nakupenda

  1. Dam55

    Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

    Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi. Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home)...
  2. Saa 7 mchana

    Nakupenda sana baby wangu ila tatizo tozo

    Rahaziz mkalia nyongo
  3. C

    Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa

    Habari wana JF, Binafsi nafurahia uongozi wako Mh Rais Samia, lakini napenda kutoa mtazamo tofauti ili kuboresha kwa kuwa bado una muda. Rais wangu, asikudanganye mtu, Uongozi wa Nchi ni mambo makubwa, ni juu ya hatma ya kesho, sio leo tu, ni juu ya leo na vizazi vijavyo. Nchi hii bado ni...
  4. Bella Ciao

    Utajuaje anakupenda?

    Habari wakuu? Nipo kwenye mahusiano na mwanamke ana mtoto mmoja, ambaye alimpata akiwa ndoani lakini baadae baba wa huyo mtoto alikufa kwa ajali. Anamtambulisha huyo mtoto kwangu kama baba yake kamili(kwangu hili sio shida) Nataka nitoke kwenye ujana nafikiri huu ni muda sahihi kwangu wa kuoa...
  5. Jidu La Mabambasi

    Tanzania nakupenda kwa moyo wote

    Ni wakati wa kumwomba Mungu. Ni wakati wa umoja. Tanzania nakupenda.
  6. The Common

    Nakupenda Kritika

    Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na downs zooote. Msishangae kuona nimeoa halafu namtongoza kritika , mwenzangu amepitia machungu mengi...
  7. C

    GE2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

    Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania. Lakini kwa hali ya Siasa ilivyo nchini mwetu na kiu ya watanzania kuondokana na kivuli kizito kilichodumu kwa zaidi ya miaka 59 cha umasikini uliokithiri, ujinga, maradhi, ukiukwaji...
Back
Top Bottom