oilcom tanzania

  1. Roving Journalist

    KISUTU: Kesi namba 456(Jamhuri v Maxence Melo na Micke William) yapigwa tena kalenda

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya OilCom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar (iliyopo chini ya Hakimu Thomas Simba) imetajwa tena leo Julai 17, 2018 Upande wa Jamhuri leo...
  2. Roving Journalist

    KISUTU: Kesi namba 456(Jamhuri v JamiiForums), Hakimu aomba muda zaidi kutatua tatizo la kisheria kwenye jalada la kesi

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya OilCom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar (iliyopo chini ya Hakimu Thomas Simba) imetajwa tena leo Mei 03, 2018 Shauri hili limeahirishwa mpaka...
  3. Roving Journalist

    KISUTU: Kesi namba 456(Jamhuri v JamiiForums), Hakimu ashindwa kutoa uamuzi mdogo kutokana na tatizo la kisheria

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya OilCom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar (iliyopo chini ya Hakimu Thomas Simba) imetajwa tena leo Aprili 09, 2018 Upande wa Jamhuri leo umefika na...
  4. Roving Journalist

    Kesi namba 456(Jamhuri v JamiiForums) yaahirishwa. Hakimu hajamaliza kuandika uamuzi mdogo(ruling)

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya OilCom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar (iliyopo chini ya Hakimu Thomas Simba) imetajwa tena leo Machi 13, 2018 Hata hivyo, shauri limehirishwa...
  5. JamiiForums

    Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa

    Wakuu, Leo Kesi namba 456 inayowakabili Maxence Melo na Micke William imeendelea tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu mbele ya Hakimu Thomas Simba kwa kusikilizwa Shahidi wa tatu na wa nne katika kesi hii. Tayari shahidi wa kwanza kwenye kesi hii alishafanyiwa mahojiano na kutoa...
  6. Roving Journalist

    Kesi namba 456 (Jamhuri vs JamiiForums): Shahidi akiri mshtakiwa namba 2 yupo kimakosa...

    Wakuu, Kesi namba 456 inayowakabili Maxence Melo na Micke Williams imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu mbele ya Hakimu Thomas Simba. Kesi imeanza kwa kubadilishwa kwa hati ya mashtaka (ingawa shahidi wa kwanza alishasikilizwa na ushahidi kuletwa mbele za mahakama). Kikubwa...
Back
Top Bottom