ELIMU PESA
Member
- Jul 22, 2017
- 62
- 36
Nauza friji kama inavyoonekana kwenye picha. Bei ni shilingi laki 110,000/= (laki moja na kumi).
Haina gesi. Ikiwekewa gesi inagandisha na kupoza bila shida. Ninapatikana Morogoro, Kihonda-Bima. Mawasiliano 0755267811.
Sababu ya kuiuza ni uhitaji wa fedha kwa haraka kwa lengo la kutatua tatizo linalonikabili.
ASANTENI!
Haina gesi. Ikiwekewa gesi inagandisha na kupoza bila shida. Ninapatikana Morogoro, Kihonda-Bima. Mawasiliano 0755267811.
Sababu ya kuiuza ni uhitaji wa fedha kwa haraka kwa lengo la kutatua tatizo linalonikabili.
ASANTENI!