nidhamu

Nidhamu is a recording by the jazz musician Sun Ra and his Astro-Intergalactic-Infinity Arkestra, documenting their first visit to Egypt.
Tracks 1-3 were recorded live at the Ballon Theatre in Cairo on December 17, 1971; track 4 is a solo keyboard performance recorded a week previously.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Hakimu atoa onyo kali kwa Lissu na wenzake kutodharau Mahakama pale inapokuwa imeketi

    Mahakama imempa onyo Tundu Lissu na wenzake kwa kupiga kelele na kuleta vurugu baada ya Hakimu kuingia ndani ya Chumba cha Mahakama. Hakimu alipoingia Tundu Lissu alileta aliongea mahakamani kwa kuwaambia wafuasi "No Reforms No Election" Hakimu ameeleza kuwa Mahakama inakuwa kamili pale...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania SIMBA IFUNGUNGIWA KWA UTOVU WA NIDHAMU NTAPUMZIKA SIKU NNE BILA KWENDA OFISINI

    NIMEONA VIJANA WAMEANZA KUCHUNGIZWA KWA UTOVU WA NIDHAMU BERKANE WAMENIPA OFF SIKU MBILI SIKWENDA KAZINI LAKINI KWA HUU UJINGA WA SIMBA ZNZ NA UTOVU WA NIDHAMU NATANGAZA KUPUMZIKA AIKU NNE RASMI NIKISIKIA WAMEFUNGIWA NA CAF IWE FUNDISHO NA HTA KWA MASHIRIKISHO NA MABODI YANAYOBEBA UJINGA...
  3. chiembe

    JamiiForums Tanzania Seneta Cherargei wa Kenya amuomba Rais Samia asaidie kuwatia adabu wakenya wasio na nidhamu, ataka washitakiwe na wafungwe

    Rais Samia apongezwa ndani ya Bunge la Seneti la Kenya kwa kuwashughulikia wakenya wasio na nidhamu. Hakika Samia kaonyesha hacheki na wowote, kapongezwa ndani ya Bunge la Seneti la Kenya.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Usidharau hatua zako ndogo bali ziunganishe kwa nidhamu ili upate umbali mrefu

    Kama wasemavyo maisha ni hatua ndivyo ilivyo japo inahitaji nidhamu na subira ya juu sana kuunganisha hizo hatua ili upate umbali mrefu. Ukimuona mtu yupo mbali kwenye jambo fulani kuna uwezekano mkubwa alianza na hatua ndogo ndogo ambapo zikiwekwa pamoja ndio huo umbali alionao sasa...
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hoja sita CHADEMA, Madai ya makada wake kukamatwa na kupigwa

    "Niseme hatua kadhaa ambazo tunataka zichukuliwe (kutokana na kile ambacho CHADEMA inadai kuwa Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro imetoa taarifa za uongo kuhusu madai ya viongozi na makada wao kukamatwa, kupigwa na kuteswa mnamo tarehe...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Serikali dumisheni nidhamu kwenye mahakama zetu; Kuna watuhumiwa wanaichezea sana serikali.

    Sipendezwi abadan na vitendo vinavyoashiria dharau kwa mahakama, serikali na nchi kwa ujumla vinavyoonyeshwa na baadhi ya watuhumiwa wawapo au waendapo mahakamani. Nitatoa mifano michache: 1. Nilishuhudia mmoja ya wale watuhumiwa waliotumwa kumbaka kwa kumrawiti na kumrekodi yule dada wa...
  7. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Nidhamu ya majeshi yetu na uoga wa watawala

    Kelele zimekuwa nyingi mtandaoni kuhusu majeshi yetu kuonesha yanakiuka katiba na kuivunja Kwa kuzuia mikutano,kuteka na hata kutesa wananchi ambao majeshi yetu yana jukumu la kuwalinda. Lakini niseme tu kuwa tunayaonea Sana majeshi yetu Kwa kila yanachokifanya kwasababu kila kinachofanyika ni...
  8. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Hakuna nidhamu tena katika nchi,Chadema wanaleta picnic- mentality.

    Hakuna ushahidi kwamba CCM wanataka kuona kura. Sasa tunakuwa na laxity ambayo haijawahi kuonekana tokea Uhuru. Hii Kampeni ya No Reform No Election, Chadema wenyewe hawakubaliani Matatizo ya Uchaguzi yanakuwa exaggerated. Nchi kama yetu, developing country ,inatakiwa kuwa na nidhamu zaidi. Hata...
  9. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka mazoea ya kulala na aina hii ya wanawake, kitu kizito kitakuja kukupiga bila kutarajia

    Mwanzoni wengi huwa makini kuchukua tahadhari / precautions lakini kadri muda unavyoenda mazoea yakiwa tabia wanajisahau sana, mwisho wa siku wanaingia kwenye mfumo Under age / Chini ya miaka 18 - Wala haihitaji kufumaniwa red handed, yaani habari zikisambaa tu unatembea na mwanafunzi halafu...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Aina hii ya Nidhamu mbovu na ya Kishamba ya Mashabiki wa Yanga SC kuwa nje Uwanja wa Taifa huku Waziri Kabudi akiwa na Kikao Kizito inaitwaje?

    Na wenye Akili tunajua tu kuwa ni Injinia Hersi (Rais wa Yanga SC) ndiyo Kawaleta hapo kwa Makusudi na Kimkakati zaidi.
  11. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Hujalegea na Wala Hujarogwa, Umekosa Nidhamu: Nguzo Nne za Ufanisi

    Watu wengi hujiona kuwa wavivu, wakihisi kana kwamba hawawezi kujituma ipasavyo ili kufanikisha malengo yao. Lakini tafakari kwa kina: Je, kweli ni uvivu, au ni ukosefu wa nidhamu? Uvivu unamaanisha kukosa msukumo kabisa, lakini kwa kawaida, watu wanajihisi "wavivu" si kwa sababu hawana uwezo wa...
  12. Pdidy

    JamiiForums Tanzania TFF msiogope kukosolewa, acheni nidhamu ya uwoga, Wasemaji msihofu vitisho, semeni mapungufu ya marefa

    Kuna HABARI Agis habari WA YANGA amefungiwa miaka 2 Kifupi tu huu ni UWOGA na Tff mkumbuke hii n mwanzo tu hakuna watu WAACHA kuwasemea UPUUZI WENU na UPUUXI WA Refa Kama mlifikiri mkimfungia Ali kamwe mnaidhoofisha Yanga mmejichanganya wenyewe hakuna jipya WAsemaji adhabu ya kamwe...
  13. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Kuhamasishwa au kuhamasika kufanya kitu ni kama cheche, kinachohitajika ni nidhamu yako juu ya unachikifanya

    Kuhamasishwa au kuhamasika kupitia wahamasishaji "motivational speakers" au njia nyingine yoyote ile ni kama cheche ya kuwasha moto ndani yako na kitakachokufanya uendeleze moto uliowashwa siyo kuhamasishwa ila ni nidhamu yako "discipline" juu ya unachokifanya. Wahamasishaji hufanya kazi ya...
  14. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Nidhamu iwafute uanachama Lissu, Heche & Lema kwa kumdhalilisha Mwenyekiti

    Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
  15. Augustine Aloyce

    JamiiForums Tanzania Mafanikio Hujengwa kwa nidhamu

  16. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania mawasiliano ya staha na heshima yanachochea mazungumzo mazuri

    Kueleza umuhimu wa kuonesha heshima kwenye mazungumzo kuhusu utalii wa ndani ni jambo la maana. Ni kweli kuwa utalii wa ndani ni sehemu muhimu ya maisha yetu na ni suala la hiari kwa kila mtu kushiriki. Kwa hiyo, ni vyema kuheshimu maoni na jitihada za kila mtu katika kukuza utalii wa ndani bila...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kocha Timu ya Taifa, Hemed Morocco awafukuza Mkoko, Lanso kambini kwa utovu wa nidhamu

    Kocha wa Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Hemed Suleiman 'Morocco' amewaondoa kambini nyota wake wawili kwa utovu wa nidhamu. Katika taarifa iliyotolewa na ZFF, nyota waliofukuzwa ni Ibrahim Mkoko anayekipiga katika klabu ya Namungo FC na Abdallah Said (Lanso) wa KMC. Utovu wao wa...
  18. Mtoa Taarifa

    JamiiForums Tanzania TBT: Kuna nyimbo kwa Makundi 3 (Prof. Jay, Afande Sele & Juma Nature), (Alikiba, Matonya & MB Dog) na (Joslin, Noorah & Mr. Blue) utasikiliza zipi?

    Ikiwa ungetakiwa kuchagua ngoma za kundi moja la kusikiliza nyimbo zao kati ya haya matatu: Prof. Jay, Afande Sele & Juma Nature Alikiba, Matonya & MB Dog Joslin, Noorah & Mr. Blue Ungechagua kundi lipi na kwa nini? Je, muziki wao umeacha alama gani kwako au kwenye tasnia ya muziki wa Bongo...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jaji Warioba: Jeshi la Polisi limeingizwa kwenye Siasa, linatoa matamko ya Kisiasa, liachwe lifanye kazi yake

    Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, amewataka wanajeshi kuepuka kuingilia siasa, akisisitiza kuwa kazi yao ni kulinda usalama wa nchi. Akizungumza na wanahabari Disemba 4, 2024, Warioba alikumbusha historia ya machafuko kutoka nchi jirani na kusema jeshi lilifanikiwa kudhibiti mikoa...
  20. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi Wafundishwe Nidhamu Bora na Tamaduni za Kitanzania: Bashungwa

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) ametoa wito kwa Wazazi, Walezi na Walimu kuwalea, kuwaandaa na kuwafundisha Wanafunzi katika misingi ya nidhamu bora na tamaduni za kitanzania ili iweze kufaa katika jamii na kuwa na mchango kwa Taifa kupitia taaluma zao. Bashungwa ameeleza hayo Novemba...
Back
Top Bottom