Habari nauza mashine hiyo hapo.
Kwa ajili ya kutengeneza lambalamba ni ya kubeba na kuanza kazi inauwezo wa kubeba tray moja ya pieces 40 na mzigo unaganda baada ya dakika 15.
Uzuri wa hii mashine haichukui nafasi kubwaunaiweka sehemu yoyote.
Inapatikana DSM Pugu
Zinauzwa sh 850,000 zote mbili...
Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana Barabara ya Balewa karibu na Nyanza Shule ya Msingi. Bei ni 350,000 Tsh. Picture zake ziko chini...
Karibuni sana.
hio ni chumvi ya mawe/mabonge
uzito ni 50kgs
kuna mifuko zaidi ya 500.
ipo Igoma, mtaa wa Kilimo A jijini Mwanza.
bei: 25,000 Tshs. Wengine wanauza elfu 30 mpaka 28,000
Tuwasiliane 0713096076
Samahani waislamu,
Kwa mahitaji ya majike ya nguruwe yenye mimba. Napatikana Mbezi kwa msuguri.
Mbegu ni large white.
Bei chee kabisa ofa ya sikukuu.
500,000 kwa jike moja.
0783985530
Karibuni sana. Ofa mpaka january 15 2022.
Niwatakie siku njema.
Nauza gari, ni min bus yenye usajili wa number C. Aina ya LDV convoy. Gari ipo mwanza kwimba. Linahitaji marekebisho kadhaa na halijatumika muda mrefu. Bei ni 4.7M (mazungumzo yapo).
Kwa mawasiliano na maswali zaidi piga 0769917961. Asante
Karibuni vunja Bei kariakoo online wauzaji wa nguo za kiume pamoja na viatu
Utapata jeans kardet vest T-shirt shirt kwa Bei pouwa
Njoo WhatsApp 0657710078
Wapendwa poleni na majukumu.
Karibuni Sana nauza mikoba na pochi za kike pamoja na begi kwa bei ya jumla .
Napatikana dar temeke
Karibuni Sana mikoni tunatuma kwa njia ya basi. 
0694 185 384
Nauza juice dispenser njia tatu.. ipo vizuri inatumia umeme mdogo sana.. unaweza weka juice ata siku sita ikawa inazunguka bila kuharibika. Pia inatoa ubaridi ule ule wa juice ya kwenye fridge.
Nzuri kwa restaurant, hotelini hata pick na pay.
Bei rahisi kabisa
Bei: 580,000
Location: Kimara...
Kiwanja kipo eneo la Nzuguni centre kabisa kwa wasiokufahamu ni Karibu na stendi kuu ya mabasi ya mikoani na soko kuu la ndugai .
Kiwanja ni kwa ajili ya matumizi ya taasisi za kidini, shule na matumizi mengine.
Kiwanja kina hati kabisa na hakidaiwi ukubwa ni HECTARES 3.1 kama inavoonekana...
NINAWASHUKURU WOTE MLIOPITIA NA KUCHANGIA HII THREAD, NIMEFANIKIWA KUIUZA PROJECTOR NA MUNGU AWABARIKI TUENDELEE KUSADIANA.
MIMI NI KIJANA NINAEJISHUGHULISHA NA UJASIRIAMALI NA KILIMO..NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA KWA KILA JAMBO MNALOLIFANYA NA MUNGU AWABARIKI
Nauza vichwa vya cherehani aina ya JONES 1681 na aina ya CRESTA
Vichwa vyote viwili shilingi 400,000/-
Vinapatikan Singida Mjini.
Mawasiliano 0674212048.
Habari zenu, nauza Bajaji ya kijani Aina ya TV's king, iko mikocheni na iko kwenye Hali nzuri Sana na inavibali vyote na inafanya kazi to a Uber na bolt. Bei ni milioni mbili na laki nne (2.4 million). Mawasiliano 0620704530.
NB- Hii ni Bajaj yangu hivyo haina udalali.
Nauza sabufa aina ya seapiano bei 120,000 imetumika miezi 3 ila kama mpya. Mzigo makini mdundo mnene
Inapatikana Ubungo Dar es salaam.
Njoo pm tumalize biashara
Habari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe...
Habari
Nauza gari Nissan extrail for repair or spare.
Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004
Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine haina shida kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.