mziki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...
  2. JamiiForums Tanzania Nirejeshee mziki wangu

    Salaam alyeikum wandugu, mimi ni mpenzi wa mziki kiujumla. Niko Mkoa wa Mwanza ,sasa hivi Karibuni nilinunua sound bar ya JBL Wat 500 nimeitumia miezi 8 Tu Ile bar ikawa inakata Moto. Nimeipeleka Kwa fundi kifupi anasema haitengenezeki!!! Sasa nimekuja mbele yenu kikiwa na maombi yafuatayo; 1...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baa ipo Manzese inapiga mziki kwa sauti kubwa hadi nyumba zinatikisika, tukiripoti hakuna hatua zinachukuliwa

    Kero yangu kubwa ni hapa Manzese Bar ya Kwa Mkwere wanafungua sana mziki kwa sauti ya juu mpaka nyumba zinatetemeka. Wanapiga kuanzia jioni mpaka asubuhi, ni miaka zaidi ya mitano sasa tunakosa usingizi, tukiripoti hakuna hatua zinazochukuliwa.
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali itusaidie, wakazi wa Kipunguni (Dar) tunateswa na kelele za muziki

    Wakazi wa Kipunguni A na Kipunguni Mashariki(Dar es salaam) tunasumbuliwa na kelele za sauti kubwa ya mziki unaopigwa na JAKICHA MOTEL. Tulishapeleka malalamiko yetu katika vikao vya serikali ya mtaa lakini wamekuwa wakitoa majibu yasioridhisha. Tangu 2022 mpaka leo, wanaothirika ni majirani...
  5. JamiiForums Tanzania MZIKI

    Linapokuja suala la kucheza mziki Mungu hakuwasahau watu wafupi.
  6. JamiiForums Tanzania Nimeacha kusikiliza mziki wa wazibapua na chawa. Zilipendwa ndo habari

    Nikiri wazi: tangu nimeacha kusikiliza muziki wa hawa wasanii chawa, moyo wangu una amani sana. Nimengundua muziki wa zilipendwa umejaa madini na hekima nyingi sana, usiochosha kusikiliza. Muziki wa Bongo umeharibika kabisa; wengi umejaa ngono tu. Umejaa kelele, uchi, na maudhui yanayochafua...
  7. JamiiForums Tanzania Nashangaa radio kupiga mziki muda wote kumbe wamegoma buana

    Watu wegoma kisa mishahara ndio maana hata soka halichambuliwi😂🤣😂mambo yanaanza kuwa magumu kila kona.
  8. M

    JamiiForums Tanzania DC wa Kisarawe, Petro Magoti hatimaye mziki aliouona amekuwa bubu ghafla

    Wanasema kuna wale watu huwa wanajiamini kupitiliza wabwekaji kama mbwa koko majigambo mengi, lakini ni waoga, wewe unachotakiwa kufanya usijibizane naye mpe action moja tu hataongea maisha yake yote, atabaki kuchungulia dirishani hatakuja kutoka nje, anaogopa
  9. JamiiForums Tanzania Kumbe Mgombea wetu anajua pia Kucheza mziki, achilia mbali Kurembua na kukata Viuno hata akiwa ameketi Kitini?

    Nimesema Mgombea na sijataja Jinsia wala eneo au nchi sasa Wewe jipendekeze ujae katika 18 zangu nikunyooshe Oky?
  10. JamiiForums Tanzania Baada ya kuchoka ma subwoofer ya seapiano nimejaribu kufunga mziki huu nyumbani

    Huu hapa na nilimuuliza chatgp swali kulinganisha seapiano kubwa kbs kwasasa sp 912 na huu mziki ni nani zaidi Nimenunua active subwoofer 250,000 boom box Power supply 10 A bei 50,000 Radio ya gari 40,000 Twita 30,000 Amplifier ndogo kwaajili ya twita 15,000 Je wakuu niongeze nn au nipunguze...
  11. JamiiForums Tanzania Tufahamu mziki wa JAZZ ni historia yake.

    Mziki wa JAZZ mimi kwangu nilianza kuupenda kipindi cha miaka ya 90 katika king’amuzi cha DSTV kulikuwa na upande redio zilizokuwa zikiwa na mtiliiko wa JAZZ. Mziki wa jazz ni aina ya muziki ulioanzia Marekani mwanzoni mwa karne ya 20, hasa miongoni mwa jamii ya Wamarekani Weusi huko New...
  12. JamiiForums Tanzania Siku hizi hakuna muziki, utakachoishia kuona kwenye runinga yako ni makalio. Sasa sijajua yanaweza kumpa mtu elimu gani

    Siku hizi hakuna mziki ni bange zinaimba tu, utakachoishia kuona kwenye runinga yako ni makalio sasa sijajua yanaweza kumpa mtu elimu gani Sijui itakuwa dunia ya aina gani ya watu kuoneshana makali ikiwa hali hii itaendelea Sijajua watu wanaweza kujifunza nini kupitia makalio kama baadhi ya...
  13. JamiiForums Tanzania Mziki mzuri toka nyikani unakuja tujiweke mguu sawa, unakuja kwa wema ulio wema, ukarimu Umoja na nguvu mpya!, yenye kasi mpya!

    Inshaallah tabarak!, dhamira ni kushika dola na nafasi za uongozi na si uana harakati! °Hata slogan yake inavutia kwa kweli, "CHAMA CHA UKOMBOZI WA UMMA"
  14. JamiiForums Tanzania Natafuta bendi ya muziki

    Habari zenu Wana Jamii forum? Natumanini mko salama kabisaà. Mimi ni kijana wa kiume, nipo Dar Es Salaam, Ubungo. NATAFUTA band ya mziki ya kujiunga nayo katika shughuli za mziki. Yeyote anaeweza kuniconnect na kikundi chochote kinachofanya mziki wa live ntashukuru Sana. Experience yangu ni...
  15. JamiiForums Tanzania Mziki wa mchiriku

    .
  16. JamiiForums Tanzania Wasanii wa Tanzania jifunzeni kustaafu, bongo mziki bado sio biashara ya kudumu

    Salaam! Ushauri kwa wale wanaojiita ma-regendary wa bongo wakuu ukweli huu hamtaupata popote na auonaye amwambie mwenzie ,wakuu Game ya bongo ya Muziki na hata sanaa zingine sio kazi au biashara ya kudumu ,mtawafariji ooh mbona wa ulaya mpaka leo wanapiga show ,wakuu hilo game la ulaya leo hii...
  17. JamiiForums Tanzania Maana halisi ya mziki ambao umeunganisha afrika

    Mwenye vibao kama hivyo vyenye ujumbe pamoja na melodies kali naziomba
  18. JamiiForums Tanzania Jamani mziki wa club mshenzi unaweza kunigharimu kuanzia bei gani?

    Namaanisha speakers za mdundo mzuri na radio selector yake zinaweza kunigharimu bei gani wakuu. Ambavyo ukifungulia muziki watu wa kitaa wanaweza kuenjoy muziki mzuri
  19. JamiiForums Tanzania Wasukuma wana mziki mzuri sana wa asili kuzidi hata bongo flava ya sasa na singeli.

    Great Thinkers Hawa jamaa kwenye Kuimba wana dunia yao aisee na havana mpizani hapa Tanzania. 1. Msukuma humwambii chochote kuhusu nyimbo zao za asili, tembelea uskumani kama utakuta singeli never 2. Wana wasanii wao ambao kwa kweli wanaimba vizuri sana kama Elizabeth, kisima, kadochiza...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Kwa singeli Kabudi unatukosea Watanzania huujui vizuri huo mziki. Bongo Fleva ndio mziki rasmi unaoitambulisha Tanzania

    Nimeona video clip ambayo muheshimiwa waziri Kabudi anazungumza nia ya wizara yake kusimamia mchakato wa kuufanya mziki wa SINGELI kuwa mziki rasmi wa kuitambulisha Tanzania jambo ambalo sio sahihi kwa sababu zifuatazo: Kwanza kabisa tayari Tanzania ina mziki unaoitwa Bongo fleva...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…