nyumba

  1. Nyumba ina uzwa GOBA KWA AWADHI

    NYUMBA YA KISASA INAUZWA – GOBA KWA AWADH Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa eneo la Goba kwa Awadh, Dar es Salaam. Ipo karibu sana na barabara kuu ya Goba – umbali wa mita 200 tu! Nyumba ina Vyumba 4 vya kulala Vyumba 3 vina bafu na choo ndani (self-contained) Choo cha wageni (public toilet)...
  2. Aina ya mansion ambayo ukijenga lazima mtu akipita aulize hii nyumba ya nani – 6 bedrooms mansion +255624004650

    LEO SINA MAELEZO MENGI :D 6BEDROOMS SEBULE 3 BALCONY KAMA ZOTE PLOT SIZE 2000SQM ESTIMATE MPAKA ROOFING 260M CALL/WHATSAP +255624004650
  3. Tunatafuta Nyumba ya vyumba vitatu vya kupanga

    Tupigie kama una nyumba yenye vigezo hivyo 0784 829565 0767 833345 @prathlimited
  4. Nyumba Inauzwa Tabata Liwiti Misewe B

    Nyumba inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: •Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. •Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo. •Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa. •Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr. •Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti...
  5. Hii Nyumba nimeijenga Dodoma nzuguni Juni 2025, fatilia ujue gharama tulizotumia

    nyumba ina vyumba 3 vya kulala chumba kimoja master vyumba 2 vya kawaida seble dinning jiko store public toilet nyumba ina mita 11 kwa 9.5 ukitaka tukujengee nichek 0743257669
  6. Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  7. Nimetua bongo usiku wa kuamkia leo,,,Fasta nikaingia nyumba ya Ibada,,,halafu mkutano na wajukuu zangu...

    Naam mkutano na wajukuu zangu pamoja na mama zao(wakwe zangu na binti zangu),,,, Hii ni baada ya kuzunguka na kuielewa hii dunia,hivyo sitaki mateso niliyopitia mimi pamoja na wanangu yafike kwa wajukuu zangu.... Kitu kikubwa nilichofanyia utafiti ni kutambua na kuelewa nguvu kuu katika...
  8. Nikiwa Rais hizi ni gharama za nyumba ambazo watauziwa wananchi hii ni proposal tu

    Nikiwa Rais moja ya mambo ntakayoyafanya ni kuhakikisha makazi ya watanzania yanakuwa mazuri na katika ubora unaotakiwa Barabara zote zitakuwa kubwa na zitapigwa lami Kukiwa na mipango miji kutakuwa ni rahisi kupigwa paving Kutakuwa na mfumo wa Sewage watu hawatachimba tena mashimo Nyumba zote...
  9. M

    Baba anatoa nyumba yake ya Kariakoo wakfu iwe mali ya msikiti, huku watoto wake wamepinga hawana urithi, why Watu weusi hatujui Generational wealth

    je ni sawa baba yenu aliyezeeka kutoa nyumba yake ya pekee kwenye prime area kariakoo kuwa mali ya msikiti huku watoto wake hamna maisha ya kueleweka, mnateseka kutafuta mtaji wa kujikomboa ? video inaonesha mzee mwenye umri wa miaka 97 akiitoa nyumba yake ya kuishi yenye ardhi yenye thamani...
  10. Nyumba Inauzwa Goba Kwa Robert

    Nyumba Inauzwa Goba. Mahali: Goba Kwa Robert. Sifa za Nyumba: *Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles. *Madirisha ni pvc. *Ina fence(uzio). *Ina vyoo(toilets)5. *Umeme na maji yapo. *The house is new, no one has lived in...
  11. Wekeza sasa kwenye soko la nyumba (Real Estate)

    SOKO LA NYUMBA NCHINI TANZANIA; (RESIDENTIAL MARKET) Soko la Nyumba nchini Tanzania limetawaliwa na Wamiliki binafsi (Wananchi) wa Tanzania na Mashirika ya Umma(NHC, NSSF na TBA). WAHUSIKA WAKUU:- 1.Wamiliki wa Nyumba zisizo na Upimaji ( Individual Unsurveyed Dwellings )=70.00% Mfano Nyumba za...
  12. Nyumba nzuri sana inauzwa, ipo Dar es Salaam, Goba - Bei ni million 550

    Ghorofa inauzwa Iko Goba lastanza Umbali mita 300 toka lami Inavyumba Vinne (4) vyote master ,sebule 2 juu na chini,jiko kubwa dining, stoo na Choo cha public ENEO Lina sqm 900 Hati ipo Bei mil 550 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  13. E

    Naomba msaada wa ramani ya nyumba, au mchoraji anakaribishwa

    Ukubwa wa viwanja Kiwanja cha kwanza 20*23- vyumba vya kupangisha, mchanganyiko, single na chumba na sebule Kiwanja cha pili Urefu 31m Upana 17.5m Nyumba moja ya kuishi yenye ghorofa moja Naomba kuwasilisha
  14. M

    MIKOPO MAALUM KWA AJILI YA UNUNUZI WA VIWANJA AU NYUMBA (REAL ESTATE LOANS)

    Habar Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada na niwaletee ufafanuzi mzuri kuhusiana na mada niliyoweka hapo juu. Baada ya kuona uhitaji mkubwa na muhimu wa watu kutaka kuwa na makazi Yao ya kudumu na kuwa na changamoto ya upungufu wa fedha hususani katika kununua viwanja na nyumba...
  15. Jaribu ubunifu wa aina hii katika ujenzi wako wa nyumba. Simple, Unique and Healing

    Macho ya mtanzania hayawezi kuona vitu in details, ndio maana atahukumu mara moja kitu atakachokiona in terms of mazoea yake au kiasi cha tabu yake. Tofauti na kuchambua matako makubwa kwa ubunifu wa hali ya juu, mbongo hawezi kuona simplicity na uniqueness ya hii nyumba basi atakuja na...
  16. Mama ana changamoto ya kiafya, anahitaji mkopo wa fedha kwa dhamana ya nyumba

    Habari wanajamii Forum Natumain muhali njema na majukumu ya kila siku. Nia na madhumuni ya uzi huu ni kuwa kama mwanajamii mwenzenu nimekuja kuomba msaada wa mawazo na majibu juu ya hili. Mzazi wangu anachangmoto ya kiafya inayohitaji fedha nyingi tuu kwajili ya matibabu, kwa bahati mbaya Hana...
  17. Wenye nyumba mtuhurumie aisee

    Aisee kuna appartment hapa ziko 6 kwenye compaund, Kuna nyumba ya faza house pia. Alijenga hizi apaartment akiwa kashajenga nyumba yake tayari. Issue inakuja hizi appartment zina tank za maji na zote zinashea mita moja na mwenye nyumba(maajabu), Ana watoto 7 na watoto 5 wana familia zao maeneo...
  18. Nyumba Inauzwa Bahari Beach Mugeta Street

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  19. U

    Urembo wa madirisha kwa nje na kona za nyumba

    Naomba kushare, hivi urembo wa madirisha na kona vipo kwenye fashion au ni vimepitwa na wakati? Na kama vipo, vipi huko mbeleni? Binafsi navutiwa na huo urembo ila nakuwa nakuwa nasita kuweka!
  20. Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…