nane nane

Joseph Nane Fils Eone (born March 12, 1987 in Yaoundé) is a Cameroonian footballer, who last played for ASIL Lysi in the Cypriot Second Division.

View More On Wikipedia.org
  1. Nane nane experience

    The journey to Nane Nane this year was exciting, full of lessons and knowledge exchange. About 12 farmers from Singida Region travelled for this amazing experience—Farmers Day, famously known as Nane Nane Day – (8th August 2025)! But this was not just an ordinary Nane Nane; it was an...
  2. Natamani kuona Nane Nane inakuwa sikukuu ya Wakulima kama zamani

    Y
  3. Heri ya Sikukuu ya Nane Nane

    Leo, tunasherehekea na kuwaheshimu wakulima wote wanaofanya kazi kwa bidii ambao huamka kila siku kulisha taifa letu na kulinda mustakabali wetu. Ninyi ndio msingi wa usalama wa chakula, mashujaa wa ustahimilivu, na sababu ya kuweza kuota kesho iliyojaa chakula. Ninyi ndio bora zaidi! Katika...
  4. Heri ya Sikukuu ya Nane Nane 🫶🏾💚🇹🇿

    Leo, tunasherehekea na kuwaheshimu wakulima wote wanaofanya kazi kwa bidii ambao huamka kila siku kulisha taifa letu na kulinda mustakabali wetu. Ninyi ndio msingi wa usalama wa chakula, mashujaa wa ustahimilivu, na sababu ya kuweza kuota kesho iliyojaa chakula. Ninyi ndio bora zaidi! Katika...
  5. Watu wajizolea nyama ya bure nane nane

    Wananchi waliofika kwenye Maonesho ya Nanenane, Nzuguni, Dodoma wamepewa ofa ya kugawiwa nyama bure. Soma pia: Ufisadi Nane Nane 2024 - Mamlaka husika zichunguze mchakato mzima Chanzo: Global tv online
  6. Maonyesho ya Wakulima ya Nane Nane yanapogeuka kuwa maonyesho ya Wamachinga

    Katika maonyesho haya ya wakulima kipindi hiki imekuwa na utofauti mkubwa sana Zaidi ya mwaka Jana. Tofauti ni Kuwa wamachinga wa nguo ,wamachinga wa vyombo na mama ntilie,wauzaji wa dawa za asili wamekuwa wengi kuliko wakulima na wafugaji. Mabanda ya ng'ombe, mbuzi, na kuku hayazidi...
  7. Hivi maonyesho ya nane nane Mbeya kwa mwaka huu(2025) hayatakuwepo?

    Sababu ya kuuliza iwapo mashindano haya kama yapo ni kusawazishwa kwa eneo lile kana kwamba kwamba unatengenezwa upya.
  8. Plot4Sale Kiwanja kinapatikana Nzuguni Dodoma

    Habari wakuu nimerudi tena nauza viwanja vinne 4 eneo ni Nzuguni unapojengwa uwanja wa mpya wa mpira.kwa wale niliowai kuwauzia wanapajua vizuri Huduma zote zipo Umeme, maji , barabara lami ukubwa tofauti tofauti 774, sqm 427, sqm 618, sqm 651 sqm. BEI ni kuanzia million 5 ,6,8 adi 14...
  9. Sabasaba vs Nane nane

    Tarehe 7.7. 1954 kilizaliwa chama cha Ukombozi wa Tanganyika. Kiliitwa Tanganyika African Nation Union (TANU). Maazimisho ya sabasaba yalikuwa na historia ya kuanzishwa kwa Chama (TANU). Mnamo mwaka 1992 baada ya JAMHURI ya muungano wa Tanzania kuingia katika mfumo wa vyama vingi...vyama vya...
  10. N

    Kampuni ya sukari kilombero yawataka wakulima kuchangamkia fursa ya upanuzi wa kiwanda cha k4 katika tamasha la nane nane

    Dodoma, Tanzania – Agosti 08, 2024 – Kampuni ya Sukari ya Kilombero imeshiriki katika Tamasha la mwaka huu la Nane Nane, lililofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 8 katika mikoa ya Dodoma na Morogoro. Siku ya Nane nane ni fursa kwa Kampuni hiyo kutoa elimu na kushirikiana na wakulima kwa kuonesha...
  11. Leo ni 8/8 Sikukuu ya Wakulima Tanzania, una ujumbe gani kwa Wakulima?

    Sikukuu ya wakulima inayofahamika kuwa Nanenane ina sherekewa nchini kote tarehe 8 Agosti kila mwaka. Sherehe hiyo inatayarishwa na kuratibiwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Shirika la Chama cha Kilimo Tanzania (TASO) na kuhusisha Taasisi, Wizara na mtu mmoja mmoja wanaoshughulika na...
  12. A

    DOKEZO Ufisadi Nane Nane 2024 - Mamlaka husika zichunguze mchakato mzima

    Wakuu, Nane-Nane ya Mwaka huu imegubwikwa na ufisadi wa hali ya juu hususani katikamaandalizi yake. Hii yangu inakuja kama muendelezo wa kile amba ho kiliwekwa wazi kwamba kuna vyoo viwili tu katika eneo lote kitu ambacho kimesababisha kero kubwa kwa washiriki. Ukienda mbele zaidi haya ndio...
  13. Tutakuwa na Nane Nane Arusha, njoo ujipatie miche ya Pixie, Dragon na Tangarine

    Nitakuwepo nane nane Arusha na miche ya matunda kama Pixie Orange, Tangarine, Mineola na Clementine pia. Dragon fruits miche itakuwepo plus elimu ya kutesha Pixie ndio tutakuwa nazo nyingi na Dragons plus matunda yake. Pixie ni machungwa seedless ambayo ni cross ya Tangarine na Sweet...
  14. Stand ya Nanenane Dodoma ukipaki gari unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiketi ya basi

    Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa. 1. Ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari na wanakupa tiket. 2. Ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiket ya bus. sasa mimi kwa mfano, nimekuja na mwanafamilia nikiendesha gari yangu...
  15. M

    Bashe ni Kiongozi mzuri atafika mbali, lakini ulichofanya Nanenane Mbeya Mungu anakuona

    Bashe unachofanya kwenye kilimo lazima Watanzania tukupongeze hasa sisi wakulima. Na Kwa kweli kama nchi hii utakuja kuwa Rais wakulima tutaheshimika kama ulaya na marekani. Umetutetea Wakulima tuuze mazao kokote tunakoweza kupata faida Hilo tunakushukuru. Lakini hebu fikiria wananchi wa Sae...
  16. M

    Bashe ni Kiongozi mzuri atafika mbaki lakini ulichofanya nane nane Mbeya Mungu anakuona

    Bashe unachofanya kwenye kilimo lazima watanzania tukupongeze hasa sisi wakulima. Na Kwa kweli kama nchi hii utakuja kuwa Rais wakulima tutaheshimika kama ulaya na marekani. Umetutetea Wana tuuze mazao kokote tunakoweza kupata faida Hilo tunakushukuru. Lakini hebu fikiria wananchi wa Sae...
  17. Rais Samia: Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya Nchi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha sikuku ya Nane Nane jijini Mbeya, leo Agosti 8, 2023. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson amesema wakazi wa Mbeya wanaunga mkono uwekezaji unaofanywa na Serikali kwenye Bandari ya...
  18. J

    Victoria Mwanziva: Karibuni banda la Wilaya ya Ludewa kwenye maonesho ya nane nane Mbeya katika viwanja vya Mwakangale

    NANE NANE MBEYA 2023 KARIBUNI BANDA LA WILAYA YA LUDEWA Maonyesho ya Kilimo - Nane Nane 2023 yafunguliwa leo tarehe 01.08.2023 katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya ambapo mgeni rasmi wa sherehe hizo ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango...
  19. Nini kifanyike juu ya majengo ya kwenye viwanja vya Nanenane na Sabasaba ambayo hukaa bure na wazi kwa mwaka mzima?

    Hasa majengo ya nane nane. Kwenye viwanja hivi ambavyo vipo karibu kila mkoa, utakuta taasisi nyingi zimejenga majengo mazuri na ya kudumu. majengo haya huwa hayatumiki na watu kwa mwaka mzima isipokuwa Kwenye sherehe za nane nane au sabasaba. Tunawezake kuyatumia majengo haya kwa faida kwa...
  20. Maonyesho ya nane nane yanaendelea kupoteza mvuto mwaka hadi mwaka

    Maonyesho haya maalum kwa ajili ya wakulima na wafugaji ambayo hufanyika kila mwaka yanaendelea kupoteza mvuto wake tofauti na ile miaka ya uanzishwaji wake Yan 95,96 na kuendelea. Lakini kuanzia miaka hii ya 2000 katikati hali ni tofauti na miaka ya nyuma. Wamachinga kwenye maonyesho...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…