nissan

  1. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Nissan Qashqai aka Dualis Aliyechangamka...

    Hii Gari ina body design nzuri same to Interior ila wabongo wengi wanaikimbia. Sasa Unataka kujua sababu ni nini kaa vizuri funga Mkanda nikupe madini. . Qashqai ni Dualis [Maarufu kama Kiberiti though siku hizi haziungui tena ] iliyochangamka ikiwa imetengenezwa na Nissan Kampuni Ya Kijapan...
  2. M

    JamiiForums Tanzania NISSAN civilian for sale from Japan

    Reference Number:24254079890 Make:NISSAN Model:CIVILIAN BUS - DCW41/DJW41/DVW41 Body Type:BUS Year of Manufacture:2011 Country:JAPAN Fuel Type:PETROL Engine Capacity:2501 CC Mileage 90,994km Price 45M
  3. black-tz

    JamiiForums Tanzania 🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨 Na kuachana na Nissan

    🔋✨ Honda Inachagua Njia Yake! 🚗💨 Badala ya kwenda 100% EV kama kampuni nyingine za magari, Honda imesema inawekeza zaidi kwenye magari ya Hybrid na kusitisha mpango wa EV! Honda na Nissan zilikuwa zimekubaliana kuungana na kuwa kampuni moja lakini mwanzo wa mwaka huu zilisitisha mpango huo...
  4. Blessed Keinerugaba

    JamiiForums Tanzania Gari zuri kati ya NISSAN X TRAIL na SUBARU FORESTER

    Wakuu salaam. Wako niko kwenye wazo la kutafuta usafiri. Mwanzoni nilikuwa nawaza kuhusu Mitsubishi Outlander, Hata hivyo, watu wengi wamekuwa na ushauri hasi kuhusu gari hilo. Kwa sasa nina mawazo mawili baina ya Nissan X traeil na Subaru Forester XT. Bajeti yangu 25 -30 M, Ni mtu wa kipato...
  5. Palac

    JamiiForums Tanzania Nissan juke

    Habari ya ushindi nguvu moja Any way niende kwenye mada kwa sasa naona hizi gari ndogo Aina ya nissan juke zinakuja kwa Kasi zaidi apo badae soko la ist hapa bongo litakufa Ni ipi Siri ya nissan juke wakuu
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nissan Note Hybrid 3rd gen izingatiwe. Hafu bei sio ya moto kivile kwa waliojipata!

    Nissan Note Hybrid 3rd generation (E13) yenye engine (generator) ya cc 1200 na e-Power hybrid system ya Nissan ni chuma ambayo watu wanajifanya hawaioni. Kwa CIF ya Mil 20+ na kodi ya mil 13+ unapata hii hatchback moja kali sana. Model ya 3rd gen imeanzia 2020+ na una options za FWD au AWD...
  7. Faana

    JamiiForums Tanzania Picha: Uzao wa Nissan Patrol

  8. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nissan murano

    Habari zenu Natafuta Nissan murano. Ya mwaka wowote. Nina sh 8m sina ya ziada. Mwenye nalo anitaarifu humu
  9. Makungu charles

    JamiiForums Tanzania Nissan march(baadhi ya maeneo huitwa Nissan mirca) ni gari Bora Sana kwa matumizi ya miji

    Nissan March ilianzishwa na kampuni ya Nissan Motor Co. Ltd na ilizinduliwa kwa mara ya kwanza katika nchi ya Japan mwaka wa 1982 Nissan March ilikuwa ni gari la aina ya hatchback linalolenga soko la magari madogo (compact cars). Lengo kuu la gari hili lilikuwa kutoa chaguo la kiuchumi kwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nissan xtrail

    Wakubwa mtakumbuka hapo juzi niliwandikia kuhusu xtrail yangu kushtuka shtuka ikikfika rpm ya 40 kwenda 60 hapo n mkanishauri kuwa tafuta plug og na kuna member aliniambia kuna jamaa wanaitwa gathani to limited nikaongea nao , kwanza kabla ya kuongea nao nikangalia plug ambazo zilitoka na gari...
  11. Makungu charles

    JamiiForums Tanzania Zijue sifa za Nissan patrol V8

    Nissan Patrol V8 ni toleo la juu la Nissan Patrol, ambalo linajivunia injinia ya V8 yenye nguvu na uwezo bora wa off-road. Gari hili linatumika sana katika mazingira magumu na linalotambulika kwa uimara, uwezo mkubwa wa kuvuta, na matumizi ya kifahari. Hapa chini ni sifa muhimu za Nissan Patrol...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nissan X-trail ya mwaka 2010

    Wakubwa nimenunua gari aina ya nissan xtrail mwaka 2022 mwezi Nov aina ya engine ni MR20 nafikiri kwa wazoefu wa gari engine yake haina tofauti na engine ya nissan dualis ,, nilichoshangaa toka mwaka jana mwezi kama wa kumi gari ikaanza kama kushtuka shtuka hivi hasa nikipinguza mwendo mpaka...
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

    Ni jambo la ajabu sana ila tokea mwaka jana 2024 mwezi wa Disemba nimekuwa nikikutana na matangazo mengi ya watu wakiuza magari yao ila katika matangazo 10 basi kuna matangazo 8 ya mauzo ya gari aina ya Nissan Xtrail. Wapo wanaouza kwa sababu mbalimbali kama uhitaji wa pesa za matibabu, au...
  14. Nyamwezi tabora

    JamiiForums Tanzania Car4Sale NISSAN SERENA. Bei 4.5 boss asigushwe haina changamoto njoo washa na kuondokà... 0712378559

  15. BEST 001

    JamiiForums Tanzania Nauza Nissan Dualis nzuri sana Arusha

    GARI INAUZWA TSH 13,500,000/= TU Car name : Nissan Dualis Year 2007 CC 1990 / 6 GEAR COLOR SILVER NB , Full android TV 10 inches + Subwoofer, Sunroof , 2W + 4wheel Price Tsh 13,500,000/= Location : Arusha. 0764313877 (CALLS/ TEXTS/WHATSAPP) KARIBUNI SANA. ZINGATIA MKOA ARUSHA
  16. Mshasha wane

    JamiiForums Tanzania Nissan dualis na Qashqai

    Wakuu naomba kuuliza kuna mtu anatumia gari aina ya Nissan Qashqai au Dualis na kukutana na adha ya gari kushtuka baada ya kuwekewa oil feki kwenye gearbox. Kama yupo naomba kujua alitatuaje hilo tatizo
  17. Deinstein 01

    JamiiForums Tanzania Honda na Nissan zaungana

    Habari wakuu. Jana kampuni za magari ya Honda na Nissan zilifanya mazungumzo ya kibiashara na kuungana ili kukabiliana na ushindani uliopo kwenye soko la magari. Muungano huu unalenga kutoa magari yanayoendana na teknolojia ya sasa yaani magari ya umeme(EV) na Autonomous cars (magari...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mwakani nahamia Nissan: Either Leaf, Note au Ariya!

    Bado uwezo wa kumkimbia Mjapan sina, ingawa Mchina na Mmarekani wanashawishi ila hamna jinsi. Kwa trend anatoenda nayo Nissan kutokea 2020 aisee nadhani ndio kituo kifuatacho. Kama nitabaki na ICE (magari ya mafuta) nitamfikiria Nissan Note 2020. Engine ndogo 1.2L hybrid itafaa sana hapa...
  19. X

    JamiiForums Tanzania Nissan na Honda kuungana kufuatia ushindani mkubwa kutoka China katika utengenezaji wa magari

    Kampuni namba 2 na namba 3 kwa utengenezaji wa magari nchini Japan baada ya Toyota, Honda na Nissan zinafikiria kuunganisha mitaji yao ili kuziunganisha na kuwa kampuni moja. Lengo ni kuwasaidia kushindana dhidi ya watengenezaji wa magari ya umeme (EV), hasa nchini China. Huu utakuwa...
  20. God knows

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Nissan X-Trail

    Nahitaji Nissan X-Trail ya 2010 used. Nina bajeti ya 9m. Unaweza kunitumia PM
Back
Top Bottom