Siku ile aliyotoa hotuba Dr. Nchimbi kwamba Watanzania wapiganie Katiba mpya, sikumwelewa vizuri, lakini kwa sasa nadhani nimemwelewa kwa kwa asilimia kubwa.
Mambo makuu matatu aliyoyasema ambayo yamenifanya nimwelewe ni kama vile:-
1. Mmemwalika mtu anayefanana fanana na kazi yenu(kutetea haki...