VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA
VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu.
Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya Tsh 1050 kwa sqm 1 Kama utalipa Cash na Tsh 1,250 kwa sqm 1 kwa mkopo ambapo utalipia 40% na...
Hawa utumishi ndio ilikuwa fursa ya kutatua changamoto za vijana kwenye mfumo uombaji wa ajira kwa kanda zote kipindi hiki cha nane nane kupunguza usumbufu wanaopata vijana,cha ajabu tafuta huwaoni hasa kanda ya nyanda za juu kusini inayofanyika mbeya wenzenu karibia wote wapo. ninyi mnakwama wapi?
Maneno ya Shaaban Robert kwenye kitabu Maisha yangu na baada ya miaka hamsini.
IDARA YA FORODHA
SASA katika kazi ya ukarani nilikuwa mimekwisha kutimiza miaka kumi katika idara hii. Mshahara wangu wa shilingi sitini
kwa mwezi nilioanzia kazi sasa ulikuwa umezidi mara mbili kwa sababu kila...
Masala sayi
08, August 2021
Chuo Kikuu cha Iringa.
Kila ifikapo tarehe 08, August ya kila mwaka Tanzania huadhimisha sikukuu ya wakulima ambapo lengo kuu la sikukuu hiyo ni kuangalia mafanikio ya wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mwaka husika, hivyo serikali kupitia wizara ya kilimo huandaa...
Leo ni siku ya Wakulima Nchini! Siku hii huhitimisha wiki moja ya Maonesho ya Kilimo Nchi nzima ambako Wakulima naWafugaji hukutana na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya Seekta yao!
Cha ajabu mwaka huu hakuna chochote kilichofanyika sijui kumetokea Nini!?Au Corona?!
Kama ndivyo mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.