nmb

NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB plc tawi la Tanzania

    Nikiwa mdau wa benki hii natoa pongezi za dhati kwa Uongozi wa benki Dr. Edwin Mhede - Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi na Prof. Ruth Zaipuna (Mrs)- Mkurugenzi Mtendaji kwa kitendo cha kuyapokea maoni na ushauri na hatimaye kufanikisha kumwadabisha Lilian Komwihangiro (Advocate) aliyekuwa...
  2. P

    JamiiForums Tanzania NMB amptitude test

    Wakuu ambao wamefanya amptitude test ya nmb Direct sales staff vipi wameitwa kwenye oral au bado
  3. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Tanzania akutana na Shaka Hamdu Shaka bonanza la NMB, wakabidhiwa hundi ya TZS 600M

    Summary, SHAKA ASHIRIKI MBIO ZA NMB Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi tarehe 01 Oktoba, 2022 amekuwa sehemu ya mamia ya washiriki katika mbio za NMB zilizofanyika viwanja vya Leaders Kinondoni, Dar es Salaam. Kauli mbiu katika mbio...
  4. BARD AI

    JamiiForums Tanzania JWTZ na Polisi wategua Bomu ndani ya chumba cha NMB Bank Shinyanga

    Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Polisi Mkoa, Janeth Magomi, Kilipuzi hicho kilipatikana kwenye chumba maalum kinachotumiwa na wateja wa Fedha Nyingi (Bulk) na mtuhumiwa mkuu amekamatwa Kamanda Magomi amesema mkoba uliokutwa na kilipuzi hicho ulisafirishwa hadi Kambarage Police Barracks...
  5. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Benki ya NMB yanusurika kulipuliwa na bomu

    Yapo maswali mengi hapa: Je, Tanzania kuna magaidi?! Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
  6. R

    JamiiForums Tanzania NMB wire transfer zinatumia muda gani?

    Habari wakuu. Kama kuna mwenye uzoefu wa kupokea pesa kutoka nchi za Ulaya kupitia benki ya NMB anijulishe inachukua siku ngapi. Nilikuwa natumia CRDB zamani ilikuwa inaingia ndani ya masaa 24.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Anayejua swift code ya NMB Bank naomba msaada.

    Habari wakuu Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
  8. Rurakha

    JamiiForums Tanzania Nahitaji POS ya NMB kukodi au kununua

    Habari mimi ni wakala nahitaji mwenye machine ya uwakala ya NMB aliepo dar es salaam offer ni 700k kununua na kama mtu anayo basi niko tayari anikodishe ntampa 30% ya kamisheni itakayopatikana taratibu za kisheria za makabidhiano zitazingatiwa nakaribisha pm
  9. Son of Israel from Africa

    JamiiForums Tanzania NMB Tanga mnakera sana

    Hawa jamnaa ukienda kwa madirisha YAO unakuta madirasha yapo kama mannne hadi Matano lkn linalofanya kazi ni moja tu. And the gui yuko hapo is like anawashwa anaingia anatolia. Yupo slowly kama funzaa Shame on you NMB
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania HR Business Partner at NMB Bank PLC

    HR Business Partner Dar es Salaam NMB Bank PLC Job Location : Head Office Job Purpose: To align business objectives with employees and management in designated business units. The position serves as a consultant to management on HR related issues. Main Responsibilities: Maintain an...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya gharama kati ya CRDB vs NMB

    PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)? a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au...
  12. Paa

    JamiiForums Tanzania 😡 Ndani ya siku tatu nimekatwa zaidi ya 20,000 kwenye account ya NMB kama government levy. Tuamke, tunaibiwa

    Roho inaniuma sana, juzi nilichukua statement nikauta wamekata 11,000 kama government levy Baadaye nikapita JF nikakuta taarifa kua kuna tozo ya miamala ya kibenki tangu july Jana, nime withdraw kiasi cha pesa, then leo kupitia statement fupi nimegundua kuna 10,010 imekatwa tena kama...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Bank ya NMB naombeni ufafanuzi kuhusu makato haya

    Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote. Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu...
  14. R

    JamiiForums Tanzania NMB mnakera sana

    Haiwezekani kuanzia Jana mtandao hamna, sio atm Wala wakala, mjiangalie sana kesho mi nawahama Siwezi kuteseka na pesa zangu,
  15. Matango

    JamiiForums Tanzania Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi

    Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi. Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja. Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane. Ukiingia kwenye NMB...
  16. Championship

    JamiiForums Tanzania Nimekatwa Tsh 5,300 kuhamisha Tsh 50,000 kutoka NMB mobile kwenda M-PESA

    Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato. Tsh. 5,300 (NMB Tsh. 4,491.53 na VAT Tsh. 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha...
  17. TEAM 666

    JamiiForums Tanzania NMB imetangaza kupata faida ya shilingi Bilioni 298

    Benki ya NMB imetangaza kupata kupata faida ya shilingi Bilioni 298 kabla ya kodi ambayo ni sawa na mwaka wa 54 % ndani ya nusu ya kwanza ya mwaka 2022 tofauti na kipindi kilichoishia June 2021 ambapo ilipata faida ya shilingi Bilioni 193. Baada ya kodi imeongezeka kwa asilimia 53 na mawazo ya...
  18. Private investigator

    JamiiForums Tanzania NMB mnahujumu uchumi

    Ni miezi sasa watumishi wanaotaka kuuza deni kutoka NMB kwenda mabenk mengine wamekuwa wakicheleweshewa balance zao ili tu kusudi wasikope huko kwingine isipokuwa NMB. Watumishi hawa wana mipango mingi na hiyo mikopo wanayotaka kuichukua, na hivyo wataongeza mzunguko wa pesa mtaani. Mathalani...
  19. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Kama walimu wanalipwa mishaara kupitia NMB, benki yenu ni nani ataikuza?

    Salaam Wakuu, Moja kati ya mambo yanayonishangaza ni kuwa Chama cha Walimu Tanzania CWT walianzisha bank yao inayoitwa Mwalimu Commercial Bank ila ajabu no kuwa hadi Leo mishaara ya walimu bado inapitia NMB na mikopo pia wanakopa kupitia NMB. Napenda kuwaambia CWT kuwa wasitegemee maendeleo...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Merchant Advisor Head Office at NMB

    Job Location : Head Office Main Responsibilities: Recruit, run, and drive merchant acquiring business through selling of POS, E-commerce and QR codes. This will involve working closely with Zones, and Branches. Share weekly, monthly sales reports and pipelines on new acquisitions to zonal...
Back
Top Bottom