ngombe

Ngombe, or Lingombe, is a Bantu language spoken by about 150,000 people in the Democratic Republic of the Congo. In general, native speakers live on either side of the Congo river, and its many tributaries; more specifically, Équateur Province, Mongala District and in areas neighboring it (Sud Ubangi and Équateur districts). Ngombe is written in Latin script.The deities of the Ngombe include the supreme creator Akongo and the ancestor goddess Mbokomu.Ngombe includes several dialects in addition to Ngombe proper (Ŋgɔmbɛ). These are Wiindza-Baali, Doko (Dɔkɔ), and Binja (also rendered Binza, Libindja, or Libinja). The latter is not the same as the Binja/Binza language. Binja dialect is primarily spoken in Orientale Province and Aketi Territory, and shares about three-quarters of its linguistic characteristics with standard Ngombe. Maho (2009) lists Doko as a distinct language in a separate group.

View More On Wikipedia.org
  1. Kididimo

    Viatamizi vya BBT vya Unenepeshaji Mifugo ni hoi bin taabani. Raisi aliyetoa fedha anafichwa ukweli. Ngombe hawanenepeshwi ni vurugu tupu

    Mimi binafsi nimetembelea vituo kadhaa vya BBT kwa upande wa Unenepeshaji mifugo kwa lengo la kujifunza. Vikiwemo Kikulula- Karagwe,Mabuki- Mwanza nk. Nimegundua yafuatayo; 1. Vijana wengi waliochaguliwa kushiriki BBT wamekata tamaa . Walichoitiwa sicho walichokikuta. Wameongezewa muda wa kukaa...
  2. kingzard

    Msaada: Tatizo la ng'ombe kupepesuka na kutoa udenda anapolala

    Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa naombe nilipata changamoto wa ngombe wangu kufa kwa tatizo la kutokula na kutoa udenda pia anapepesuka akitembea. Baada ya kufa alipasuliwa tumbo na kukutwa na maji tumboni na nyongo yake ni kubwa sana na nyeusi sana pia. Baada ya siku tatu tatizo likaanza kwa...
  3. data

    Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

    Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe. Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake. Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo...
  4. Z

    Mapokezi ya Mbowe Jimboni Hai yadoda, CHADEMA yaahidi kugawa nyama Kama motisha Kwa wahudhuriaji

    MAPOKEZI YA MBOWE HAI YA DODA, WANANCHI WASUSIA, CHADEMA YATANGAZA KUGAWA NYAMA KWA KILA MHUDHURIAJI Katika hali isiyokuwa ya kawaida mapokezi ya ujio wa aliewahi kuwa Mbunge wa Hai ndugu Mbowe yameingia dosari baada ya wananchi wengi kuonesha kutokuwa na munkari nae tena kama zamani, hii...
  5. M

    Kati ya Nguruwe na ngombe kipi kinalipa?

    Kwa waliowahi kufuga nguruwe na ngombe kipi kinalipa? Kwa mazingira niliyokuwepo ngombe ni biashara sana, yaani maziwa sipati hela ya maendeleo, lita tsh 700 kwa maeneo niliyokuwepo na kupata breed yenye maziwa mengi imekuwa mtihani. Nakubali ngombe analipa sababu napata samadi ambayo naitumia...
  6. M

    Nahitaji kufahamishwa upatikanaji wa ng'ombe na mbuzi kutoka Rufiji

    Wadau, Nimepata habari rifiji ni mgodi mpya wa upatikanaji wa ngombe na mbuzi kwa bei nzuri. Naomba yoyote mwenye ufahamu wa hili na connection anijuze!
  7. Mac Alpho

    Nahitaji msaada wa mawazo juu ya biashara ya mifugo (ngombe & mbuzi)

    Habari zenu wana JamiiForums, mimi kama kijana mtafutaji na mwenye kiu ya mafanikio, nimeamua kuja kwenu Ili nipate ABC juu ya mada tajwa hapo juu. Nimejaribu kupitia maada mbalimbali za zamani juu ya hii maada ila sikufanikiwa kupata data nilizokuwa nazihitaji, hasa ukizingatia taarifa za...
Back
Top Bottom