nchimbi

Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    JamiiForums Tanzania Nchimbi amerudia kosa la Mrema, Lowassa na Polepole kujaribu kupambana ukiwa nje ya mfumo. Mapambano yanatakiwa ndani na nje. CHADEMA msirudie ya 2015

    KATIKA harakati za kutetea mabadiliko KATIKA mifumo ya utoaji haki demokrasia ya kweli na katiba mpya yanahitajika mapambano ya ndani na nje ya mfumo. Kwa vile alikuwa ameshaonyesha kiu ya mabadiliko Nguvu yake kubwa ilikuwa ni nafasi aliyokuwa nayo . Kwa sasa Hana nguvu yoyote na akijaribu...
  2. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Huenda Abdul mtoto wa Samia akachukua nafasi ya Nchimbi

    Nawaza tu.
  3. Pre International School

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala alisema Nchimbi ni mtu mkweli na atalisaidia sana Taifa na Rais, Sasa ajiuzulu nani mbadala wake?

    Pascal Mayala aliwahi kueleza kwamba Nchimbi ni mtu mkweli na mwenye uwezo wa kulisaidia sana Taifa pamoja na Rais. Kauli hiyo inapata uzito mkubwa zaidi sasa baada ya Nchimbi kutangaza kuondoka katika nafasi yake. Sasa swali kubwa linalobaki kwa Watanzania ni moja: nani atakuwa mbadala wake...
  4. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bashite ndie mrithi wa Nchimbi

    Ndugu Dr Comrade Bashite anasubiri vikao halali vya Chama kumpitisha ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
  5. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Humu Kuna watu wanaofanya kazi ofisi ya makamu wa Rais Dr. Emmanuel nchimbi wiki iliyopita mpishi wa makamu wa Rais alifariki dunia ghafla km alivyokuwa kwa lukuvi je Kuna mwenye kujua chanzo?
  6. W

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt Emmanuel Nchimbi ajiuzulu

  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania Swala la kumfukuza nchimbi sio la CCM ni la Samia na genge lake na ni kwa maslahi ya genge hilo tu sio taifa elewa hivyo.

    Na kwakuwa CCM wengine ni fuata upepo ukweli upo mioyoni mwao, Hiyo ndiyo habari iliyopo mezani
  8. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwanini awamu ya sita imekuwa na migogoro mingi ya kiuongozi nafasi za juu kuanzia Ndugai, Majaliwa na sasa Nchimbi?

    Mlifanya jambo kama hilo kwa Spika wa bunge kwa sasa naomba msijaribu kwa makamu wa rais mtaleta maafa. Kwanini awe Samia pekee anayegombana na wandani wake. Kuanzia kwa Kasimu Majaliwa, VP aliyeamua kupumzika Mpango na sasa huyu Emmanueli Nchimbi? Tafute namna ya kuondoa tofauti zenu bila...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Endapo Nchimbi atatakiwa kuachia Umakamu, tutumie fursa hii kuchochea Uhuru wa Tanganyika.

    Tukio hili litakuwa tukio la aina yake na ni fursa ya kipekee kudai uhuru wa Tanganyika kama nchi Huru. Tuitumie hii fursa kufanya kampeni ya ghafla kuhamasisha Utaifa wa Tanganyika, kufufua Bendera ya Tanganyika na hata kuandaa Waraka wa uhuru na Rasimu ya katiba ya Tanganyika
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bwana Nchimbi, Usijiuzuru Umakamo, Wacha Samia aongoze Kikao cha Kukuondóa kwa Lazima ndivo atakavyozidi Kuchafuka ... Ukijuzulu wewe ,utaonekana....

    Mzee Nchimbi, sio lazima utafute Mawazo kwa Wazeee katika suala dogo kama hili.. Kimàhesabh, Ukijiuzulu wewe mwenyewe kama Alivyofanya Lowassa, Utaonekana wewe ndio Snitch, Mkorofi, uliyekua unamfitinisha Samia , na Genge la Samia wanaweza kutengeneza Picha ya Wananchi kuamin kua "Wewe ni mmoja...
  11. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Hii ni very classified information. Siongezi neno Mto wa mbu State of Illinois
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Shibuda ‘Drogba’ amuomba Nchimbi ajitafakari, ajiuzulu kwa heshima kama Malecela au CCM kimfanyie uamuzi kama Aboud Jumbe

    MWANACHAMA mkongwe wa TANU na CCM na Mbunge mstaafu wa Maswa, Mzee John Magale Shibuda maarufu ‘Drogba’, amemtaka Makamu wa Rais na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujitafakari kati ya mambo mawili kujiuzulu kwa heshima kama alivyofanya John Samwel Malecela na kubaki ndani ya...
  13. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Nchimbi hatakiwi kabisa CCM. Shibuda katumwa amwambie Nchimbi ajiuzulu

    Shibuda amshauri Nchimbi ajitafakari kuhusu mustakabali wake, alinde jina lake, Imani yake ya kwa CCM na historia ya kizazi chake. Na AJIUZULU haraka iwezekanavyo.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Leo ndo nimejua ni kina nani wanazuia Katiba Mpya hadi Nchimbi akasema hadharani kwamba komaeni mpate Katiba Mpya

    Leo nimemsikia Ally hapi akisema hatarajii katiba mpya iwe tayari kabla ya 2030. Ikiwa hawa ndio viongozi wa jumuiya za ccm na ndo wafanya maamuzi ndani ya chama kumbe nchimbi alimaanisha hawa
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dr.Samia S. Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili ya Urais 2030, unadhani kuna mbadala wa mrithi wake zaidi ya Dr.Emmanuel J. Nchimbi?

    Toa maoni yako kwa uhuru na amani, Na Mwenyezi Mungu akubariki sana 🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Dr. Emmanuel John Nchimbi ni uncompromised statesman Tanzania

    Ni dertimined political leader of modern times politics. Hayumbi, hayumbishwi wala hayumbishiki. Uzalendo, ushawishi na dhamira yake kwa Taifa havina chembe ya shaka miongoni mwa waTanzania. Nidhamu, utii, hekima, busara, na mienendo yake kisiasa, vina mpa uhakika wa hatua za kuyafikia malengo...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuungwa mkono kwa Nchimbi na wapinzani ni mkanganyiko mtupu wa harakati.

    Kuibuka kwa kundi la wanaharakati na wadai mabadiliko wanaompigia debe Makamu wa Rais Nchimbi kwa kauli moja au mbili alizozisema walizozipenda kunaonyesha jinsi gani Tanzania ina safari ndefu ya kuleta mabadiliko. Mambo kama haya yanafifisha sana harakati za mabadiliko nchini, yanaonyesha watu...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Tujiulize: Majaliwa, Mpango sasa Nchimbi! Tatizo ni rushwa

    Mama ukiwa mchapa kazi na sio mla rushwa na unapenda haki unakuwa adui yake.
  19. 2

    JamiiForums Tanzania Nchimbi angesoma na kuzielewa sheria zifuatazo kwenye kitabu cha 48 laws of power kingemsaidia sana

    Sheria namba 1, 14, 18, 35, 38, na sheria namba 46 Never Outshine the Master Pose as a Friend, Work as a Spy Do Not Build Fortresses to Protect Yourself—Isolation Is Dangerous Master the Art of Timing Think as You Like, But Behave Like Others Never Appear Too Perfect
  20. K

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Nilisema nimejiweka tayari kuzibua masikio yangu yote kumsikiliza Dr Nchimbi kama analo jipya la kuwaambia waTanzania juu ya ubovu wa chama chake. Hii ni bila kuathiri uamzi wangu niliokwisha hitimisha kwamba "Kupona kwa Tanzania, hakuna budi CCM yenyewe ife", kwanza. Nimemsikia Dr Nchimbi...
Back
Top Bottom