Nauza Miti Ya Mbao Pines Ina miaka 14!

Nauza Miti Ya Mbao Pines Ina miaka 14!

Zirconium

Senior Member
Joined
Feb 1, 2025
Posts
178
Reaction score
233
Habari wana Jukwaa

Nauza miti ya mbao yenye umri wa miaka 14 iko Wilaya ya Mufindi Kijiji cha Mapanda Iringa Tanzania Ukubwa wa Ekari 25 imetosha Kuvunwa ( mbao) inauzwa yote kwa pamoja bei ni Tsh 85,000,000/= Maongezi yapo… KARIBUNI SA
IMG_1361.jpeg


Mawasiliano 📞 0750827076 ( WhatsApp Tu )
 
Back
Top Bottom