Habari jamii Africa.
Mmmmh.
Poleni wananchi wa Tanzania,
Poleni raia wa Tanzania.
Lakini poleni zaidi wapenda Mabadiliko wa Tanzania.
Mimi ni mmoja wa wapenda Mabadiliko,ambaye sipo upande wowote wa chama,japo kazi zangu naweza jikuta natekeleza ilani ya CCM ila nachojua Mimi nawajibika...