Yaani hawa magaidi wa dini walitumia nguvu nyingi sana kujipanga, dadeki..
Hawa walipaswa wapigwe carpet bombing tuanze upya, ingekua Mrusi au Mchina anapambana na hawa, angepiga moja tu na tunasahau hizi issue, dunia inapiga makelele mwezi mmoja kisha tunafanya mengine.
Israel wanatumia nguvu...