Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,968
Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya OilCom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar (iliyopo chini ya Hakimu Thomas Simba) imetajwa tena leo Mei 03, 2018
Shauri hili limeahirishwa mpaka Juni 01, 2018 baada ya Hakimu Simba kusema anahitaji muda zaidi ili kutatua tatizo dogo la kisheria alilokumbana nalo wakati anasoma jalada ya shauri hilo.
Ikumbukwe Hakimu Simba mara ya mwisho kusikiliza shauri hili Aprili 09, 2018 aliomba pia muda wa kutatua tatizo hilohilo.
Hakimu Simba anasubiriwa kutoa uamuzi mdogo juu ya ushahidi uliochapishwa(printed copy) na kutolewa na upande wa Jamhuri.
Kwa kujua kesi hii ilipotokea rejea hapa - KISUTU: Kesi namba 456(Jamhuri v JamiiForums), Hakimu ashindwa kutoa uamuzi mdogo kutokana na tatizo la kisheria
Shauri hili limeahirishwa mpaka Juni 01, 2018 baada ya Hakimu Simba kusema anahitaji muda zaidi ili kutatua tatizo dogo la kisheria alilokumbana nalo wakati anasoma jalada ya shauri hilo.
Ikumbukwe Hakimu Simba mara ya mwisho kusikiliza shauri hili Aprili 09, 2018 aliomba pia muda wa kutatua tatizo hilohilo.
Hakimu Simba anasubiriwa kutoa uamuzi mdogo juu ya ushahidi uliochapishwa(printed copy) na kutolewa na upande wa Jamhuri.
Kwa kujua kesi hii ilipotokea rejea hapa - KISUTU: Kesi namba 456(Jamhuri v JamiiForums), Hakimu ashindwa kutoa uamuzi mdogo kutokana na tatizo la kisheria