NMB App iko down tangu jana hadi Muda huu

NMB App iko down tangu jana hadi Muda huu

Rutechula

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2024
Posts
824
Reaction score
1,074
Wana JF nani anjua kinacho wasibu NMB maana wanasababisha tudhalilike kwa kushindwa kutumia hela zetu.
Ushauri nihamie bank gani ambayo app yake iko online 24x7 naona NMB wanaweza wakapotezwa hata mtaji wangu.
 
Wana JF nani anjua kinacho wasibu NMB maana wanasababisha tudhalilike kwa kushindwa kutumia hela zetu.
Ushauri nihamie bank gani ambayo app yake iko online 24x7 naona NMB wanaweza wakapotezwa hata mtaji wangu.
mbona walitoa tangazo kuwa wangekuwa na marekebisho?
 
  • Thanks
Reactions: apk
Wana JF nani anjua kinacho wasibu NMB maana wanasababisha tudhalilike kwa kushindwa kutumia hela zetu.
Ushauri nihamie bank gani ambayo app yake iko online 24x7 naona NMB wanaweza wakapotezwa hata mtaji wangu.
it's just technical issue. Mambo ya teknolojia hayo.
na ofcoz usiku wa jana nikiwa mlimani city kupata huduma kupitia bank hiyo, nilifahamishwa kua kuna changamoto hiyo na kushauriwa huenda hadi j3 huduma zinaweza kua sawa, na kwahivyo nitumie huduma mbadala.

technocal issue inaweza kuikumba taasisi yoyote ile ya kifedha at anytime gentleman,
ni muhimu kua mstahimilivu na mwenye subra na itapendeza zaidi :NoGodNo:
 
it's just technical issue. Mambo ya teknolojia hayo.
na ofcoz usiku wa jana nikiwa mlimani city kupata huduma kupitia bank hiyo, nilifahamishwa kua kuna changamoto hiyo na kushauriwa huenda hadi j3 huduma zinaweza kua sawa, na kwahivyo nitumie huduma mbadala.

technocal issue inaweza kuikumba taasisi yoyote ile ya kifedha at anytime gentleman,
ni muhimu kua mstahimilivu na mwenye subra na itapendeza zaidi :NoGodNo:
Gentleman jana nilikuona samaki samaki ya mlimani city au nilifunanisha ? ulikuwa na toto mbili moja kushoto na moja kulia nyeupe flani hivi kali kinoma noma
 
Wana JF nani anjua kinacho wasibu NMB maana wanasababisha tudhalilike kwa kushindwa kutumia hela zetu.
Ushauri nihamie bank gani ambayo app yake iko online 24x7 naona NMB wanaweza wakapotezwa hata mtaji wangu.
Mkuu piga 0800 002 002 uongee na wahusika. Wapo kwenye marekebisho ili kufanya maboresho. Huduma za simbanking zitarejea siku ya J/3. Kwa sasa inakupasa utumie huduma za ATM.
 
Gentleman jana nilikuona samaki samaki ya mlimani city au nilifunanisha ? ulikuwa na toto mbili moja kushoto na moja kulia nyeupe flani hivi kali kinoma noma
Gentleman,
mambo hayo ni kinyume cha maadili ya umma kwa watumishi wa wananchi, sikua mimi na sihusiki kabisa na ufananio huo :NoGodNo:
 
  • Thanks
Reactions: apk
Gentleman,
mambo hayo ni kinyume cha maadili ya umma kwa watumishi wa wananchi, sikua mimi na sihusiki kabisa na ufananio huo :NoGodNo:
Gentleman kuwa na toto mbili haimaanishi mambo mabaya Gentleman
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hapa ni 🏧 hakuna namna!! Wamechukua mda.mredu sana, hata kama ni technical issue, almost 24hrs sio sawa.
 
Wana JF nani anjua kinacho wasibu NMB maana wanasababisha tudhalilike kwa kushindwa kutumia hela zetu.
Ushauri nihamie bank gani ambayo app yake iko online 24x7 naona NMB wanaweza wakapotezwa hata mtaji wangu.

Mbona walisema mapema kabisa
 

Attachments

  • IMG_5619.jpeg
    IMG_5619.jpeg
    59.6 KB · Views: 5
it's just technical issue. Mambo ya teknolojia hayo.
na ofcoz usiku wa jana nikiwa mlimani city kupata huduma kupitia bank hiyo, nilifahamishwa kua kuna changamoto hiyo na kushauriwa huenda hadi j3 huduma zinaweza kua sawa, na kwahivyo nitumie huduma mbadala.

technocal issue inaweza kuikumba taasisi yoyote ile ya kifedha at anytime gentleman,
ni muhimu kua mstahimilivu na mwenye subra na itapendeza zaidi :NoGodNo:
J3
 
Back
Top Bottom