oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dk Mwigulu ana kibarua kigumu kufunika uovu wa Oktoba 29, 2025

    Baada ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Dk Mwigulu Nchemba ana kibarua kigumu kuisafisha Serikali na uvunjifu wa haki za binadamu uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama kwenye maandamano yaliyofanyika siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025. Novemba 24 Dk Mwigulu alifanya ziara...
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waandamanaji na Chama cha upinzani wana uwawa sio kwasababu ni wahaini au wamechoma vitu kwasababu walitaka Samia aondoke madarakani

    Waandamanaji na Chama cha upinzani wana uwawa sio kwasababu ni wahaini au wamechoma vitu kwasababu walitaka Samia aondoke madarakani. Lissu yupo gerezani kwasababu samia asisumbuliwe, watu wamepigwa risasi si kwasababu wamechoma vitu kwenye maandamano kwasababu wanataka samia aondoke madarakani...
  3. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fedha Zilizotengwa Kwa ajili ya Ukarabati Miundombinu Iliyoharibika Zitaweza kurudisha Uhai Wa Waliopigwa Risasi Wakipinga Ukandamizaji wa Haki?

    Nimesikia Fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe za uhuru zimeelekezwa kutumika kukarabati miundombinu iliyoharibiwa. Swali langu, Je fedha hizo zitaweza kurejesha uhai wa wale waliopoteza maisha wakiandamana kudai haki zao kikatiba? Je, kulikuwa na sababu gani kutoa uhai wa watanzania...
  4. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii ndio Serikali pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi badala Serikali ianze kutekeleza majukumu, ipo kwenye vita na Wananchi na Dunia

    Hii ndio serikali pekee tangu uhuru baada ya uchaguzi badala serikali ianze kutekeleza majikumu ipo kwenye vita na wananchi na dunia Tulisema kujitangaza na kujiapisha haitobadilisha kitu, bali ni makosa zaidi, nchi haitawaliki hii na haito tawalika mpaka mabadiliko.
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba: Vyombo vya Habari vilitishiwa kuchomwa, tungeripoti vipi Oktoba 29?

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ameshukuru muitikio wa wasimamizi wa vyombo vya habari nchini waliokutana kujadili na kutoka na Azimio la pamoja kuhusu namna ya kuripoti uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Dkt. Rioba amesema kuwa licha ya...
  6. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ibrahim Msengi: Kilichotokea Oktoba 29 ilikuwa ni uharamia

    Mkuu wa Mkoa mstaafu Dkt. Ibrahim Msengi kwaniaba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar Es Salaam ameeleza kusikitishwa na uvunjifu wa amani uliotokea siku na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akiwataka wale wanaodai haki kutekeleza wajibu wao kwanza, huku pia akimshukuru...
  7. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wanatumia nguvu nyingi kuondoa uhai wa raia ili kupata madaraka na kufanya ANASA

    Msanii wa muziki wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, ameshangazwa na kile anachoeleza kuwa ni matumizi makubwa ya nguvu, including kuua watu, yanayofanywa na baadhi ya viongozi wa Tanzania kwa lengo la kulinda madaraka wanayoyatumia kujinufaisha badala ya kuwahudumia wananchi. Roma anasema fedha...
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wananchi wahoji kufuatia kauli za serikali; Yaani tupeleke miili vyumba vya kuhifadhi maiti halafu kuifuata twende polisi!

    Ikumbukwe siku ya jana msemaji wa serikali alisema wananchi waende kuchukua miili polisi na sio sehemu husika ya kuchukua wapendwa wao, hali iliyozua mjadala mkubwa kwa wananchi. Kuna wananchi walipeleka miili kwenye baadhi ya hospitali lakini walikuta haipo, na kuna wengine tangu maandamano ya...
  9. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Yaliyotokea Oktoba 29 yasingetokea na kuichafua nchi yetu kama hayati Hayati Magufuli angekuwepo

    Alipingana na ufisadi. Upendeleo wa kifamilia na kisiasa. Hakuna aliyejua juu ya habari ya watoto wake na familia yake. Alipenda kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma. Wananchi walimpenda maana alikuwa upande wao. Alikuwa pamoja na wananchi wanyonge. Hakuna raia wa kawaida angethubutu...
  10. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Yaliyotokea Oktoba 29 tusingependa yajirudie tena. Tuweke hoja mezani

    Watanzania wenzangu, Tukio la Oktoba 29 lilileta maumivu, sintofahamu na migawanyiko ambayo hatutamani ijirudie kamwe. Amani ya nchi yetu ni hazina kubwa, na kama taifa, tunapaswa kutafuta njia mbadala, zenye hekima na utulivu ili kufikia makubaliano kwa hoja, si chokochoko. Ndugu zangu, hebu...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Mwenyezi Mungu ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania. Ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa

    Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu. "Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na...
  12. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN wapo live, nukta kwa nukta juu ya kilichotokea Tanzania Oktoba 29, 2025

    Leo kitengo cha mawasiliano serikalini wana kazi nzito sana, sijui watachomokakaje na hii report https://www.youtube.com/live/_rc5FxROnDs?si=UAsP2YZa9uBveWg1
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Twaha Mwaipaya: Maandamano ya Oktoba 29 vijana walikuwa na hasira sana

    Maandamano ya Oktoba 29 vijana walikuwa na hasira sana na hii imetokana na serikali imekuwa ikipoka mchakato wa wananchi. Watu wamelalamika na mifumo ya uchaguzi tangu 1995 ambapo Mrema aliliamika kuibiwa kura zake, 2000 CUF pia walilamika, 2015 ndivyo hivyo 2019 katika uchaguzi wa serikali za...
  14. CHADEMA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msimamo wa CHADEMA kuhusu tume iliyoandaliwa kuchunguza “matukio ya uvunjifu wa amani” baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025

    MSIMAMO WA CHADEMA KUHUSU TUME ILIYOANDALIWA KUCHUNGUZA “MATUKIO YA UVUNJIFU WA AMANI” BAADA YA UCHAGUZI WA OKTOBA 29, 2025 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma wa Watanzania na Jumuiya ya Kimataifa kwamba haiitambui Tume ya Uchunguzi iliyoteuliwa na Ndg. Samia...
  15. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maoni ya Mwananchi akimjibu Dkt Rioba, tunatokaje hapa kama taifa? Haya yafanyike

    1. Achia watu waliotekwa. 2. Achia watu waliofunguliwa kesi za kijinga. 3. Weka katiba mpya yenye matakwa ya sasa. 4. Acha kulilia mali kuliko uhai wa watu. 5. Ongea lugha ya kuridhiana sio lugha ya kutishiana ubabe na kujiona kuwa wewe ni wewe. 6. Ruhusu uhuru wa vyombo vya habari...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Hatukuripoti matukio ya Oktoba 29, wachochezi walikuwa wakihamasisha vijana kuja kuchoma vituo vya Shirika na hata kutuua sisi

    Anayaandika haya mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania TBC kwenye ukurasa wake wa Facebook; Ndugu zangu Watanzania, kwa wale wanaopinga mazungumzo au maridhiano mnajua mbadala wake? Hebu tuweke pembeni mihemuko ya kibinadamu. Tujadili kama ndugu. Ni kweli, sote tumeishakoseana. Hivi...
  17. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta sababu za kuinvoke Martial Law, serikali ikobize na Kuwepo kwa "Foreign Element"

    Ghafla tumeanza kusikia Yada Yada za maneno mapya kwenye vyombo vya habari na mitandaoni, Eti "Kuna foreign Element" zinataka kuleta machafuko," "Watu waliovuruga OKtba29 si Watanzania," "Tutafanya demokrasia yetu bila shinikizo la mtu yeyote," "Kuna waasi wa M23 wanaandaliwa kuvuka mpaka," na...
  18. Isenye

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kamati ya ulinzi na usalama wa Taifa iwajibike kwa yaliyotokea tarehe 29 Oktoba. Walimshauri Rais Samia vibaya

    Iko hivi, wakati maandamano yanapamba moto kwenye miji mbalimbali hapa Tanzania kama Mwanza, Dar, Mara, Mbeya na Arusha, inadaiwa Rais Samia aliitisha kikao cha dharura cha baraza la usalama la taifa, lengo la kikao lilikua kufanya tasmini ya kilichotokea maana hawakukitarajia kabisa baada ya...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Nimezitizama video za watu waliouwawa Oktoba 29, Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano

    MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU. NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI. NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya...
  20. JoJiPoJi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wametoa tamko yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Leo tarehe 15/11/2025, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), kupitia Rais wake Askofu Wolfgang Pisa, limetoa tamko zito kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29 na siku iliyofuata TEC imekemea vikali utekaji na mauaji ya raia yaliyijitokeza wakati wa...
Back
Top Bottom