Ni vipi kama haya maisha tunayoishi ni ndoto

martinezstavo

JF-Expert Member
Jun 30, 2020
736
1,547
Asalaam wakuu,

Kama binadamu nimekuwa najikuta nateseka sana kuishi kwenye hii dunia hasa kwenye jamii yangu ambayo inanifanya nipate huduma muhimu tu kama binadamu

Kwa muda mrefu sijui imeanza lini lakini huwa nafikili ni vipi kama haya maisha yote ninayoishi ni ndoto

Katika maisha yangu nimekuwa na tabia kadhaa ambazo zinanifanya nisiyafurahie kabisa maisha

Ni mgumu kuzoeana na watu, hii hali nikonayo tangu utoto nimekuwa nikiishi na watu wachache kwenye maisha yangu kwa kuwa sina uwezo was kuvuta watu na kuwaweka karibu yangu, watu wachache nilionao pia hupungua kadri umli unavyoongezeka.

Nina dharau, hii tabia ya dharau huwa naambiwa na watu ambao huwa wanakuja maishani mwangu na kisha tunashindwana tabia na kupishana mitazamo, ilhari Mimi huwa najitahidi nisiwakwaze lakin mala nyingi hujikuta tunaishia humo

Nachagua sana aina ya watu wa kuwa nao karibu na nnapogundua kasoro kwa MTU huyo niliyemchagua basi siwezi kumvumilia huwa najiweka mbali nae bila kumwambia kitu

Katika maisha yangu hutamani kuwa na wadada wazuri pisi Kali lakini huwa nkimuona mwanamke mpaka nimwambie nn kilichopo moyoni mwangu huwa ni kipengere kigumu sana yaani ni kama kwenda kimara kutokea mbezi mwisho baada ya kupita morogoro road bac mi napitia goba makabe bunju nakuja tangi bovu ubungo manzese kigogo tabata kinyerezi apo sasa naitafuta bonyokwa pengine kimara yenywe nisifike nikageuza.

Natafuta pesa lakini nikifikilia matumizi yake ukiachana na kupata basic needs basi huona pesa ni ubatili mtupu japo nazitafuta kwa hasira zote.

MTU anapomkandamiza MTU kumpokonya haki yake, MTU kuteseka na maisha magumu huwa vinaniumiza sana roho yangu inafikia muda huwa hataa kama nnapesa ambayo nnampango nayo kutoa ili MTU atatue shida yake na mipango yangu kuwa suspended kwa kipindi.

Huwa sipendi watu au MTU anionee huruma au kusaidiwa hichi kitu kimepelekea hata nikiumwa huwa sitoi taarifa kwa watu wangu, pia huteseka kutatua changamoto zangu ngumu bila kuwashilikisha watu mpaka wajue wenyewe na hata wakijua huwaambia kuwa kila kitu kipo sawa.

Sipendi kuishi karibu na watu (uswahilini) au n awaswahili wale wanaofatiliaga mambo ya watu. Natamani miaka ijayo ntafute poli au msitu nijenge huko nilime nifuge na ndo yawe maisha yangu (bila kutumia pesa)

Wasalaam
 
Uenda katika maisha yako muda mwingi uliutumia katika masomo! Na ukuwa karibu na jamii. Huku uswahilini kwetu ni ngumu sana kujitenga, kwa maana tunategemeana ili maisha yaende!
Hapana mi nimezaliwa sehemu sio ushahilini sana Ila ni uswahilini

Mama yangu alikuwa mlokole was kiwango cha rami kitu kilichopelekea kutopenda jichanganya na jamii kwanzia yeye mzazi mpaka sisi watoto wake lakin mm sio kama watoto wake wengine
 
Hii hali wanaiita enlighted one's. Hawa ni wachache sana kwenye jamii ni kama healers pia ni wachache ila Huwa na majukumu makubwa sana na jamii huwategemea sana
 
Hii hali wanaiita enlighted one's. Hawa ni wachache sana kwenye jamii ni kama healers pia ni wachache ila Huwa na majukumu makubwa sana na ja

Hii hali wanaiita enlighted one's. Hawa ni wachache sana kwenye jamii ni kama healers pia ni wachache ila Huwa na majukumu makubwa sana na jamii huwategemea sana
Mkuu unaweza tushirikisha maarifa zaid?
 
Upo vizuri tu, wengi tupo hivyo. Kifupi wewe una kiburi Cha pesa kwa kuwa umeshagundua unaishi kwa juhudi zako na si vinginevyo.

Ni Bora uishi kwa kiburi ujue Hakuna wa kukusaidia, kuliko kuishi kwa kulialia ukajua utapata msaada halafu hola, Kiburi Muhimu maishani.
 
Upo vizuri tu, wengi tupo hivyo. Kifupi wewe una kiburi Cha pesa kwa kuwa umeshagundua unaishi kwa juhudi zako na si vinginevyo.

Ni Bora uishi kwa kiburi ujue Hakuna wa kukusaidia, kuliko kuishi kwa kulialia ukajua utapata msaada halafu hola, Kiburi Muhimu maishani.
Umeongea point sana!

Bora uishi kwa kujua hakuna wa kukusaidia kuliko kutegemea kulia lia na husaidiwi na mtu vile vile...hii ndo formula yangu
 
Mkuu unaweza tushirikisha maarifa zaid?
Kuna kitu wanaita life dimension sasa Kuna watu wapo dimension ya kwanza ya pili na Tatu ila waliopo juu zaidi ndio wapo ya 4 hawa Huwa na tabia tofauti na kuona ukweli wa mambo zaidi kiundani kuliko wengine. Muda mwingi hupenda Kukaa mwenyewe na kufikiri zaidi kuliko kulumbana
 
Upo vizuri tu, wengi tupo hivyo. Kifupi wewe una kiburi Cha pesa kwa kuwa umeshagundua unaishi kwa juhudi zako na si vinginevyo.

Ni Bora uishi kwa kiburi ujue Hakuna wa kukusaidia, kuliko kuishi kwa kulialia ukajua utapata msaada halafu hola, Kiburi Muhimu maishani.
Japo uzi ni wa muda mrefu lakini acha ni reply. Nimependa maneno yako ndugu yangu,

Ni Bora uishi kwa kiburi ujue Hakuna wa kukusaidia, kuliko kuishi kwa kulialia ukajua utapata msaada halafu hola, Kiburi Muhimu maishani. Huyo jamaa anaishi maisha kama nnayoishi mimi,sina rafiki,sina ndugu ambaye nipo karibu nae saaaana,sina muda wa kulia lia shida kwa mtu japo nna shida tele lakini huwa nanyamaza kimya. Nikiwa na jambo langu huwa najifungia ndani peke yangu na kuanza kuperuza mitandaoni kuona kama ntapata ufafanuzi...kuna wakati huwa najiuliza "kuishi hivi ni dhambi? Au nna shida gani?" Lakin huwa najijibu mwenyewe kuwa ni sawa tu. Sina shida yoyote.
 
Asalaam wakuu,

Kama binadamu nimekuwa najikuta nateseka sana kuishi kwenye hii dunia hasa kwenye jamii yangu ambayo inanifanya nipate huduma muhimu tu kama binadamu

Kwa muda mrefu sijui imeanza lini lakini huwa nafikili ni vipi kama haya maisha yote ninayoishi ni ndoto

Katika maisha yangu nimekuwa na tabia kadhaa ambazo zinanifanya nisiyafurahie kabisa maisha

Ni mgumu kuzoeana na watu, hii hali nikonayo tangu utoto nimekuwa nikiishi na watu wachache kwenye maisha yangu kwa kuwa sina uwezo was kuvuta watu na kuwaweka karibu yangu, watu wachache nilionao pia hupungua kadri umli unavyoongezeka.

Nina dharau, hii tabia ya dharau huwa naambiwa na watu ambao huwa wanakuja maishani mwangu na kisha tunashindwana tabia na kupishana mitazamo, ilhari Mimi huwa najitahidi nisiwakwaze lakin mala nyingi hujikuta tunaishia humo

Nachagua sana aina ya watu wa kuwa nao karibu na nnapogundua kasoro kwa MTU huyo niliyemchagua basi siwezi kumvumilia huwa najiweka mbali nae bila kumwambia kitu

Katika maisha yangu hutamani kuwa na wadada wazuri pisi Kali lakini huwa nkimuona mwanamke mpaka nimwambie nn kilichopo moyoni mwangu huwa ni kipengere kigumu sana yaani ni kama kwenda kimara kutokea mbezi mwisho baada ya kupita morogoro road bac mi napitia goba makabe bunju nakuja tangi bovu ubungo manzese kigogo tabata kinyerezi apo sasa naitafuta bonyokwa pengine kimara yenywe nisifike nikageuza.

Natafuta pesa lakini nikifikilia matumizi yake ukiachana na kupata basic needs basi huona pesa ni ubatili mtupu japo nazitafuta kwa hasira zote.

MTU anapomkandamiza MTU kumpokonya haki yake, MTU kuteseka na maisha magumu huwa vinaniumiza sana roho yangu inafikia muda huwa hataa kama nnapesa ambayo nnampango nayo kutoa ili MTU atatue shida yake na mipango yangu kuwa suspended kwa kipindi.

Huwa sipendi watu au MTU anionee huruma au kusaidiwa hichi kitu kimepelekea hata nikiumwa huwa sitoi taarifa kwa watu wangu, pia huteseka kutatua changamoto zangu ngumu bila kuwashilikisha watu mpaka wajue wenyewe na hata wakijua huwaambia kuwa kila kitu kipo sawa.

Sipendi kuishi karibu na watu (uswahilini) au n awaswahili wale wanaofatiliaga mambo ya watu. Natamani miaka ijayo ntafute poli au msitu nijenge huko nilime nifuge na ndo yawe maisha yangu (bila kutumia pesa)

Wasalaam
Watu wa namna hii wapo wengi...na usipojua kuwasoma utawapa kila jambo baya.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom