nyamva
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 245
- 158
Salaam alyeikum wandugu, mimi ni mpenzi wa mziki kiujumla. Niko Mkoa wa Mwanza ,sasa hivi Karibuni nilinunua sound bar ya JBL Wat 500 nimeitumia miezi 8 Tu Ile bar ikawa inakata Moto. Nimeipeleka Kwa fundi kifupi anasema haitengenezeki!!! Sasa nimekuja mbele yenu kikiwa na maombi yafuatayo;
1. Kwa mwenye bar peke yake na Hana matumizi nayo naomba tufanye biashara
2. Kama kuna fundi mtaalamu wa hizi aje inbox tuyajenge
3. Napenda kufahamu kama woofer hii mzito unaweza kubadilishwa Kuwa spika ya kawaida
1. Kwa mwenye bar peke yake na Hana matumizi nayo naomba tufanye biashara
2. Kama kuna fundi mtaalamu wa hizi aje inbox tuyajenge
3. Napenda kufahamu kama woofer hii mzito unaweza kubadilishwa Kuwa spika ya kawaida