mwarabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Tucopy na kupaste sample ya IGA ya UK (Muingereza) na UAE (Mwarabu) katika uwekezaji, japo ni ya mwaka 1992, lakini inafundisha uzalendo kwa nchi zao

    Mheshimiwa Mkuu wa Morogoro Adam Malima ametuasa kwa upendo mkubwa sana kuwa katika suala la mikataba hawa waarabu ( jamaa ) sio wajomba zetu, binafsi nimesoma IGA ya ushirikiano katika uwekezaji kati ya UK na UAE, nimegundua waarabu wako serious wanapokutana na nchi zilizo serious na...
  2. kipara kipya

    Sakata la bandari CCM na Serikali yake inapaswa kubeba lawama

    Mjadala unashika kasi na uliopo kwenye masikio ya watu ni kuhusu bandari yetu kuibinafsisha kwa wamanga wa dubai. Mpaka muda huu kila mmoja anakuja na lake,ghafla bandari wakakurupuka kukanusha kuhusu hiyo habari bila kuweka vielelezo vya hayo wanayokanusha ,pili bandari unakanushaje nawe sio...
  3. Kipenzi Changu

    Mwarabu mwingine apewa mkataba wa kufanya utafiti, kazi ambayo ingefanywa na wataalamu wetu

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kampuni ya TAQA ya nchini Misri wamefikia makubaliano ya kushirikiana katika kufanya utafiti na kuangalia masoko ya gesi asilia katika Mkoa wa Dar es Salaam. Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi wa Idara ya Biashara ya Mafuta na Gesi kutoka...
  4. Nyendo

    PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

    Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World...
  5. Mwande na Mndewa

    MoU zote 30 zilizosainiwa Dubai ziwekwe wazi Watanganyika wazisome,tusije kulala uchi kwa Mwarabu.

    Uaminifu umepungua kabisa kwa huyu Mama,na inawezekana amesaini mabaya zaidi,hivyo basi kabla ya kuendelea mbele MoU zote zilizosainiwa Dubai ziwekwe wazi, inawezekana tumeuzwa kama mbuzi ndani ya gunia.
  6. EINSTEIN112

    Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

    Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano. Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo. Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha...
  7. mdukuzi

    Mkilazimisha kumleta Mwarabu bandarini tutamfanyia hujuma kana tulivyomfanyia Dangote na Nakumat

    Dangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania. Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake. Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau. Sisi ni...
  8. comte

    Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

    Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia...
  9. S

    Rwanda kujengwa bandari kavu kwa ajili ya mzigo wa DP World, Kagame nae anaiuza nchi Rwanda kwa Mwarabu?

    Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai. Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka...
  10. F

    Nyie Wabunge wetu Hayati Dr.Magufuli aliwahi kusema Watanzania si Wajinga! Tumepigwa na Mwarabu!

    Ebu tuelezeni kwa nini uwekezaji au ubinafsishaji wa DP World kupitia Serikali ya Dubai uwekewe fensi kupitia Azimio la Bunge!? Ikitokea Watanzania haturidhiki na kazi za DP World, je Bunge litakaa tena kuondoa Azimio la Bunge kuridhia makubaliano haya! Wabunge mmekazana huu si mkataba wa kazi...
  11. Nyankurungu2020

    Gerson Msigwa kama ishu ni kuongeza ufanisi wa kupitisha tani elfu 58 ni lazima mwarabu awekeze? Sisi kama taifa hatuwezi kuboresha?

    Acha upumbavu. Sisi hatuwezi kuwekeza mitambo na kuwapa utalaamu watanzania?
  12. MURUSI

    Wale Wamasai walio Hamishwa Ngorongoro ilikuwa ni trela, Mwarabu anaitaka sana Ngorongoro

    Uhamisho wa Wamasai tarafa ya Ngorongoro ilikuwa ni trela kwa sababu Mwarabua anaitaka sana ikibidi Loliondo nzima kwa ajili ya Utalii wa uwindaji na utalii wa Picha. Kuna hitajika Wamasai 300, 000+ wahame Ngorongoro kupisga utalii wa Picha na uwindaji. Kumbuka walio hamishiwa Handeni ni...
  13. Dr Matola PhD

    Asanteni sana mashujaa wetu Yanga, Wananchi hatuna cha kuwadai, cha msingi tumemkanda Mwarabu kwao

    Waarabu walicheza mbele ya mashabiki wao full house, viongozi wote wa CAF wakiwa uwanjani kushuhudia fainali Yanga imemkanda Mwarabu kwao na aggregate ni 2-2, Waarabu wananufaika na kanuni za mashindano, Ulaya hakuna upumbavu huu kwa level ya fainali. Sisi wananchi hatuna la kuwadai mashujaa...
  14. Expensive life

    Hivi kweli wanayanga leo mlikuwa na Matumaini ya kuchukua Kombe kwenye ardhi ya Mwarabu?

    Wale jamaa wana kila mbinu za kuhakikisha kombe linabakia kwenye ardhi yao, week ikiyopita nikiandika hapa mkanibeza. Yale mafataki yalikuwa yanapigwa kwa vipindi maalumu siyo kama sisi tunavyoyapigaga hapa kiholela. Ratiba ya mafataki ilikuwa kama ifiatavyo; 1. Hotelini walipofikia Yanga. 2...
  15. EvilSpirit

    Hivi huyu mama Mwarabu bado yupo Mabibo Hostel?

    Enzi zetu tukiwa Mabibo Hostel kuna mama alikuwa maarufu sana eneo lile alokuwa ana.mgahawa wake maeneo yale ambao ulikuwepo njia ya kuelekea geti la Hostel za mabibo alikuwa anaitwa mama mwarabu kwenye mgahawa wake hakuna kitafunwa ambacho kilikuwa kinakosekana pale yeye alikuwa hauzi ubwabwa...
  16. Expensive life

    Niliandika hapa na ninaandika tena hakuna kisokolokwinyo chochote kinachoweza kuchukua kombe kwenye ardhi ya mwarabu.

    Mwarabu hajawahi kuwa ndezi kwenye vitu serious, eti tunaenda kumfunga kwake 🤣🤣🤣
  17. N

    Ali Kamwe: Simba njooni tuwafundishe kumfunga mwarabu taifa

    Msemaji wa Yanga aliongea maneno hayo baada ya kumfunga US MONASTIRIE pale kwa Mkapa
  18. GENTAMYCINE

    Tatizo siyo kuroga Mvua kubwa inyeshe Mwarabu afe. Je, una Wachezaji wa kucheza katika Madimbwi na Matope?

    Kama jibu ni ndiyo basi GENTAMYCINE nichukue nafasi hii kuwatakia kila la kheri ila kama Kawaida (kwa Unafiki Wetu tuliobarikiwa nao) Mdomoni naungana nanyi Waswahil, ila Moyoni nipo na Mwarabu ninayemuamini.
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

    MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII" Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari? Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa. Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana...
  20. menny terry

    Kwanini mikoa iliyotawaliwa na Mwarabu watu wake ni wavivu balaa?

    Wakuu habari zenu, Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi. Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo...
Back
Top Bottom