oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. October 2pm

    Tetesi: Kuna mpango katili wa Makanisa kuyaunga mkono maandamano wiki la mwisho kuelekea tarehe 29

    Mtashindana sana lakini hamtashinda. Taarifa iliyopo ni kuwa juma la mwisho kuelekea tarehe 29 Makanisa yataunga Mkono Maandamano. Mpango huo ukiongozwa na Kanisa kuu, moja la mitume lililoko hapa nchini. Watatumia kutekwa na kuumizwa kwa baadhi , viongozi wa kanisa, na kufungwa kwa baadhi ya...
  2. Carlos The Jackal

    GE2025 Oktoba 29 tujitokeze Kwa Wingi, Maandamano yataongozwa na 'Wazalendo' kwa mujibu wa Gwajima na Tesha , Masaa 24 ya Mwanzo ndio Nuru

    Ole Kwa Wahuni na Watekaji wote , Ombeni hii siku isiwakute Tanzania !!. Mmeteka watu, mmeua watu kwa faida zenu za kisiasa na Kifisadi. Kama mlifikiri Maandamano ni Maneno ya Watanzania ya Mitandaoni ,SAFARI HIII IMEKULA MWENU.!!. Tumeamua kukubali Kufa watu 50-100 , lakini TUNAWAFURUSHA ...
  3. W

    POTOSHI TEC kweli imebariki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29

    Wakuu kuna hizi media nimeona zimeshupaza shingo kudai Baraza la maaskofu katoliki Tanzania katika waraka wao walioutoa Oktoba 14, 2024 wamebariki uchaguzi. Je, ni kweli?
  4. Kizibo

    GE2025 Nashauri yafuatayo kuelekea maandamano ya Oktoba 29/2025

    Haina haja ya kusalimia. Inatia hasira sana kuona watanzania hatuna la kufanya juu ya tunayofanyiwa na watawala. Kuelekea maandamano ya tarehe 29/10/2025, nashauri yafuatayo. 1 LENGO / MALENGO YA MAANDAMANO YAWE MAHUSUSI NA YANAYOPIMIKA. (Measurable goal(s) Tunaenda kuandamana ili...
  5. Matovu Godfrey

    GE2025 OKTOBA 29 tunatoka

    INUKA TANZANIA! 🇹🇿 AMKA TANZANIA! TANZANIA HURU! SAMIA LAZIMA AENDE! ACHA UTEKAJI MIMI MTANZANIA! POLE POLE BURE! TUNDU LISU BURE! HAKUNA MAREKEBISHO HAKUNA UCHAGUZI! #Oktoba29Tunatoka 📍 Watanzania lazima wainuke na kupigania uhuru wao, dhuluma lazima iishe 💪🏿
  6. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Kibati kikipasuka, oktoba 29 tuko nao

    Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewatoa hofu Watanzania kwamba, wasiogope kwenda kupiga kura Oktoba 29, 2025, kwamba yeye ni Amiri Jeshi Mkuu wa nchi na kibati kikipasuka wako nao. Dk. Samia ametoa kauli hiyo leo Oktoba 10, 2025, katika mkutano wa kampeni...
  7. K

    GE2025 Kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kutafanya kazi iwe nyepesi zaidi

    Kazi ya kuondoa uovu nchini mwetu itakuwa nyepesi zaidi, na itamalizika kwa haraka sana na kwa usalama zaidi kwa kila mtu iwapo waTanzania, popote walipo ndani ya nchi hii watajitokeza kukataa uchafuzi uliopangwa kufanyika siku hiyo. Hivi vitisho vingi vinavyo tolewa na hao wanaojiita "Amiri...
  8. C

    GE2025 Sioni dalili zozote Oktoba 29 zaidi ya kutiki na kusubiri uapisho

    Huo ndio ukweli usio na chembe ya unafiki na anaye nipinga nipo tayari niweke naye 2m mezani
  9. Lord Denning

    Kazi ni rahisi sana Oktoba 29

    Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba. Siku hiyo kazi ni rahisi sana Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu. Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu...
  10. Carlos The Jackal

    Maandalizi yamekamilika 100%, kuendelea Kuteka Mapdre wa KATOLIKI, kumteka Polepole ni kuzidisha Hasira za Waandamanaji Oktoba 29

    Kila siku nawaambia humu, Hawa washenzi Chochote wanachoweza kukipanga ni rahisi kukisia nini itakua mwitikio wako. Hawana intellectual Capacity ya kudeal na masuala mazuri mazito. Utendaji wao wa kazi unategemea -Nguvu -Pesa -Na kuchomeshwa kama ilivyokúa Kwa Polepole Polepole Amekua...
  11. Mafyangula

    GE2025 Machifu Simiyu: Wananchi jitokezi kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Machifu wa Mkoa wa Simiyu wamewataka Wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua Viongozi wanaowataka. Wamesema amani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania, hivyo wananchi wote wanapaswa kuilinda.
  12. Mafyangula

    GE2025 Mkomi: Watumishi wa umma tujitokeze kwa wingi siku ya Oktoba 29 kwenda kupiga kura

    Hapa naweza kusema ni kama imetoka oda fulani kwa watumishi wote wa Umma. Na kuwaza kwa ndani kabisa inawezekana ikawekwa lokoo watakapiga kura na wasio piga kura halafu wasiopiga kura kitawalamba! ================= Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
  13. tonicimmobility

    Watu wanapotekwa hamuimarishi ulinzi ila siku ya uchaguzi mnasema mtaimarisha ulinzi!

    Kesi za watu waliotekwa na hao watekaji mnayo lists nzima maana wanafahamika ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote, watu wanafanyiwa vitendo vya kinyama na wafanya vitendo hivyo mnawafahamu ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote. Mnakazana kuwazima watanzania wasizungumzie ukweli, mnawekeza nguvu...
  14. tonicimmobility

    GE2025 Na hawa ndio vijana wa kiTanzania watakaoandamana Oktoba 29?

    Kanda ya ziwa bado safari ni ndefu, sijui wamepatwa na nini Wananchi wa Buhongwa Wilayani Nyamagana Mkoani Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi pembezoni mwa barabara, tayari kwaajili ya kumlaki na kumsikiliza mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya...
  15. R

    GE2025 DC Petro Magoti: Oktoba 29 mkapige kura, wale wanaotaka kuandamana mtuachie sisi, hakuna hata mtu atasema fyoo

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amewahimiza wananchi kutoka Oktoba 29, 2025 kwenda kupiga kura, pia ametoa onyo kwa wale wanaodai kuandamana siku hiyo kuwa watashughulikiwa akisisitiza kwenye Wilaya yake ya Kisarawe hakuwezi kuwepo maandamano "Hakuna hata mtu atasema fyoo tarehe 29...
  16. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Ukiamka mgonjwa oktoba 29 mtaarifu mjumbe ufanyiwe mpango ukapige kura

    Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema kwa mtu atakayeamka mgonjwa siku ya kupiga kura Oktoba 29, 2025 atoe taarifa kwa mjumbe wake ili afanyiwe utaratibu. Samia amebainisha hayo leo Alhamisi, Oktoba 2, 2025, katika...
  17. 888I

    Oktoba 29: Kutiki au Kutikisa?

    Siku zinayoyoma kwa kasi kuelekea Oktoba 29, 2025. Kuna pande mbili kuu zenye mitazamo tofauti kabisa kuhusu nini hasa kinapaswa kutokea siku hiyo. Je, itakuwa siku ya kutiki au kutikisa? Pande zote mbili zina hoja zao. Upande mmoja unaamini kwamba suluhisho la changamoto za taifa letu lipo...
  18. Abraham Lincolnn

    GE2025 Hakuna mtu mwenye akili timamu isipokuwa wale wanaonufaika moja kwa moja na asali anayeweza kupoteza muda wake kupiga kura oktoba 29

    Ni kichaa, Mtu asiye na elimu, mjinga ma mbinafsi (hapa nawazungumzia wale wanaoonjeshwa asali au wanaonufaika na mfumo kisa ndugu zao wapo kwenye system pasipo kufikiria maslahi mapana ya taifa), Watu hawa pekee ndiyo wanaoweza kupoteza muda kwenda kupiga kura, Lakini hata kwa mtoto wa kidato...
  19. Nipe Maji

    SI KWELI Askofu Gwajima amesema leo Septemba 27, 2025 atatoa ushauri watanzania kushiriki uchaguzi Oktoba 29

  20. Tauceti Rigel

    Sijawahi kuona raia useless kama wanaoishi Kimara na viunga vyake na wanatumia mabasi ya mwendokasi kwenda vibaruani

    Kwa kweli sijawahi kuona raia useless kama hawa wa Kimara na viunga vyake. Yaani kila siku wanateseka na foleni, wanabebwa kama mizigo kwenye mwendokasi, lakini bado wako kimya, wakiwa wamekaa kwa roho ya “basi tuendelee tu.” Ni aibu. Hii siyo tena subira wala uvumilivu – ni upumbavu uliokomaa...
Back
Top Bottom