A
Anonymous
Guest
🚍 KERO MWENDOKASI MBAGALA
1. Mfumo wa kupanda 🚫
Mwendo kasi za Mbagala hairuhusiwi kugeuza. Ukifika mwisho, lazima ushuke halafu upange mstari upya ili upate siti.
👉 Hii inalazimisha baadhi ya watu kulipa nauli mara mbili, hasa wazee na wenye changamoto za kusimama muda mrefu.
2. Nauli iko juu 💸
Nauli za mwendo kasi bado ni kubwa ukilinganisha na umbali wa safari.
👉 Tukizingatia mabasi yanatumia CNG na ni mradi wa serikali, wananchi wanategemea nafuu zaidi.
3. Kuondoa daladala = kuongeza kero ❗
Kuondoa daladala kumeongeza changamoto kwa wananchi:
👉 Nauli ya daladala ni nafuu zaidi
👉 Hakuna limit kubwa ya mizigo
👉 Mchana nauli hupungua
👉 Ilikuwa option mbadala muhimu kwa watu wengi
4. Usumbufu wa foleni Ilala 🚗
Mofat imeshindwa kudhibiti matumizi ya njia ya Ilala.
👉 Magari mengine yanaingia kwenye njia za mwendo kasi na kusababisha foleni kubwa, huduma inapoteza maana yake.
5. Express hazieleweki ❓
Express za Ilala Boma hazieleweki vituo vyake rasmi, tofauti na Kivukoni na Gerezani.
👉 Hii inaleta mkanganyiko kwa abiria, hasa wanaotoka Mbagala kwenda Ilala.
1. Mfumo wa kupanda 🚫
Mwendo kasi za Mbagala hairuhusiwi kugeuza. Ukifika mwisho, lazima ushuke halafu upange mstari upya ili upate siti.
👉 Hii inalazimisha baadhi ya watu kulipa nauli mara mbili, hasa wazee na wenye changamoto za kusimama muda mrefu.
2. Nauli iko juu 💸
Nauli za mwendo kasi bado ni kubwa ukilinganisha na umbali wa safari.
👉 Tukizingatia mabasi yanatumia CNG na ni mradi wa serikali, wananchi wanategemea nafuu zaidi.
3. Kuondoa daladala = kuongeza kero ❗
Kuondoa daladala kumeongeza changamoto kwa wananchi:
👉 Nauli ya daladala ni nafuu zaidi
👉 Hakuna limit kubwa ya mizigo
👉 Mchana nauli hupungua
👉 Ilikuwa option mbadala muhimu kwa watu wengi
4. Usumbufu wa foleni Ilala 🚗
Mofat imeshindwa kudhibiti matumizi ya njia ya Ilala.
👉 Magari mengine yanaingia kwenye njia za mwendo kasi na kusababisha foleni kubwa, huduma inapoteza maana yake.
5. Express hazieleweki ❓
Express za Ilala Boma hazieleweki vituo vyake rasmi, tofauti na Kivukoni na Gerezani.
👉 Hii inaleta mkanganyiko kwa abiria, hasa wanaotoka Mbagala kwenda Ilala.