GE2025 Wenje: Wengi Kamati Kuu CHADEMA walipinga 'No Reforms No Election'

GE2025 Wenje: Wengi Kamati Kuu CHADEMA walipinga 'No Reforms No Election'

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
419
Reaction score
553
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.

..kama hoja ilipingwa kwenye kamati kuu ilikuwaje ikapelekwa kwenye baraza kuu na ikapitishwa? Na aliyeipeleka hoja baraza kuu si mtu wake Freeman Mbowe?
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.
Wako wapi sasa na wanafanya nini qmnyk zenu
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.
Wenje amuongelee bwana ake mpya
 
Wenje alitakiwa atulie, aliyepeleka hoja hiyo baraza kuu ni Rafiki yake aliyemtuma akagombee umakamu mwenyekiti wa chama Taifa.

Wenje huyu huyu ili ashinde uchaguzi ubunge mwaka 2010 ilibid watu wafe wakimpigania.
Wenje amshukuru sana Fr. Kitima akiwa ni VC wa SAUT alilazimisha chuo kikafungua kabla ya tarehe iliyotolewa na TCU. Matokeo yake wanachuo. Wa SAUT wa miaka ile wakampigia kura maelfu kwa maelfu, ushindi ambao Masha na ccm yake walishindwa kuuchakachua.
 
Chadema haishiriki huu uchaguzi wa maigizo, mbona anaweweseka?
Wenje akae kwa kutulia na huyo anayemtumia.
 
Hatu deal na CDM tushatoka kwenye level hizo. Sasa hivi ni wananchi na Serikali dhalimu. Anajaribu kuingiza mambo ambayo hayapo
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema asilimia 80 ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hawakukubaliana na msimamo wa 'No Reforms, No Election,' ndiyo maana wengi wamekihama chama hicho.
Huyu msenge atawasingizia kila ubaya chadema
 
Back
Top Bottom