nani

Luís Carlos Almeida da Cunha ComM (born 17 November 1986), commonly known as Nani (Portuguese pronunciation: [naˈni]), is a Portuguese professional footballer who plays as a winger and captain for Major League Soccer side Orlando City SC. He represented Portugal in international football, and has played over 100 times for the senior national team.
Nani was born in Amadora, Portugal, and is of Cape Verdean descent. He began his football career playing for local side Real Massamá. At the age of nine, he began training with Sporting CP and S.L. Benfica on alternate days, eventually joining Sporting's youth squad after they offered him pre-season training.Nani made his professional debut with the club in 2005 and won the Taça de Portugal during his second season with them. Nani was named the SJPF Young Player of the Month for May 2007 and his performances with Sporting culminated into a move to English club Manchester United in July 2007 for a fee of €25 million.Nani won the Community Shield on his competitive debut at Manchester United and added a number of trophies, including the Premier League and Champions League during his debut season at the club. He established himself as first-choice winger at United and won a further three Premier League titles, the Football League Cup, one FIFA Club World Cup, and three Community Shield titles. Individually, Nani was included in the Professional Footballers' Association (PFA) Premier League Team of the Year on one occasion and was a nominee for the PFA Young Player of the Year in 2011. Following a loan back to Sporting, in which he won the Taça de Portugal, he was signed for £4.25 million by Fenerbahçe in July 2015, and a year later he signed for Valencia. He rejoined Sporting CP in July 2018.
Nani is also a Portugal international. After first playing at under-21 level, he made his debut for the senior Portugal team in September 2006 in a friendly match against Denmark and scored his first goal during the 4–2 defeat in Copenhagen. Nani has represented his country at four major tournaments, including three European Championships: he took part at the 2008, 2012 and 2016 European Championships, reaching the semi-finals of Euro 2012, and winning Euro 2016; he also participated at the 2014 FIFA World Cup with Portugal. Since his debut, he has made over 100 international appearances and scored 24 goals.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Swali: Hivi ni nani aliyetufundisha Waafrika kula rushwa na kufanya ufisadi?

    Habari! Karibu nchi zote za Afrika rushwa na ufisadi viko katika kilele. Hata hapa ninapoandika wasomaji wengi mmewahi kutoa au kupokea rushwa. Haijalishi ulitoa elfu 5 ya brush kwa afande Juma ulipozidisha mwendokasi au ulitoa elfu 10 kwa mhudumu wa mahakama akugongee muhuri documents zako kwa...
  2. Superbug

    JamiiForums Tanzania Je, nani anajua kwa usahihi zero distance (0) inaanzia wapi?

    Kwenye kuhesabu kilometers na mileage za kila mkoa Kuna zero na hapo kwenye zero ndio huanzia sifuri ya mkoa kwenda mikoa mingine Sasa kwa morogoro Kuna alama iliwekwa na mjerumani je Nani anajua ilipo? Mimi naifahamu barabara kwa anaeijua aseme! Na kwenye Uzi huu kila mtu ataje zero point ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ni Nani Shujaa Wa Mtanange Wa Stars Dhidi Ya Benin - Manula Au Msuva?

    Swali hili ni La Kawaida Sana , tusilichukulie Ki Usimba Na Uyanga. Goli La huyu Mwamba Msuva Lilikuwa Fantastic ...! Lakini ile misukosuko Iliyoelekezwa Langoni Kwa Stars Sio Ya Kitoto na Manula alifanya Kazi nzuri na Ya Ziada Kufanya saves za Maana...! Hatimaye tumeibuka Washindi. Kwako Shujaa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Katambi avunja ngome ya Upinzani Ushetu amwombea kura mgombea wa CCM Comred Emmanuel Peter Cherehani

    Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania "Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura " Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias...
  5. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hassan anamwambia nani kazi iendelee na ni kazi gani hiyo?

    Mara tu baada ya kushika kiti cha Urais kwa kula kiapo, Mhe. Rais Samia Hassan Suluhu alisema 'kazi iendelee'. Na kufanya msemo huo kuwa mwitikio wa salamu ili msemo huo udumu na kusikiksa mara kwa mara. Sasa kuna maswali yafuatayo: Kwa kuzingatia lugha ni kwamba kazi hiyo si zaidi ya moja...
  6. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Kati ya Ronaldo na Salah nani alistahili tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba?

    Baada ya Ronaldo kutangazwa leo kuwa ameshinda tuzo ya mchezaji bora Septemba, kumeibuka minong'ono kuwa tuzo hiyo alistahili kutwaa Mohamed Salah wa Liverpool! Hata mchambuzi maarufu wa BBC Match of the day, Gary Lineker amekiri kuwa Salah alitakiwa ndio awe mshindi. Je wewe mchambuzi wa JF...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Chuo Mwenge wamenikuta nakula hivi Usiku huu Wamenicheka je, Mimi na Wao waliokula Kiepe Mshikaki cha Kushea nani kala Afya?

    Nimepita Mwenge na Kununua Sahani yenye Mseto wa Matunda yote Muhimu kwa Tsh 1000/= tu na kuna Vijana wa Chuo nimekuta wamenunua Chips na Mishikaki kwa Tsh 2500/= na wanakula kwa Kushea ( Kupeana Assist ) Cha Kushangaza Wao wakawa wananicheka Mightier kwa Kula Sahani yangu ile ya Mseto wa...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Nani anastahili tuzo ya Nobel katika marais 6 tuliowahi kuwa nao Tanzania?

    Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo. Swali: Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Swali : Nani mchunguzi mkuu wa matumizi ya Benki Kuu Tanzania?

    Ningependa kujua ni nani mchunguzi mkuu wa Benki Kuu ya Tanzania? Navyosema mchunguzi ni kwa matumizi ya bank kuu na budget za kujiendesha kama kulipa wafanyakazi, majengo, uendeshaji wote wa shughuli za kibank. Wasiwasi wangu ni kwamba bank kuu yetu ya Tanzania haijapewa mandate ya kusaidia...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nani kulipa hasara hii ya WhatsApp?

    Hebu wataalamu na wajuzi wa mambo wanisaidie. Toka jioni mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram haifanyi kazi. Imesimama. Baadhi yetu kama Mimi biashara zangu zimesimama kwa sababu hiyo. Hivi nani atanifidia? Je, itapita tu eti wameomba radhi kwa usumbufu? TCRA kama regulator anatusaidiaje...
  11. Geza Ulole

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya ndege za kukodi kwenye safari za serikali za viongozi ni kwa faida ya nani?

    Mwaka mmoja uliopita Sasa anatumia za kukodisha Ambazo gharama ni kubwa na ukizingatia tuna ndege za serikali na marubani wa serikali kwa ajili ya usafiri wa viongozi ukiacha wahandisi na wahudumu! Huu ndo uzalendo kweli? MY TAKE Mishahara ya wafanyakazi wa shirika la ndege la serikali...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nani dikteta ? Kiongozi au serikali ?

    Ni bora mkatudadavuliya ili tujue ni nani na kipi kinatofautisha udikteta. Vipimo vitasaidia na kuwasaidia waamuzi wanapoamua ili watazamaji wasione kuna upendeleo. Kuna mtu alimwita jamaa dikteta uchwara kisha akatoka baru ,sikuelewa hadi leo hajarudi ,nikimaanisha akimuogopa Dicteta au...
  13. G

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kuleta maendeleo kwenye jamii ni jukumu la nani?

    Nilipokuwa mdogo niliwaza na kufikiri kuwa, swala la kuleta maendeleo (mabadiliko) kwenye jamii ni jukumu la serikali na matajiri pekee. Nilihisi wao pekee ndio wenye nguvu ya kufanya hivyo. Mpaka leo mawazo haya yapo kwa baadhi ya watu ikiwemo vijana. Wengi wetu uhisi kuwa kuna kikundi fulani...
  14. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania Hii kitu inayoitwa CROWD FARMING, Tanzania nani wanafanya??.

    Rejea video.
  15. simplemind

    JamiiForums Tanzania Nani kama mama?

  16. N

    JamiiForums Tanzania Nani anamiliki Toyota Filda humu?

    Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500. Ubarikiwe
  17. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Mtu abisha hodi mchana, kwanini umuulize "wewe ni nani"?

    Habari za muda huu! Mtu anabisha hodi mchana kweupe, kwanini umuulize "wewe ni nani"?! Sioni mantiki ya kumuuliza hili swali mchana. Ingekuwa ni usiku sawa maana usiku una mambo mengi. Binafsi nikigonga mlango mchana, mtu aniulize hivyo huwa natafsiri kwamba ni dalili ya ubinafsi na ni...
  18. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Nani anahakikisha Ubora wa Hand Sanitizer?

    Tofauti na wenzetu sisi kila mtu mtaani anazalisha Hand Sanitizer eg. Nilienda duka la nguo nikakuta hand sanitizer zinauzwa kuangalia brand ni ya mwenye Duka (Sachko). Nani hudhibiti Ubora wa hizi bidhaa za kujikinga na Corona?
  19. Fortilo

    JamiiForums Tanzania Nani anamlipia Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Matangazo Mubashara Clouds TV?

    Sote tunakumbuka ya Clouds na report ya CAG kuhusu malipo zaidi ya milioni 600, kwa kisingizio cha kutangaza utalii wa ndani. Leo, kati kati ya huduma mbovu za miundo mbinu ya bara bara, shule, na mahitaji lukuki ya hospitali za umma, kwenye mkoa wa Dar es salaam, mkuu wa mkoa yupo...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

    Kama mwezi hivi umepita! Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco! Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake! Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele...
Back
Top Bottom