nmb

NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.

View More On Wikipedia.org
  1. Jamii Opportunities

    NMB Bank PLC (NMB) Board Membership

    Expression of Interest for NMB Board Membership Ref 32383 NMB Bank PLC (NMB) is the leading full service commercial bank in Tanzania. It provides banking services to a customer base reflective of Tanzania as a whole and this includes Government and state-owned institutions, large corporates and...
  2. init

    Uamuzi wa NMB ni dalili ya taasisi za kifedha kukosa ufanisi katika utendaji.

    Awali ya yote nipende kuwasalimu nyote mtakao pata nafasi ya kupitia uzi huu. Binafsi nimeshangazwa na uamuzi uliofanya na Benki ya NMB leo, kutoa Kompyuta mapaka yaani laptops kwa wamachinga. Nimepata maswali mengi sana, je wamepewa ili wauze ama ziwasaidie katika biashara zao?. Na kama ni...
  3. Mayova

    Naombeni mwenye kujua faida za kuwa wakala wa NMB

    Ndugu zanguni, naombeni mwenye kujua faida za kuwa wakala wa NMB na faida zake. Je kamishrni zao zipoje? Ipi ina faida kati ya Nmb wakala na Kuwa wakala wa miamala ya simu mfano mpesa, tigo pesa n.k
  4. Rurakha

    NMB wakala kwa njia ya simu ya Mkononi

    Habari za leo Hivi karibuni kumetokea wimbi la uchache wa machine za NMB kwa mawakala hivyo baadhi ya mawakala walilazimika kutumia NMB via Selcom Lakini kutokana na changamoto kati ya NMB na selcom hii huduma imesitishwa hivyo NMB wakaja na huduma mpya ya kutoa huduma kwa kutumia simu yako...
  5. ndege JOHN

    NMB wamenifanyia uhuni; wamechukua hela yangu

    Nilikuwa na million na kitu Salio la account yako inayoishia na 9740 ni TZS 1,198,940 tarehe 2022/01/22 17:01:38. Kwa msaada, tupigie BURE 0800 002002. Kumb EC101201775871 Nikatoa laki nne TU nikitegemea itabaki laki Saba na kitu.leo nacheki salio nakuta pesa ndogo Salio la account yako...
  6. Orketeemi

    Ushauri kuhusu NMB

    Habari. Siku ya Leo tar 24/01/2022 nimefika katika Tawi la NMB Kwa lengo la kutoa pesa kwenye ATM machine ya pale. Nimeingiza Kadi na kufuata process zote lakin machine haikutoa pesa ilihali SMS ya muamala nilipata. Nilivyomuuliza mlinzi akanambia niingie ndan ya Tawi ambako nilipewa form...
  7. CK Allan

    NMB walazimishwe kushusha riba zao za mikopo

    Tayari Benki Kuu walishatangaza kupunguza riba kwa mabenki ili nao washushe kwa wateja wao. Hapo nyuma riba zilikuwa 20%, Badae wakaja 18% na 17% CRDB wameshusha kutoka 17 kwenda 16 NMB wakakomaa na 17, Sasa leo CRDB wametoka 16 hadi 13% NMB ndio kwanza hata habari hawana. Ni kweli NMB ina...
  8. J

    Naomba kujua kuhusu NMB Loan

    Samahan wanaforum..Mimi nliuza mkopo NMB kutoka faidika na bayport na kwenye salary slip deni linaonesha 7,880,000 kila mwezi nakatwa 247,000..Sasa naulza deni linaloonekana kwenye salary slip ndo hilo likiisha basi haudaiwi au kuna deni lingne lisiloonesha kwenye salary slip?
  9. Jamii Opportunities

    Mep Systems Engineer at NMB Bank

    Job Purpose: Monitor, troubleshoot, and maintain the bank’s Data Centers Power, cooling, physical security, access control & other low voltage systems at the bank’s Primary and DR Data Centers Caretaker of all electric power systems (Wiring systems, Generators, Uninterruptible Power Supply...
  10. M

    Isabel Maganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Equity Bank Tanzania; afuata nyayo za Ruth Zaipuna wa NMB

    Equity Bank Tanzania names new boss Ms Isabel Maganga Equity Tanzania's new boss Equity Bank Tanzania has announced the appointment of Ms Isabel Maganga (pictured) as the new managing director in an acting capacity effective December 23, 2021. She is a career banker with over fifteen years...
  11. Jamii Opportunities

    Relationship Manager: Corporate and SME Recoveries at NMB Bank (1 Position)

    Job Purpose: To coordinate and control relationship of Special assets that require a high degree of attention to minimize risks, prevent losses and restore profit through rehabilitation, restructuring, turnaround, workout and manage exit strategies. Main Responsibilities: Manage recovery...
  12. A

    Msaada; Naweza vipi Kupata API ya benki ya NMB.

    Wakuu nina ofisi inayonajishughurisha na software development, Juzi nimepata mteja ambaye anataka "School Management System" lakin anataka malipo yakifanyika kwenye account ya shule yaonekane kwenye system. Na hili ili liwezekane nilazma nipate API ya bank ya account husika. Kama kuna mtu...
  13. mathsjery

    NMB kuna nini? Mimi mgeni wa NMB inakuaje tunaaribiana weekend?😃

    Tangu Ijumaa mpaka leo mtandao haufanyi kazi upande wa mobile money unaandika hakuna huduma kwa sasa jaribu baadae. Nani ana experience tatizo kama hili?
  14. K

    Marekebisho yafanyike kwenye tawi la NMB Buzuruga - Mwanza

    Nianze kwa kusema kuwa NMB ni Benki inayopendwa na Watanzania wengi kuliko Mabenki mengine yote. Katika Tawi la NMB - Buzuruga kuna matatizo makubwa. (1) Kuna madirisha 6 ya kuwahudumia wateja lakini madirisha 2 au moja ndiyo kila siku inafanya kazi. Mteja anaweza akapanga foleni kwa muda wa...
  15. Doctor Ngariba

    Kati ya madirisha sita ya teller wa NMB, manne TEMPORARILY CLOSED. Hii tabia inakera!

    Mambo vp wakuu, NMB acheni ushamba na uzee 1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu. 2. Huu...
  16. Jamii Opportunities

    Head of Marketing at School of St. Jude

    Head of Marketing Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Do you love creating engaging and successful content for a good cause? Are you passionate about fundraising? Do you have experience leading a team? Does it sound like we’re talking about you… Keep reading...
  17. M

    NMB acheni kutuibia wakulima wa korosho

    Wakuu,, Nina Hasira kwa kiwango Cha PGO huwezi amini. NMB nyie Ni wachamungu wezi na Kama wezi wengine tu ...licha ya kuwa na wateja wengi. Ipo hivi kwenye mabango ya malipo ya korosho huwa mnapunguza pesa kiwizi Sana huwa mnashirikiana na makatibu au mmeamua kujiongeza KUTUIBIA WAKULIMA. Mfano...
  18. Jamii Opportunities

    Job Opportunities at NMB Plc

    1. Senior Software Developer (2 Position(s) Job Purpose: To collaborate with a team of software developers in studying bank operations; designing, build, test and install software solutions or modify/upgrade existing applications; support and develop software to meet key business goals. The...
  19. F

    MIKOPO KWA WAKULIMA NMB

    Wanajukwaa nimeskia kuwa kuanzia tar 15/10/2021 Nmb wataanza kutoa mikopo kwa wakulima wafugaji na wajasilia Mali Ninachotaka kujua je kwa mfano mkulima na mfugaji ni vigezo (masharti) gani anatakiwa kutimiza ili apewe mkopo huo. Msaada jamani
  20. polokwane

    NMB hiyo tozo ya serikali mliyotuma SMS mnakata kwenye account zetu ni kiasi gani, asilimia ngapi?

    Kuna sms inatumwa na NMB kuwa wanakata tozo ya serikali kuanzia September 8 hadi Oktoba 10 ya miamala cha ajabu hawasemi wanakata Tsh ngapi au asilimia ngapi sasa kupitia hili watu wasije ibiwa pesa zao bank kwa kigezo tozo maana sasa tozo zimezidi. Mliotumiwa SMS kama hii na mna ufahamu na...
Back
Top Bottom