Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

Manumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2019
Posts
1,356
Reaction score
780
Haijawahi kurudiwa rangi
1990cc
Kibamba - Dsm
.
0717 650800

IMG-20260525-WA0010.jpg
IMG-20260525-WA0003.jpg
IMG-20260525-WA0012.jpg
IMG-20260525-WA0009.jpg
IMG-20260525-WA0011.jpg
IMG-20260525-WA0013.jpg
IMG-20260525-WA0015.jpg
IMG-20260525-WA0026.jpg
IMG-20260525-WA0021.jpg
 
Sijawahi kununua gari.

Siyo mjuzi wa magari.

Ninaomba kueleweshwa ikiwa gari kutorudiwa rangi ni sifa kuu kabisa kuliko kujua juu ya kilomita ambazo gari imeenda, service ya mwisho kufanywa, kama inahitaji service kabla mtu hajainunua, model yake n.k.

Nauliza hivi kwakua nilikua nahitaji honda click used kuna jamaa tukawasiliana akanijibu tu "imenyooka" nikaambiwa inamaanisha iko safi kila kitu. Sasa kwenye gari mtu akisema haijrudiwa rangi ni sifa kuu kuliko nilizouliza?
 
Kuwaka moto vipi, na Bodi kubwa vipi ?
Kwahiyo maloli huwa hayapaki ?
Acha kuharibu biashara za watu Kijana:
Wacha mnunuzi akaikague mwenyewe:
Samahani kama nimekukwaza bro,mnunuzi pia anastahili kujuwa ukweli hujui pesa kaipataje,habari za kuwaka zimo humu humu zilijadiliwa, sasa Lorry utaenda nalo mlimani City au City Mall??? anyway maamuzi ni ya mnunuzi aliuliza changamoto na hizo ndio changamoto zake.
 
Samahani kama nimekukwaza bro,mnunuzi pia anastahili kujuwa ukweli hujui pesa kaipataje,habari za kuwaka zimo humu humu zilijadiliwa, sasa Lorry utaenda nalo mlimani City au City Mall??? anyway maamuzi ni ya mnunuzi aliuliza changamoto na hizo ndio changamoto zake.
Punguza kiherehere kaka....kwahiyo ukiwa na Dualis unalipukiwa au sio? Ama ukiwa na Dualis huwezi kupaki pale mlimani city?

Ama unamaanisha nini?
 
Kupaki ni body lake namna ilivokaa huu ni mtazamo wangu,gari ya watu watano pamoja na dereva inaonekana kama min bus,kuhusu kulipuka story zipo humu.kainunue bro.
Kwahyo mtazamo wako na udereva wako wa kujifunza ndio umekwambia kupaki Dualis ni changamoto? Gari ya watu wa5 ni mini bus, ist inabeba watu wangapi? Nayo ni mini bus?
Ama gari yako wewe inabeba watu wangapi mzee? Labda tuanzie hapo
.
Kuhusu kulipuka, kwahyo unabeba stori za watu huko ambazo huwezi kuzithibitisha unaleta kwenye biashara yangu au sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom