no reform no election

The Constitutional Reform Act 2005 (c. 4) is an Act of the Parliament of the United Kingdom, relevant to UK constitutional law. It provides for a Supreme Court of the United Kingdom to take over the previous appellate jurisdiction of the Law Lords as well as some powers of the Judicial Committee of the Privy Council, and removed the functions of Speaker of the House of Lords and Head of the Judiciary of England and Wales from the office of Lord Chancellor.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    PreGE2025 No Reforms No Election yaingia Chato Mkoani Geita, Wananchi Wakesha kuisubiri

    Hii ndio Taarifa ya Dharula iliyotufikia hivi Punde, kwamba baada ya Matangazo kutolewa kwamba Chadema itakuwa na Mafundisho kwa Raia kuhusu Neema ya No Reforms No Election hapo Chato, Raia Wamelipuka kwa shangwe. Wengi wameahidi kukesha kusubiri Mtanange wa Chadema.
  2. mdukuzi

    Injinia Hersi ana asili ya Clan ya Rahanwein kule Somalia, wanapenda vita, hakuna tofauti ya 'HATUCHEZI' na 'No Reform No Election"

    Kule Somalia kuna koo maarufu tano. Ila koo ya Rahanwein ni koo korofi, inapenda vita, ndio anayotoka injinia Hersi Said. Koo zingine ni Hewiye, Darod, Isaaq na Dir Nasikia anautaka na ubunge, tuwe makini. Hakuna tofauti ya Hatuchezi na No reform no erection,wote wanapimana ubavu. Wote ni...
  3. Erythrocyte

    PreGE2025 No Reforms No Election Kutikisa Mkoa wa Kagera kuanzia Tarehe 08/05/2025, Angalia Ratiba ya Kijiji chako Hapa

    Ile Neema ya Mungu inayoitwa No Reforms No Election sasa inaingia Mkoani Kagera. Taarifa iliyosambazwa na Chadema Dunia nzima hii hapa Taarifa zingine zinaonyesha kwamba timu ya viongozi wa Chadema itasambaa Mkoa Mzima huku kila kiongozi akishambulia vijijini ili kuelimisha wananchi umuhimu...
  4. K

    Hivi kauli za Nape Nnauye na hii slogan ya NO REFORM NO ELECTION, ipi mbaya zaidi?

    Katika nyakati tofauti Nape Nauya amelishawai kutoa kauli zenye utata kwenye Taifa letu lakini hakuna hatua yoyote yenye uzito alichukuliwa. Mfano tutashinda Kwa goli la Mkondo( 2015) Pia mwaka(2024) akiwa Manispaa ya BUKOBA maeneo ya Kashai alitoa Siri za ushindi wa chama Chao namna kina vyo...
  5. Heparin

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Waraka unaosambaa mtandaoni haujatoka kwetu, tunaomba umma uupuuze

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) linakanusha vikali waraka wenye kichwa cha habari "WARAKA WA KICHUNGAJI KUSOMWA KATIKA PAROKIA ZOTE, VIGANGO, NA JUMUIYA NDOGONDOGO ZOTE NCHINI TANZANIA KWA WEEK 10 MFULULIZO". Tunapenda kuwatangazia Waamini na Watanzania wote kwa ujumla, kupuuza...
  6. Mzalendo2015

    Heche aamua kujilipua Tarime na No reform No election

    https://youtu.be/jRUxerN3pq8?si=Ee2_5SrEbZWuZxhW John Heche akiwa kwao Tarime aongea kwa uchungu sana kuhusu mabadiliko ndani ya Tanzania. Msikilize hadi mwisho. Ni zaidi ya Mpigania Uhuru enzi za Wakolone.
  7. Just Pray

    PreGE2025 Mnyika atoa ratiba mpya ya kampeni ya No reform No election, sasa ni zamu ya kanda ya Victoria na Serengeti

    Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ametoa ratiba mpya ya ziara ya kampeni ya No reforms No election ambapo amesema licha ya kuendelea kwa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu bado wataendelea na mikutano ya hadhara na kubainisha kuwa tarehe 08 hadi tarehe 12 mwezi mei...
  8. N

    Wanaoutufundisha kasoro za Tume ya Uchaguzi na Wizi wa Kura wanashindwa tu kusema "no reform no election"

    Nimemsikia Kitima na viongozi wengi wa Dini na hata wanasiasa wengine wa uoinzani na hata WanaCCM wenzangu, wanawafanya watu waone wanatenda dhambi sana kushiriki Uchaguzi ambao straight forward kuna madosari kibao. Kailima anajua fika mikono yake itakuwa na harufu ya damu mwaka huu. So bad...
  9. Idugunde

    Vijana wa CCM msipotoshe umma. No reform no election sio kuharibu amani ya taifa hili. Katiba ya JMT ni mali ya Watanzania

    Kwanza natanguliza kusema kuwa Tundu Lissu yupo sahihi kwa manufaa ya umma. Pili katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni mali ya Watanzania wote na sio mali ya wanaCCM. Tatu tutapokuwa na sheria mama ambayo itawezesha Tanzania kuwa na uchaguzi huru na wenye haki. Maana yake viongozi...
  10. ERTUGRUL BEY

    PreGE2025 Mtazamo Wangu Kuhusu No Reform No Election

    Ni mara chache sana huwa naandika kuhusu Siasa,na niweke wazi huu ni mtazamo wangu kama ambavyo nawe unaweza kuwa na mtazamo wako Binafsi naona hii movement ingesubiri kwanza kwasababu moja kubwa,ni hivi majuzi tu Mheshimiwa Tundu Lissu ndio amechukua madaraka ya Uenyekiti wa Chama cha...
  11. Madwari Madwari

    PreGE2025 No reforms no election ni muhimu kuliko tunavyoichukulia

    Anachotetea Tundu Lissu kina umuhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu. Uongozi ni kitu kinachofanyika kwa referal na sheria za nchi zinafanyika kwa referal. Magufuli ndiyo Rais wa kwanza Tanzania aliyetumia nguvu zake kwa asilimia 100%. Tulishuhudia alijenga Airport alikozaliwa. Alijaza watu wa...
  12. Dr Adam Francis

    No reform no election is a suicidal commitment

    One defense strategy that our bodies have evolved is programmed cell death. In this process, cells in our bodies once infected say with a virus or sustained irreparable damage, they commit themselves to and initiate self-killing process called apoptosis. It is a marvelous evolution that ensure...
  13. Holoholo-Baba Kijacho

    Maana Halisi Ya No Reform No Election,Watanzania Hatuielewi,Ndo Maana Wengi Tunaipinga

    Wakuu, Nimefuatilia harakati za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,nimejiridhisha kuwa CHADEMA ina maono,dira na taswira nzuri juu ya Tanzania ya kesho. Kauli mbiu yao ya no reform no election haina lengo la kuchochea,wala kuratibu uasi dhidi ya serikali bali inalenga kuweka mambo sawa ya...
  14. K

    No reform no election - ukweli utaniweka huru. Hayo ni maneno ya Mbunge wa Nkasi

    Kwanza nikupe maua yako Mhe. Aida Mbunge wa Nkasi. Mimi pia ni Mkatoliki na uliyoyasema yana ukweli kwa asilimia 100. No Reform No Election umeletwa na uchaguzi mbaya na wa hovyo wa Serikali za Mitaa 2024. Uchaguzi wa 2024 ungeenda vizuri pasingekuwepo na No Reform No Election. Mtu...
  15. Lord Denning

    Wananchi waanza kutuma Salamu za No Reform No Election

    Wakati Makaburu walivyowakamata na kuwafunga Wapigania Uhuru wa Afrika Kusini, wananchi wa Afrika kusini waliona isiwe tabu na kuanza kufanya mission za kimyakimya kuwaangamiza Ma puppet wa Makaburu. Moja ya mbinu zilizofanywa na Wananchi wa Afrika kusini ni kuharibu na kuchoma mali za na...
  16. Wazolee

    Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, No Reform no Election, Hizi ndio sera za CHADEMA wanazozihubiri kwa zaidi ya miaka 10

    Hizi ndio sera za CHADEMA wanazo zihubiri katika majukwa Yao Kwa zaidi ya miaka kumi Sasa Katiba mpya CHADEMA wanaamini kwamba katiba mpya itakuja na uwepo wa serikali tatu hivyo katika hizo serikali 3 na wao wanaweza kupata japo Moja Tume huru ya uchaguzi CHADEMA wanahisi Huwa wanaibiwa...
  17. Fbn

    Ajenda ya kuzimisha No reform no election kwa sasa ni bajeti kubwa kwa wasanii kutumia mda huu

    Baada ya kusikia viongozi wa dini pasaka kuhusu haki naona sasa media zinatumia mda mwingu kwa mwijaku na manara. Nilitoa uzi kuwa na wasiwasi na hizi tafrija kubwa za wasanii mfano Harusi ya jux ila nilicho shambuliwa kusema ni wivu. CCm wanaona pesa nyingi kuzimisha media mpaka hapa JF ni...
  18. S

    sisi tumesema no reform no election viongozi wa ccm wanatabiri vurugu mbona kila kiongozi anasitiza amani

    no reform no election sio vurugu wala nini kichatakiwa hapa ni mabadiliko
  19. 05CUBA

    Wazee wa no reform no election tusaidieni kutengeneza picha ya serikali yenu ili tujue tunawaunga mkono au vipi

    PICHA YA SERIKALI YA CHADEMA Rais: Tundu Lissu Makamu wa Rais: John Mnyika Waziri Mkuu: Heche Waziri wa Michezo: Sugu Naibu Waziri wa Michezo: ( ) Mkurugenzi wa Wizara ya Michezo: (. ) Waziri wa Mambo ya Ndani: Boni Yai Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani: ( ) Mkurugenzi wa...
  20. A

    Mwl JK Nyerere na No Reform No Election

    Ujumbe WA Mwl JK Nyerere juu ya watu wasiopenda mabadiliko , sasa sijui sisiemu hawapendi Mabadiliko au ni Vyama Vingine au ndio njia ya kumuenzi Nyerere
Back
Top Bottom