oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Maandalizi yamekamilika 100%, kuendelea Kuteka Mapdre wa KATOLIKI, kumteka Polepole ni kuzidisha Hasira za Waandamanaji Oktoba 29

    Kila siku nawaambia humu, Hawa washenzi Chochote wanachoweza kukipanga ni rahisi kukisia nini itakua mwitikio wako. Hawana intellectual Capacity ya kudeal na masuala mazuri mazito. Utendaji wao wa kazi unategemea -Nguvu -Pesa -Na kuchomeshwa kama ilivyokúa Kwa Polepole Polepole Amekua...
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Machifu Simiyu: Wananchi jitokezi kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Machifu wa Mkoa wa Simiyu wamewataka Wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua Viongozi wanaowataka. Wamesema amani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania, hivyo wananchi wote wanapaswa kuilinda.
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkomi: Watumishi wa umma tujitokeze kwa wingi siku ya Oktoba 29 kwenda kupiga kura

    Hapa naweza kusema ni kama imetoka oda fulani kwa watumishi wote wa Umma. Na kuwaza kwa ndani kabisa inawezekana ikawekwa lokoo watakapiga kura na wasio piga kura halafu wasiopiga kura kitawalamba! ================= Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
  4. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Watu wanapotekwa hamuimarishi ulinzi ila siku ya uchaguzi mnasema mtaimarisha ulinzi!

    Kesi za watu waliotekwa na hao watekaji mnayo lists nzima maana wanafahamika ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote, watu wanafanyiwa vitendo vya kinyama na wafanya vitendo hivyo mnawafahamu ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote. Mnakazana kuwazima watanzania wasizungumzie ukweli, mnawekeza nguvu...
  5. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Na hawa ndio vijana wa kiTanzania watakaoandamana Oktoba 29?

    Kanda ya ziwa bado safari ni ndefu, sijui wamepatwa na nini Wananchi wa Buhongwa Wilayani Nyamagana Mkoani Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi pembezoni mwa barabara, tayari kwaajili ya kumlaki na kumsikiliza mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 DC Petro Magoti: Oktoba 29 mkapige kura, wale wanaotaka kuandamana mtuachie sisi, hakuna hata mtu atasema fyoo

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amewahimiza wananchi kutoka Oktoba 29, 2025 kwenda kupiga kura, pia ametoa onyo kwa wale wanaodai kuandamana siku hiyo kuwa watashughulikiwa akisisitiza kwenye Wilaya yake ya Kisarawe hakuwezi kuwepo maandamano "Hakuna hata mtu atasema fyoo tarehe 29...
  7. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Ukiamka mgonjwa oktoba 29 mtaarifu mjumbe ufanyiwe mpango ukapige kura

    Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema kwa mtu atakayeamka mgonjwa siku ya kupiga kura Oktoba 29, 2025 atoe taarifa kwa mjumbe wake ili afanyiwe utaratibu. Samia amebainisha hayo leo Alhamisi, Oktoba 2, 2025, katika...
  8. 888I

    JamiiForums Tanzania Oktoba 29: Kutiki au Kutikisa?

    Siku zinayoyoma kwa kasi kuelekea Oktoba 29, 2025. Kuna pande mbili kuu zenye mitazamo tofauti kabisa kuhusu nini hasa kinapaswa kutokea siku hiyo. Je, itakuwa siku ya kutiki au kutikisa? Pande zote mbili zina hoja zao. Upande mmoja unaamini kwamba suluhisho la changamoto za taifa letu lipo...
  9. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hakuna mtu mwenye akili timamu isipokuwa wale wanaonufaika moja kwa moja na asali anayeweza kupoteza muda wake kupiga kura oktoba 29

    Ni kichaa, Mtu asiye na elimu, mjinga ma mbinafsi (hapa nawazungumzia wale wanaoonjeshwa asali au wanaonufaika na mfumo kisa ndugu zao wapo kwenye system pasipo kufikiria maslahi mapana ya taifa), Watu hawa pekee ndiyo wanaoweza kupoteza muda kwenda kupiga kura, Lakini hata kwa mtoto wa kidato...
  10. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Askofu Gwajima amesema leo Septemba 27, 2025 atatoa ushauri watanzania kushiriki uchaguzi Oktoba 29

  11. Tauceti Rigel

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona raia useless kama wanaoishi Kimara na viunga vyake na wanatumia mabasi ya mwendokasi kwenda vibaruani

    Kwa kweli sijawahi kuona raia useless kama hawa wa Kimara na viunga vyake. Yaani kila siku wanateseka na foleni, wanabebwa kama mizigo kwenye mwendokasi, lakini bado wako kimya, wakiwa wamekaa kwa roho ya “basi tuendelee tu.” Ni aibu. Hii siyo tena subira wala uvumilivu – ni upumbavu uliokomaa...
  12. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gen Z: Oktoba 29 hawa wazee watatueleza imekuaje kuaje hadi nchi imeuzwa

    Wakuu tuliwekaje hili jambo kwanza kwa hawa wazee ambao walikuwa wanatazama tu nchi ikiwa inapigwa mnada? Tupite nao tu au tuwasamehe sisi tukomae na hayo mabeberu na hawa wazee wa ufafanuzi?
  13. ngara23

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya oktoba 29, 2025 hayawezi kufanikiwa, japo nia yake imewapa ujumbe mkubwa mafisadi

    Ningetamani haya maandamano yatokee na sisi tufanye mapinduzi dhidi ya mafisadi na viongozi wahuni, lakini Kwa vyovyote hili halitawezekana Mafisadi na wahuni watafanikiwa kufanya uchaguzi fake Kwa amani na kujitangaza kushinda na baadaye kujiapisha na kupigiwa mizinga na jeshi letu, Sababu...
  14. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA maandamano ya Oktoba 29, na taifa lililojaa watazamaji badala ya wananchi

    Ndugu zangu, kuna jambo moja linazidi kujidhihirisha katika historia yetu ya kisiasa: Tanzania bado ni nchi ya watazamaji, si ya washiriki. Ndio maana kila baada ya muda fulani, Chadema huibuka na tangazo la maandamano, mara hii Oktoba 29, kana kwamba dunia itatikisika, serikali itatetemeka, na...
  15. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Oktoba 29 Tokeni kapigeni kura hakuna jambo baya litatokea

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni leo Septemba 18, 2025 katika Jimbo la Nungwi, visiwani Zanzibar amesema kuwa nchi yetu Tanzania ipo vizuri kwenye masuala ya Ulinzi na Usalama na kuwataka wananchi kuondoa hofu...
Back
Top Bottom