nissan

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!

    Najua kwa namna moja au nyingine muhusika atapata huu ujumbe, na sio tu kwa hii chuma na kwa vyuma vingine. Kwa mfano Nissan Leaf 2019 naona kwenye kikokotoo chenu mme-estimate kwamba CIF yake ni $16,600 kitu ambacho sio kweli, market price sahivi ya hii gari kwa huo mwaka ni CIF ya $8,000...
  2. shakidy

    JamiiForums Tanzania Vipi kuhusu ufanisi na uimara wa Nissan X-trail (Hybrid)

    Wataalamu, Kuna hizi gari NISSAN XTRAIL-HYBRID zimeongezeka sana hapa mjini. ni gari SUV nzuri sana kwa kuzitazama lakini vipi kuhusu ufanisi na uimara wake ukilinganisha na SUV zingine?
  3. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari za Nissan kushtukashtuka(misfire) kati ya speed 40Km/h mpaka 60Km/h

    Shida hii ipo karibu kwenye kila gari ila kwenye Nissan Hali ni mbaya mno. mfano wa gari zenye hiyo shida ni Dualis, Xtrail T31, Note, Juke na Tiida. Gari inawaka vizuri, Ila ukianza kuitafuta 40kph ndio unaona hiyo shida hasa kama hujaikanyagia sana na hasa maeneo ya vilima, hata kama ni...
  4. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Nissan wafanya kufuru, waunda injini yenye uzito wa kilo 40, ina piston 3, zenye kuzalisha horsepower 400

    Nissan creates a small engine weighing 40kg. It's a 3 cylinder block that produces 400 horsepower.
  5. M2flan

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan X-Trail T30 inauzwa

    SOLD
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye Nissan Serena anicheki

    Jamani Nina shida na gari Nissan Serena. Anayeuza yake anistie PM. Nina sh 5M
  7. 0

    JamiiForums Tanzania Swali kuhusu Nissan Serena

    Habari ya Sunday Mimi nimekuwa nikijaribu kutafuta gari kwa ajili yaatumizi ya ngu na napendelea minivans. Nikawa natafuta mtu anayeuza hilp gari bongo ili ninunue. Lakini ñayapata mtandaoni hàya magari yanauzwa bei ndogo sana. Ni kama thamani yake inashuka haraka kuliko mfano Noah na Alphard...
  8. L

    JamiiForums Tanzania NISSAN JOURNEY INAUZWA KWA BEI NAFUU MNOOOO (11,350,000/=)

    HABARI JAMII FORUM --Gari aina ya Isuzu Journey inauzwa na Benki kwa njia ya Mnada. --Sababu ya kuuza ni, mdaiwa ameshindwa kurudisha mkopo katika muda aliopangiwa hivyo mali zake zimekamatwa zinauzwa kufidia deni. -MAWASILIANO: 0679781081 (Simu/sms), 0784379396 ( Whatsaap only) -Email...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

    Ni kama mamlaka za ukaguzi na KUSIMAMIA UBORA wa vyombo vya moto vinavyoingizwa nchini zimeshindwa Kazi, ama kuna uzembe mahali ama rushwa. Kwa modeli za magari yanayoingia nchini kwasasa NISSAN DUALIS zinaongoza kwa kuwaka moto.. Hivi mamlaka halilioni hili tatizo? Ama kwa vile nyingi...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Land Cruiser J300 ijipange, hii next gen Nissan Patrol ni habari nyingine!

    Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300! Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951. Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio...
  11. and 998 others

    JamiiForums Tanzania 2012 Nissan Xtrail Vs 2010 Subaru Forester

    Wakuu nimejipata nataka nichukue usafiri kati ya Nissan xtrail ya 2012 au 2010 Subaru Forester (isio na turbo). Msaada wa uimara, spea, mafuta, re-sale value
  12. jijiletushop

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari inauzwa Nissan Patrol

    Nissan patrol Engine D 45 Ac Available Fully working Halogen Lights Tsh 16,000,000 haina shida yyte Maongezi yapo🙏 0774446553 Location Arusha
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watanzania wanalichukia Nissan Serena?

    Habari zenu. Nataka kuulizq nimegundua kuwa watu wengine walifuata mkumbo wa kununua nissan Serena lakini siku za hivi karibuni zi.ekuwa hazinunuliwi na resale value yake imeshuka sana. Ndio imekuwa kawaida kusikia watu wakiuza Nissan Serena zao kwa bei chee mfano sh 5m nk. Zimeshuka thamani...
  14. X

    JamiiForums Tanzania Ifikie wakati Nissan Dualis na moto wamalize tofauti zao

    Ukiwa na Dualis usihesabu una gari wewe jua una chanzo cha moto. Leo saa 9 usiku imewaka maeneo ya Kimara Kibo Visa vya Dualis kuwaka vimekuwa vingi sana ikichanganyikiwa inawaka popote
  15. R

    JamiiForums Tanzania Spare za Nissan Serena

    Nitapata wapi spare used za Nissan Serena au written off gari aina hiyo ambayo mtu anauza spares
  16. zyuho

    JamiiForums Tanzania Nissan Xtrail diesel, manual transmition

    Ndugu waheshimiwa habari za majukumu kama sio shughuli za kila siku, Kama title hapo juu nimevutiwa sana na specification za extrail manual, maana nataka ku shift kutoka auto nipate gari yenye pulling na economy engene. Najua kuna watao sema nissan sio gari mara ugonjwa wa moyo ila kiufupi...
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nissan Juke 2nd Generation: Upgrade ya Kibabe

    Mwaka 2010, Nissan walitengeneza Nissan Juke 1st generation iliokuwa designed na Kenji Kawasaki na mwenzie, wakaja na hii design: Ni gari nzuri, nje na ndani, comfortability, efficiency na practicability. Sasa kuanzia 2019 kuna madesigner watatu wakaambiwa waunde 2nd generation ya hii Nissan...
  18. Sudi jr

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan dualis inahitaji milioni 15 namba E

    Habari ndugu zangu, Nissan Dualis ipo sokoni inaenda kwa Tsh mil 15 Mwaka 2009 CC 1990 Km 90k Haina kipengele Location Dar es Salaam-Tabata Simu ziite ndugu zangu 0752463715 0776363230 Biashara maelewano.
  19. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nissan Patrol inauzwa Milioni 45 tu. Ipo Dar

    1. Hali ya Gari: Gari halina shida yoyote, ila halijatembea kwa muda. Ni Nissan Patrol 2. Gari lilipo: Gari lipo Goba Mkoani Dar es Salaam 3. Bei ya Gari: Ni Tsh milioni 45 5. Mawasiliano: Piga simu au tuma Meseji kwenda: 0713208669
  20. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nissan Y60

    Moja ya gari nayoiamini ktk utendaji wangu wa kila siku Nissan Y60
Back
Top Bottom