 29 October watakamatwa. Tume ivunjwe...
  9. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Leo wazi kabisa Samia anajisifia kwa alichokifanya oktoba 29 ilikuwa ni sahihi kwa watanzania

    Katika hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoitoa leo Disemba 2, 2025 katika mkutano wake na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, Samia Suluhu Hassan emeonyesh wazi kuwa kilichotokea oktoba 29 kilipangwa na serikali na kilikuwa ni sahihi ikiwa ni njia ya kuwazuia wananchi...
  10. M

    PostGE2025 Rais Samia: Walioratibu fujo Oktoba 29 walitaka watanzania kuwa makafara kwa malengo yao ya kisiasa yaliyojaa ubinafsi

    Rais Samia amesema vurugu zilizotokea Desemba 29 na kuendelea siyo desturi wala utamaduni wa Watanzania. Ameongea kuwa inatia uchungu kuona wachache walioratibu fujo zile wakitaka watanzania wenzao kuwa makafara kwa malengo yao ya kisiasa yaliyojaa ubinafsi tofauti na siasa zilizopo, lakini kwa...
  11. B

    PostGE2025 Tume ya kuchunguza mauaji ya oktoba 29, chini ya Jaji Chande iwe wazi live mubashara

    Utamaduni wa Tume kufanya kazi kwa siri haufai, hasa ikiwa inafanya kazi kuichunguza serikali Tume ya Jaji Chande kuhusu yaliyotokea Oktoba 29, 2025 hadi November 3 , 2025 inapaswa kuwa wazi mubashara umma ifuatilie katika vituo vya televisheni, radio na YouTube. Ila toka hatua ya kwanza...
  12. BIG BROTHER ALEX

    PostGE2025 Oktoba 29 na fursa ya utajiri wa nje nje

    Tengeneza jezi zako, andika , TANGANYIKA, ingiza mtaani Fanya BIASHARA ziuze bei chee TU achana na Simba na yanga we uza bei che vi faida kidogo TU ndani ya mwaka mmoja Yani 2026 TU, piga hesabu yako vizuri. Masoko Vyuo vikuu, mtandaoni ndo baba lao, Haya tajirika na wewe, hakikisha Kuna chapa...
  13. Common Folk

    PostGE2025 Fr. Kitima: Tume ya uchunguzi haina maana kama hatujakiri watu waliuawa tena kwa risasi za moto. Nani aliwaua?

    "Katika kuonesha hilo mnaloliita maridhiano, lazima kwanza kutikiri watu waliuawa na risasi za moto na nani? Swali hilo likijibiwa ndiyo hapo tutahitaji tume huru ya uchunguzi ambayo haihusiki na anayeshukiwa kwamba alihusika kuua" - Padre Charles Kitima Pia Soma: Rais Samia aunda Tume ya...
  14. DuaZaMama

    PostGE2025 Padri Kitima: Walioua watu Oktoba 29 wawajibike wenyewe au wawajibishwe

    “Tunachosikitika mpaka sasa na wanachosikitika Watanzania mpaka sasa, wanachoumia Watanzania mpaka sasa, kinyume na mila na desturi za makabila yote ya Tanzania mpaka sasa ni kutokukiri ukweli kwamba waliouawa wameuawa na nani?.. na kama aliyeua hafahamiki ilikuaje vyombo vinavyozuia mauaji...
  15. BigTall

    PostGE2025 Matukio ya Uchaguzi Oktoba 29, yalivyoacha kovu la kisaikolojia: Nani wa kutoa msaada?

    “Tulibebeshwa miili ya marehemu waliopigwa risasi… hali hii imetuathiri kisaikolojia, tusaidiwe.” Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025 umeripotiwa kuambatana na matukio mengi ambayo kwa raia wengi yalikuwa mapya na ya kutisha. Simulizi kwenye mitandao ya kijamii na mitaani zimeacha huzuni...
  16. Just Pray

    PostGE2025 Mwigulu: Wanaharakati wanalipwa kuchochea vurugu. Juzi kuna kijana amepewa bilioni 5

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba , ametangaza madai mazito akieleza kuwa kuna baadhi ya wanaharakati wanaolipwa ili kuchochea vurugu na kuzusha taharuki katika maeneo mbalimbali nchini. Akihutubia leo Jumapili, Novemba 30, 2025, katika mkutano wa hadhara...
  17. Just Pray

    PostGE2025 Amos Makalla: Hatutotaka tena vurugu za Oktoba 29, zitokee Tena Arusha

    "Hatutotaka tena vurugu hizo za tarehe 29, zitokee Tena katika mkoa wetu wa Arusha. Tumejipanga, tutahakikisha tunawalinnda watanzania, tunawalinda wananchi, tunawalinda watalii" Amos Makalla, mkuu wa mkoa wa Arusha akizungumza mbele ya waziri mkuu Mwigulu Nchemba leo Novemba 30, 2025
  18. Just Pray

    PostGE2025 Amos Makalla: Oktoba 29 hakukuwa na maandamano, kulikuwa na vurugu

    Wameendelea kushupaza shingo, Mbele ya Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, Mkuu wa mkoa wa Arusha Amos Makalla anasema kile kilichotokea tarehe 29 haikuwa maandamano bali vurugu. "Katika taarifa yangu niliyokukabidhi, nimeeleza athari za vurugu za tarehe 29, katika taarifa yangu kuanzia page ya kwanza...
  19. Just Pray

    PostGE2025 Mzee wa Upako: Nimeumia sana waumini wangu walipoteza maisha Oktoba 29

    Antony Lusekelo maarufu kama Mzee waupako afunguka mazito baadhi ya waumini wake kupoteza maisha kwenye maandamano ya October 29. "Niwape pole sana watanzania hakuna mtu ambaye hajaguswa na jambo hili, mimi mwenyewe kuna wanaumini wangu walipigwa risasi Kimara"
  20. Just Pray

    PostGE2025 Video: Polisi ilimwachia akakikimbia, akapigwa Risasi ya kwanza ikamkosa, ikapigwa Risasi ya pili ikampata akaanguka na kufariki

    Kutoka kwenye ukurasa wa Sativa mtandao wa X; Ushahidi mwingine wa POLISI na vyombo vya USALAMA wakiua watanzania. Huyu ni kijana ambae alikamatwa 29 oktoba siku ya maandamano huko TUNDUMA MKOANI SONGWE. Hapo alishushwa kwenye Gari la Polisi baada ya kupigwa sana na kuambiwa AKIMBIE...
Back
Top Bottom