natafuta mchumba

  1. Prof_rutta22

    Natafuta Mchumba Dodoma

    Natafuta KAZI Dodoma mjini PM
  2. S

    Natafuta mchumba mwalimu au nesi alie Bariadi

    Wadau habarini, Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua...
  3. MaT2B

    Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

    Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu. Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa. Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi...
  4. A

    Natafuta Mchumba (mke mtarajiwa): Makazi Mbeya mjini

    Kichwa cha habari cha husika hapo juu. 1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah. 2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia. 3. Natafuta mwanamke kwa maana ya Mchumba ili ikimpendeza Allah basi tuweze kufunga ndoa mwaka huu tuishi...
  5. AnyWayZ

    Serious: Natafuta mke mmoja tu

    Habarini Mabinti na wale wenye dada zao. Nafasi ni moja tu, anatafutwa binti mzuri wa muonekano na tabia yaani Mtu mwenye Utu na Utulivu. Umri: 18-23 (Asiye mshangazi bila Kitambi) Elimu: Si muhimu. Dini: Si muhimu. Kabila: Si muhimu. Kazi: Si muhimu ila asiwe mvivu mvivu. Bikra: Si lazima ila...
  6. Q

    Natafuta mchumba

    Kama heading ilivo natufata mchumba umri wowote nahitaji mwanamke wa kwenda nae motoni
  7. S

    Natafuta mchumba ,awe na sifa ya kike haswa na awe anaishi dar .

    Umri wangu 32 Dini muislamu. makazi dar natafuta mchumba awe anaishi dar ,awe na sifa ya kike Umri usizidi 35.
  8. Q

    Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mchumba mtu mzima

    Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
  9. D

    Nahitaji mchumba wa kike anaejielewa, umri wangu 25 nimejiajiri. Hata akiwa ananizidi umri sio mbaya, awe anajielewa tu

    Awe anajielewa, muonekano wa kawaida tu ila ukiwa mzuri wa sura itapendeza zaidi.
  10. S

    Natafuta mchumba awe anaishi Dar

    Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar Umri 20-35. Umri wangu 32. Asiwe slay queen. Ajue thamani ya mwanaume Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
  11. E

    Natafuta mchumba

    A/alleikum Naitwa Bakari Hamisi mkazi wa Dar es salaam. Umri 32 miaka. Kazi: Muajiliwa (Electrical engineer) Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke kama tukiridhiana Sifa Uwe Muslim Elimu yoyote Mkazi wa Dar es salaam au jirani Umri 20-29 Napatkana telegram 0759565300 or normal.
  12. bigmen

    Niko serious natafuta mchumba

    Habari JF, Mara nyingi humu ndani mtu akiandika kitu anaonekana hayuko serious, Juzi nimeweka Uzi apa nimesema kuwa nahitaji mchumba lkn watu wakatania tania tuu sikupata hata mumoja, Kuna mumoja nikajaribu kumfata Pm nikamwomba tuwe marafiki tuu lkn hatujafika popote anadai kuwa yeye ni...
  13. bigmen

    Natafuta mchumba

    Natafuta mchumba ambae, anaye elewa maisha mvumilivu kwa kila Hali, mwenye hofu ya Mungu, mchapakazi ili tukiwa pamoja tujenge si sio kuvurugana. Umri wake 25-29 Nipo Kilimanjaro Moshi mjini, Nichek pm tuongee vizuri
  14. U

    Natafuta Mchumba

    Habari Za Leo Ndugu Zangu. Mimi ni Mwanaume Natafuta MCHUMBA Ambaye baadaye Tunaweza Kuwa Mume na Mke. SIFA ZANGU. 1. Elimu Chuo 2. Umri Miaka 28 3. Nimeajiriwa SIFA ZA MCHUMBA 1. Awe Anajitambua 2. Mkristo 3.Umri Asizidi Miaka 35 4. Elimu Yoyote Aliyonayo. #MUNGU AWABARIKI.
  15. K

    Natafuta mchumba/ mwenza

    Mimi ni kijana wa miaka 30, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Sifa za mwenzi ninayemtaka 1. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea. 2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi. 3. Ajitegemee kiuchumi na awe...
  16. 12345609

    Natafuta mchumba(ke)

    Umri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
  17. Ndama Jeuri

    Natafuta mchumba wa kike muislamu

    Awe muislamu Umri 20-30 Hajawahi kuolewa kama ana mtoto asizidi mmoja kabila lolote lile. Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea. Sifa zangu Umri 33 Mtumishi serikalini Sijawahi kuoa Mengine mengi tutajuzana PM ALIYE INTERESTED ANICHEK PM,tukimatch tufunge Ndoa before mwezi wa sita mwaka huu...
  18. E

    Natafuta mchumba

    Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam Nmeajiliwa Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa, Sifa awe na Umri kuanzia 20-28 Muislam Mawasiliano zaidi 0759565300
  19. Mkemia kay

    Natafuta mchumba (KE)

    Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company. Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm NB serious relationship kuelekea ndoa
  20. S

    Natafuta Mchumba aje kuwa mke

    Habari za Kazi, Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa. Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama...
Back
Top Bottom