Baada ya kulazimisha ushindi, sasa analazimisha furaha, lakini moyoni hana raha wala amani.
State funded manipulators wanakuja kwa kasi na ni wengi sana, huyo Madenge ni kitangulizi tu, mara waseme wamelipwa, mara sijui nini, watakuja mpaka na risiti za kutengeneza, lakini wananchi washausoma...