Jina: Ismail
Umri: Miaka 29
Uraia: Mtanzania (kwa sasa naishi Zambia)
Kazi: Dereva wa magari makubwa, pia nina ujuzi wa kompyuta na teknolojia
Dini: Muislamu
Tabia: Mpole, mcha Mungu, muwazi, msikivu, sina anasa, ninathamini mawasiliano ya kweli na uaminifu.
Hobies: Kusafiri, kusoma, muziki, na...