mbona picha huweki kwan una kasoro ganUmri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
Linus jamaa anataka kababe bana, akucheki wewe kivipi sasa?
hapo mtaani kwako kama kakuna hapa jf kuna wakubwa kuliko umri huo, labda wakupe watoto waoUmri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
Watoto wa hawa waliomonJF ndiyo mimi G4N mwenye miaka 28.hapo mtaani kwako kama kakuna hapa jf kuna wakubwa kuliko umri huo, labda wakupe watoto wao
Huu utani wa ngumi jamaa anatafuta mke we unamwambia Linus tenaOyaaaa Linus Linusmtei kakwambia umcheki unasitasita hahahah.. dah
Kasema afwatwe inboxHuu utani wa ngumi jamaa anatafuta mke we unwambia Linus tena