nauza

  1. Tronics guru

    Nauza samsung s8 kwa bei nafuu sana

    Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa. Wakuu habari Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%. Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya m/city. Bei 450000/= Ram 4 Storage 64. Nipo iringa kwa sasa. Nicheki WhatsApp +255745588735. Nitakutumia...
  2. Z

    TV4Sale Nauza tv flat screen

    NAUZA FLAT SCREEN Brand star sat inch 43. HDMI+2. smart tv haina shida yoyote Ina wiki tatu tangu ninunue Bei 700,000 location sinza Africa sana Kwa mawasiliano zaidi pm
  3. R

    Nauza nyumba ipo Pugu - Kinyamwezi

    Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba mko salama kabisa. Aidha, nawapongeza kwa mapambano makali dhidi ya huu ugonjwa wa korona. Kadhalika, tuendelee na utaribu wetu wa kuhakikisha tunanawa kwa maji tiririka na sabuni ili kujikinga na hili gonjwa. Pia inatupasa tumtangulize mbele...
  4. cantona55

    Fursa ya kuuza magazeti kwa kilo

    ......
  5. K

    Nauza mayai ya kienyeji halisi(pure) siyo chotara - Arusha

    Habari wanabodi, nauza Mayai ya KIENYEJI HALISI- PURE SIYO CHOTARA. BEI NI SHILINGI 13,500/ KWA TREI MOJA. PUNGUZO LIPO KWA ATAKAYECHUKUA MENGI. KWA MAWASILIANO:- *Piga/text/WhatsApp* 0765894955/0693100453 Arusha Tanzania
  6. Mr Evans

    Nauza Toyota vitz new model 2008

    SOLD BY THE OWNER TOYOTA VITZ NEW MODEL-2008 Asking Price: TZS 8,500,000 Location: Dar es salaam, Tabata Low Mileage: 64,000KMs Number: T*** DNY Imported: Dec 2017 with 59,000 KMs, New Tires installed November 2019 No accident history, elegant and minty. All documents available. Economy...
  7. Root root AE

    Phone4Sale Nauza Infinix hot 8

    Simu ishauzwa. Nashukuruni sana.
  8. Miss Mbeya

    House4Sale Nauza nyumba

    Hi
  9. bucho

    Nauza XBox One, nipo Arusha

    Natafuta mteja wa kumuuliza Xbox One, nipo Arusha . Ina memory ya 500gb pia ina inakuja na pads zake mbili na games tatu. Bei ni 550,000 ila inapungua kdg. Kwa maelezo zaidi njoo PM.
  10. K

    Natengeneza na kuuza chakula cha Samaki

    Habari wadau wa JF, Karibuni mjipatie chakula cha samaki chenye virutubisho vya kutosha. Simu: 0767900396 au 0782391954. KARIBUNI sana.
  11. Johnyy

    Nauza mapapai ya kisasa mbegu ya Carina na Malkia

    wana JF naitw john napatikana Kibaha pwani nauza Mapapai ya kisasa makubwa kwa madogo karibuni sana kwa mawasiliano 0686301689 pamoja sana bei za shamba
  12. Albert_2010

    Nauza iPhone 8, 256 GB 950k

    Sold
  13. G

    Nauza godoro super banco 6*6 inch 6

    Godoro ni super banco limetumika miezi 7 ni kama jipya. Linapatikana Mwanza kirumba Mawasiliano: 0745352352 Bei: 150,000 tzs
  14. Martin Kemosabe

    Nauza nano liquid screen protector

    Nauza nano liquid screen protector Bei: 200,000 Mahali ilipo: Ubungo/Kibo (dar es salam) Accesories zake ndani kuna: 1. Power bank 2. Liquid zenyewe vipo vichupa 6 (bei ya kimoja kikiisha ni 50,000) 3. Wipes 4. Gloves. 5. Taa mbili (USB lights) Hizi mashine zipo ndani ya Brief case kwa ndani...
  15. engineer_mxi

    Computer4Sale Nauza laptop aina ya HP 6735 sh 210,000

    processor AMD turion(tm)X2 Dual core mobile RM-70 2.00GHz RAM 1 GB HARD DISK DRIVE 250GB INAPATIKANA MBEZI LUIS, DAR ES SALAAM BEI 210,000 TSH
  16. Website design

    Nauza Vioo vya laptop (2) vizima kabisaa pamoja na keyboard ya dell inspiron 15

    Je una laptop iliyovunjika kioo Nina laptop mbili za Dell inspiron 15 Zote zimeharibika nauza vifaa kwa bei cheee. Vimebaki vioo viwili vya laptop 15.6" (inch 15.6) bei ya kioo nitakufaanyia kwa 90,000 tu pamoja na kukufungia pia nina keyboard nzimaaa Keyboard nauza 40,000...
  17. 0

    Nauza kiwanja Dodoma Nala-Lugala

    Kiwanja kimepimwa..ni kwaajili ya shule (nursery) kina ukubwa wa square meter 2786. Bei ni 6000@square meter 1 (maongezi yapo) kwa yoyote alokua interested anicheki watsap no 0755322896
  18. Mwenda pole hajikwai

    Nauza kingamuzi cha dstv

    Kipo DSM Kina HDMI Tsh 50000 0693179844
  19. Wangari Maathai

    Nauza dagaa wa Mwanza

    Heri ya mwaka mpya. Ninauza dagaa wa Mwanza, ukitaka kuwa wakala nicheki tufanye biashara kwa bei nzuri sana na wale wanaoagiza gunia chache chek na mimi Natuma mikoa yote Tanzania Dagaa hawana mchanga kabisa, wapyaa. Mawasiliano: 0688 590080 Airtel 0626 740265 Halotel
  20. Zillionaire_tz

    Nauza kuku wa mayai (layers)

    Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu. Nauza kuku wa mayai wapo 540 (mia tano arobaini), bado wiki mbili waanze kutaga. Nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3. SABABU: Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi. LOCATION: DODOMA
Back
Top Bottom