habarini!
wakuu kuna maana gani kwa ndoto hiyohiyo kujirudia rudia?
unaota, unaamka na kutulia kidogo. ukilala inakuja tena ndoto ileile. unaamka tena, unaenda chooni kujiweka sawa, unarudi na kulala kidogo tu inakuja tena ndoto ileile.....ina maana gani?
kama hiyo haitoshi, siku nyingine tena...