nyumba

  1. Apollo tyres

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Sinza A karibu na apartment za Delina .

    ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE ENEO NI SQM 356 ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
  2. M

    Mnatumia mbao za aina gani kuezeka nyumba?

    .
  3. Scared

    Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

    Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia...
  4. Kitomai

    House4Sale NYUMBA MBILI ZINAUZWA DAR ES SALAAM, TZ.

    Eneo: Wazo Hill, Tegeta Ukubwa: 1052sqm Hati: Miliki ya Wizara Nyumba: Mbili (moja ina vyumba viwili na nyingine ina vyumba vitatu) Bei: 210,000,000/- Ikiwa una nia ya kuinunua, unaweza kuwasiliana nami kwa nambari hii (0784225000) .
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Mavunde Akabidhi Nyumba kwa Watoto Walioangukiwa na Nyumba Jijini Dodoma

    ▪️Ni watoto walioachwa na Mama Mzazi aliyefariki kwa kufunikwa na kifusi ▪️Viongozi wa Dini wamshukuru kwa upendo na moyo wa kujitolea ▪️Aahidi kuwasomesha na kuendelea kuwahudumia watoto hao Mbabala, Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde leo amekabidhi nyumba kwa watoto...
  6. Kitomai

    House4Sale Nyumba Inauzwa - Ukonga, Dar es Salaam**

    ** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi Bei: 130mil Maelewano yapo Kwa...
  7. Seven77

    PreGE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50. Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia...
  8. Waufukweni

    Makonda: Nataka tarehe 24 kila nyumba ifanye kikao cha familia, ajenda iwe mabadiliko

    Wakuu Mkuu wa Mkuo wa Arusha amegiza tarehe 24 kila nyumba ifanye kikao cha familia, ajenda iwe moja tu kwamba; "Tumekuli kuendelea hivi mpaka mwaka mpya (2025) unapoingia? Au tunataka mabadiliko" Huu ndio Muongozo wa Rc Makonda kwa Wananchi wa Mkoa wa Arusha.
  9. Kusini pride

    Watu hawana aibu wala haya kabisa yaani kwenye nyumba za ibada watu wanaombana namba na kutongozana? Nimechukia aisee

    Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha wanaanza kuombaba namba na kuanza kutongoza eti usiku mida ya saa mbili tukutane element daaa nimechukia...
  10. Waufukweni

    Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

    Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake. Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani...
  11. H

    Naomba makadirio ya fedha ujenzi wa nyumba hii

    Kiasi gani cha fedha kinahitajika hapa, kukamilisha ujenzi nyumba kama hii
  12. A

    KERO Lugha za baadhi ya madalali wa nyumba mitandaoni hazina maadili na huweza kuleta athari kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii

    Mitandao ya kijamii imekuwa na athari kubwa kwa watumiaji zikiwemo zenye matokea chana na zingine matokea hasi. Moja wapo ya manufaa chana ni namna ambavyo mitandao ya kijamii imesaidia utangazaji wa biashara mbalimbali mitandaoni na upatikanaji wa bidhaa mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii...
  13. sameer0220

    Je ni sahihi kulipia kibali kwaajili ya marekebisho ya kupaka rangi nyingine nyumba yangu?

    Je, ni sahihi kulipia kibali kwaajili ya marekebisho ya kupaka rangi nyingine nyumba yangu? Nimeikuta huku Songea mkoa wa Ruvuma, ikiwa mwenye nyumba anataka kurekebisha rangi au kubomoa na kujenga vyumba vya kisasa inahitajika alipe pesa serikalini Ili apate kibali je ni sahihi? Au ni sheria...
  14. Waufukweni

    Kigoma: Nyumba 10 zimebomoka kutokana na mvua Kasulu

    Zaidi ya nyumba 10 katika mtaa wa mkombozi kata ya murusi halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma zimebomoka na nyingine kuezuliwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha oktoba 29 mwaka huu. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa mkombozi wakieleza namna walivyoshuhudia upepo mkali na...
  15. R

    The power within, niliingia ndani ya msingi wa nyumba Kwa kudhamiria tu

    Salaam, shalom!! INTRODUCTION. Tuendelee na mada za wakubwa, Naamini Hadi sasa Kila mtu ajua kuwa, Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Nimekuwa nikifanya majaribio mengi ya kutumia uwezo wangu ndani yangu na nimekuwa nilipata matokeo mazuri. Kudhamiria, au kuweka Nia au...
  16. Kadwanguruzi

    Gharama za msingi nyumba ya kuanzia

    Natanguliza shukran wakuu, bila shaka wazima wa afya, straight to the point, ni mgen kwa maswala ya ujenzi ndo maana nataka nikijenge hiki kwa phases kinipe experience kabla sjajipanga kwa ajili ya main house. Nataka nianze na msingi kwanza, so naomba mnipe estimation ya gharama kulingana na...
  17. Waufukweni

    LGE2024 Eric Shigongo afanya kampeni ya nyumba kwa nyumba Kata ya Irenza

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amefanya kampeni ya kupita nyumba kwa nyumba katika Kata ya Irenza, Buchosa kuomba kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika kesho, Novemba 27, 2024 nchi nzima. Soma pia: Shigongo: CCM ndiyo chama cha kuleta maendeleo Tanzania, Vijana wa...
  18. mwanamwana

    LGE2024 Missenyi: Mbunge wa Nkenge, Florent Kyombo aomba kura nyumba kwa nyumba

    NYUMBA KWA NYUMBA MBUNGE WA JIMBO LA NKENGE AKIHAMASISHA NA KUOMBA KURA ZA NDIYO KWA WAGOMBE WOTE WA CCM. Tunaendelea kuhamasisha Wananchi na Wanachama wote wa Chama cha Mapinduzi kuhakikisha tunatafuta kura ili kukipa ushindi chama cha Mapinduzi CCM “Wajibu wetu ni kuwakumbusha tu...
  19. Hharyson

    We do design and construction services

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES APPARTMENT VILLA EACH UNIT 2BEDROOM PLOT SIZE 20X30M CALL/WHATSAP +255624004650 VISIT OUR OFFICE SINZA PALESTINA
  20. U

    Kuvuja kwa kofia za nyumba

    Katika nyumba; 1. Nini kinasababisha kofia za kushuka na zile za kulala kuvuja? 2. Nini suluhisho lake? Kwakweli ukipiga bodi halafu nyumba ikawa inavuja inakera sana.
Back
Top Bottom