Heshima kwa kila mdau.Humu ndo sijawai kukosa jibu. Niliagza mzigo ali express. Nimeambatanisha screenshot ya status. Sikuelewa mzgo umeshikiliwa au la.
Mi anwan ni bukoba na sijaambiwa kitu. Sijui pa kuanzia maana nauli tu inazid thaman ya bidhaa niloagiza. Je umelitatua la kwako? Kivip? Je Posta ya nilipo wana msaada wa correspondences?Hii issue hata mimi imenitokea mwezi huu,nadhani kuna kitu hakiko sawa;
mimi nipo morogoro,ila naambiwa niende posta mpya dar;
yaani hapo anwani imewekwa ya Dar,huku morogoro mzigo haupo;
Mi anwan ni bukoba na sijaambiwa kitu. Sijui pa kuanzia maana nauli tu inazid thaman ya bidhaa niloagiza. Je umelitatua la kwako? Kivip? Je Posta ya nilipo wana msaada wa correspondences?