Wakuu habari za wakati huu,natumaini mpo salama.
Mtanisamehe,mimi sio mwandishi nzuri.
Wakuu nina changamoto ambao nimeshindwa kulitatua hivyo nahitaji msaada wenu.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Kilimanjaro,nimekuwa nikipitia vipindi vigumu sana kiuchumi,ni mengi ninayapitia...