Rwanda kujengwa bandari kavu kwa ajili ya mzigo wa DP World, Kagame nae anaiuza nchi Rwanda kwa Mwarabu?

Steven Joel Ntamusano

JF-Expert Member
Jun 17, 2023
2,951
1,993
Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai.

Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka 2010 katikati. Ujenzi wa Reli yetu kwa kiwango cha SGR ni sehemu ya serikali ya JPM kujiweka tayari kwa ajili ya kupitisha mzigo unaotoka DRC na Rwanda na unaoelekea katika nchi hizo ukitokea katika bandari ya Dar.

Zipo tuhuma nyingi sana zinazopandikizwa na wanasiasa wenye kuvizia urais wa 2025 na 2030, wao wanachukulia giza ya ubaguzi dhidi ya wazanzibari kuwa ni nyepesi tu hawajiulizi juu ya madhara ya kudumu ya ubaguzi huo!.

Hawajiulizi juu ya chuki wanayoitengeneza dhidi ya watanzania wenzao kwa kigezo tu cha biashara hii ya DP World.

Iwapo wanasema kuwa Samia ameuza nchi kwa waarabu, vipi kuhusu Paul Kagame wa Rwanda aliyemaliza kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji wao, na yeye kauiza Rwanda kwa waarabu?.

Kagame aliyeipigania Rwanda huko msituni akipoteza maelfu ya wanajeshi vitani, anaweza kweli kuja kuiuza nchi yake kwa pesa ya mwarabu?.

Watanzania wenzangu tusikubali kushikiwa akili, na kuchezewa vichwani kama watoto wa miaka mitano. Hakuna mwenye nia wala lengo la kuiuza nchi. Na hao waarabu waache kununua nchi kama Somalia, Sudan na Eritrea zenye utajiri mwingi wa mafuta na madini eti aje kuinunua Tanzania!.

Tupunguze uoga huu ni muda wa kukubali kupokea changamoto mpya za utendaji kazi pale bandarini. Ni muda wa kuondokana na matumizi mengi ya kazi za karatasi zinazochanika na kupotea na kukubaliana na utendaji wa kidigitali wenye tija nyingi ndani ya muda mfupi wa kazi.

Ikiwa Samia anatuuza kwa waarabu ambao ni wajomba zake, vipi kuhusu Kagame na yeye anaiuza Rwanda kwa mwarabu huyo huyo?.

Ni huyu huyu Kagame aliyeisaini mkataba na Arsenal wa mapesa mengi na leo hii dunia nzima inakaribishwa Rwanda kwa maneno tu yanayokuwa mgongoni mwa jezi ya Lionel Messi na Neymar. Kila wanapovaa jezi ya PSG, dunia nzima inakaribishwa Rwanda kupitia matangazo ya umeme yanayokatiza kwenye kioo cha runinga kila mechi ya Arsenal inapochezwa pale Emirates.

Tunahitaji sana marais wenye maono na wanaosimamia kile wanachokiamini mfano wa Paul Kagame, ambaye hatakuwa na muda wa kusikiliza kelele za wajuaji na wajinga wenye kushikiwa akili zao na wanasiasa wenye malengo yao ya kibinafsi.
 
..Rwanda sio Tanganyika / Tanzania.

..Sio kila lenye tija kwa Kagame / Rwanda litakuwa na tija kwa Tanganyika / Tanzania.

..Tulishamuiga Kagame kununua ndege, na sote tunajua hasara tuliyoingia.
 
Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai.

Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka 2010 katikati. Ujenzi wa Reli yetu kwa kiwango cha SGR ni sehemu ya serikali ya JPM kujiweka tayari kwa ajili ya kupitisha mzigo unaotoka DRC na Rwanda na unaoelekea katika nchi hizo ukitokea katika bandari ya Dar.

Zipo tuhuma nyingi sana zinazopandikizwa na wanasiasa wenye kuvizia urais wa 2025 na 2030, wao wanachukulia giza ya ubaguzi dhidi ya wazanzibari kuwa ni nyepesi tu hawajiulizi juu ya madhara ya kudumu ya ubaguzi huo!.

Hawajiulizi juu ya chuki wanayoitengeneza dhidi ya watanzania wenzao kwa kigezo tu cha biashara hii ya DP World.

Iwapo wanasema kuwa Samia ameuza nchi kwa waarabu, vipi kuhusu Paul Kagame wa Rwanda aliyemaliza kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji wao, na yeye kauiza Rwanda kwa waarabu?.

Kagame aliyeipigania Rwanda huko msituni akipoteza maelfu ya wanajeshi vitani, anaweza kweli kuja kuiuza nchi yake kwa pesa ya mwarabu?.

Watanzania wenzangu tusikubali kushikiwa akili, na kuchezewa vichwani kama watoto wa miaka mitano. Hakuna mwenye nia wala lengo la kuiuza nchi. Na hao waarabu waache kununua nchi kama Somalia, Sudan na Eritrea zenye utajiri mwingi wa mafuta na madini eti aje kuinunua Tanzania!.

Tupunguze uoga huu ni muda wa kukubali kupokea changamoto mpya za utendaji kazi pale bandarini. Ni muda wa kuondokana na matumizi mengi ya kazi za karatasi zinazochanika na kupotea na kukubaliana na utendaji wa kidigitali wenye tija nyingi ndani ya muda mfupi wa kazi.

Ikiwa Samia anatuuza kwa waarabu ambao ni wajomba zake, vipi kuhusu Kagame na yeye anaiuza Rwanda kwa mwarabu huyo huyo?.

Ni huyu huyu Kagame aliyeisaini mkataba na Arsenal wa mapesa mengi na leo hii dunia nzima inakaribishwa Rwanda kwa maneno tu yanayokuwa mgongoni mwa jezi ya Lionel Messi na Neymar. Kila wanapovaa jezi ya PSG, dunia nzima inakaribishwa Rwanda kupitia matangazo ya umeme yanayokatiza kwenye kioo cha runinga kila mechi ya Arsenal inapochezwa pale Emirates.

Tunahitaji sana marais wenye maono na wanaosimamia kile wanachokiamini mfano wa Paul Kagame, ambaye hatakuwa na muda wa kusikiliza kelele za wajuaji na wajinga wenye kushikiwa akili zao na wanasiasa wenye malengo yao ya kibinafsi.

Hujui hata unachoandika. Hivi unadhani mtu akikufanyia utapeli wewe anamtapeli kila mtu?

Kagame ni clever dictator, DP hawezi kupeleka mkataba wa kishenzi Rwanda kama aliouleta huku kwetu.

Umesikia kuna mbunge yeyote wa Rwanda alipewa dola 50,000; V8 na nyumba, kama walivyofanyiwa akina Musukuma?
 
Hauelewi kabisa kinachoendelea, hata kuunganisha mambo kwako ni ngumu inaekekea, …
 
Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai.

Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka 2010 katikati. Ujenzi wa Reli yetu kwa kiwango cha SGR ni sehemu ya serikali ya JPM kujiweka tayari kwa ajili ya kupitisha mzigo unaotoka DRC na Rwanda na unaoelekea katika nchi hizo ukitokea katika bandari ya Dar.

Zipo tuhuma nyingi sana zinazopandikizwa na wanasiasa wenye kuvizia urais wa 2025 na 2030, wao wanachukulia giza ya ubaguzi dhidi ya wazanzibari kuwa ni nyepesi tu hawajiulizi juu ya madhara ya kudumu ya ubaguzi huo!.

Hawajiulizi juu ya chuki wanayoitengeneza dhidi ya watanzania wenzao kwa kigezo tu cha biashara hii ya DP World.

Iwapo wanasema kuwa Samia ameuza nchi kwa waarabu, vipi kuhusu Paul Kagame wa Rwanda aliyemaliza kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji wao, na yeye kauiza Rwanda kwa waarabu?.

Kagame aliyeipigania Rwanda huko msituni akipoteza maelfu ya wanajeshi vitani, anaweza kweli kuja kuiuza nchi yake kwa pesa ya mwarabu?.

Watanzania wenzangu tusikubali kushikiwa akili, na kuchezewa vichwani kama watoto wa miaka mitano. Hakuna mwenye nia wala lengo la kuiuza nchi. Na hao waarabu waache kununua nchi kama Somalia, Sudan na Eritrea zenye utajiri mwingi wa mafuta na madini eti aje kuinunua Tanzania!.

Tupunguze uoga huu ni muda wa kukubali kupokea changamoto mpya za utendaji kazi pale bandarini. Ni muda wa kuondokana na matumizi mengi ya kazi za karatasi zinazochanika na kupotea na kukubaliana na utendaji wa kidigitali wenye tija nyingi ndani ya muda mfupi wa kazi.

Ikiwa Samia anatuuza kwa waarabu ambao ni wajomba zake, vipi kuhusu Kagame na yeye anaiuza Rwanda kwa mwarabu huyo huyo?.

Ni huyu huyu Kagame aliyeisaini mkataba na Arsenal wa mapesa mengi na leo hii dunia nzima inakaribishwa Rwanda kwa maneno tu yanayokuwa mgongoni mwa jezi ya Lionel Messi na Neymar. Kila wanapovaa jezi ya PSG, dunia nzima inakaribishwa Rwanda kupitia matangazo ya umeme yanayokatiza kwenye kioo cha runinga kila mechi ya Arsenal inapochezwa pale Emirates.

Tunahitaji sana marais wenye maono na wanaosimamia kile wanachokiamini mfano wa Paul Kagame, ambaye hatakuwa na muda wa kusikiliza kelele za wajuaji na wajinga wenye kushikiwa akili zao na wanasiasa wenye malengo yao ya kibinafsi.
Kwa hiyo Rwanda akimpa DP World nafasi ya uwekezaji ndio URT nayo ifanye hivyo?
Nadhani suala ambalo chawa wengi hawaelewi ni kuwa kuingia mkataba na DP World sio suala baya bali ubaya upo kwenye terms au vipengele vya mkataba.
Hata kama anawekeza mzawa lazima vipengele vya mkataba vibebe maslahi mapana ya Taifa.
 
Ipo video inatembea Youtube inayoonyesha namna serikali ya Rwanda ilivyofungua bandari kavu tayari kwa ajili ya mzigo wa DP World. Tayari kwa ajili ya biashara ya kuweka mzigo unaokuja bandari ya Dar na kwenda Dubai.

Mwarabu alijipanga siku nyingi sana. Hii ni biashara iliyoanza tangu miaka 2010 katikati. Ujenzi wa Reli yetu kwa kiwango cha SGR ni sehemu ya serikali ya JPM kujiweka tayari kwa ajili ya kupitisha mzigo unaotoka DRC na Rwanda na unaoelekea katika nchi hizo ukitokea katika bandari ya Dar.

Zipo tuhuma nyingi sana zinazopandikizwa na wanasiasa wenye kuvizia urais wa 2025 na 2030, wao wanachukulia giza ya ubaguzi dhidi ya wazanzibari kuwa ni nyepesi tu hawajiulizi juu ya madhara ya kudumu ya ubaguzi huo!.

Hawajiulizi juu ya chuki wanayoitengeneza dhidi ya watanzania wenzao kwa kigezo tu cha biashara hii ya DP World.

Iwapo wanasema kuwa Samia ameuza nchi kwa waarabu, vipi kuhusu Paul Kagame wa Rwanda aliyemaliza kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji wao, na yeye kauiza Rwanda kwa waarabu?.

Kagame aliyeipigania Rwanda huko msituni akipoteza maelfu ya wanajeshi vitani, anaweza kweli kuja kuiuza nchi yake kwa pesa ya mwarabu?.

Watanzania wenzangu tusikubali kushikiwa akili, na kuchezewa vichwani kama watoto wa miaka mitano. Hakuna mwenye nia wala lengo la kuiuza nchi. Na hao waarabu waache kununua nchi kama Somalia, Sudan na Eritrea zenye utajiri mwingi wa mafuta na madini eti aje kuinunua Tanzania!.

Tupunguze uoga huu ni muda wa kukubali kupokea changamoto mpya za utendaji kazi pale bandarini. Ni muda wa kuondokana na matumizi mengi ya kazi za karatasi zinazochanika na kupotea na kukubaliana na utendaji wa kidigitali wenye tija nyingi ndani ya muda mfupi wa kazi.

Ikiwa Samia anatuuza kwa waarabu ambao ni wajomba zake, vipi kuhusu Kagame na yeye anaiuza Rwanda kwa mwarabu huyo huyo?.

Ni huyu huyu Kagame aliyeisaini mkataba na Arsenal wa mapesa mengi na leo hii dunia nzima inakaribishwa Rwanda kwa maneno tu yanayokuwa mgongoni mwa jezi ya Lionel Messi na Neymar. Kila wanapovaa jezi ya PSG, dunia nzima inakaribishwa Rwanda kupitia matangazo ya umeme yanayokatiza kwenye kioo cha runinga kila mechi ya Arsenal inapochezwa pale Emirates.

Tunahitaji sana marais wenye maono na wanaosimamia kile wanachokiamini mfano wa Paul Kagame, ambaye hatakuwa na muda wa kusikiliza kelele za wajuaji na wajinga wenye kushikiwa akili zao na wanasiasa wenye malengo yao ya kibinafsi.
Kwani Kagame wako ana tofauti gani na wezi wengine walioko madarakani? Ni suala la muda huo unaoonekana kama muujiza wake ukweli na uchafu wake vitawekwa hadharani.
 
Kwa hiyo Rwanda akimpa DP World nafasi ya uwekezaji ndio URT nayo ifanye hivyo?
Nadhani suala ambalo chawa wengi hawaelewi ni kuwa kuingia mkataba na DP World sio suala baya bali ubaya upo kwenye terms au vipengele vya mkataba.
Hata kama anawekeza mzawa lazima vipengele vya mkataba vibebe maslahi mapana ya Taifa.

..Dp ana bandari kavu Kigali.

..Tanganyika tuna bandari kavu ya kuhudumia mizigo ya Rwanda Isaka.

..Je, Dp akianza kuendesha bandari zote za Tanganyika bandari kavu ya Isaka itasalimika?
 
Hii mijitu haielewi aisee,tumesema mkataba kati ya Tanzania na DP ni wa kipumbavu,hatujasema kuwa dp ni mbaya ila mkataba ni wa hovyo,kuna mtu juzi hapa kaleta story ya dp world na england,kuna mzalendo wa kweli akamwekea hapa hapa mkataba kati ya dp england na dp Tanzania,ni mbingu na ardhi,tapeli anamtapeli mjinga asiyejua,ila when its due to pay bills he pays respectively,mkataba wa dp england unakazia zaidi majukumu ya dp na mipaka yao,mkataba wa dp na tz unakazia kabisa haki za dp ambazo serikali ni lazima ihakikishe dp inazipata,tena bila kikomo,sasa huu mkataba?au utekaji?
 
Kwani hio bandari kavu inamilikiwa na DP world?, au ni mwezi mchanga. Tunaongelea waarabu kumiliki nchi yetu
 
..Rwanda sio Tanganyika / Tanzania.

..Sio kila lenye tija kwa Kagame / Rwanda litakuwa na tija kwa Tanganyika / Tanzania.

..Tulishamuiga Kagame kununua ndege, na sote tunajua hasara tuliyoingia.
Hakuna hasara yoyote kununua ndege. Mkuu Jokakuu tufungue vichwa vyetu tusije kupitwa na huu uwekezaji wa bandari. Ni mpana na wa kisasa unaokwenda kuifungua Nchi yetu kwa ujumla.
 
Hii mijitu haielewi aisee,tumesema mkataba kati ya Tanzania na DP ni wa kipumbavu,hatujasema kuwa dp ni mbaya ila mkataba ni wa hovyo,kuna mtu juzi hapa kaleta story ya dp world na england,kuna mzalendo wa kweli akamwekea hapa hapa mkataba kati ya dp england na dp Tanzania,ni mbingu na ardhi,tapeli anamtapeli mjinga asiyejua,ila when its due to pay bills he pays respectively,mkataba wa dp england unakazia zaidi majukumu ya dp na mipaka yao,mkataba wa dp na tz unakazia kabisa haki za dp ambazo serikali ni lazima ihakikishe dp inazipata,tena bila kikomo,sasa huu mkataba?au utekaji?
Mikataba kati ya DP World na Tanzania ni mingi ule uliokwenda bungeni ni wa jumla tu.

Yenye nguvu ya majadiliano ni ile tutakayoisani katika ngazi ya biashara za bandarini. Ile ya tehama, Usafiri na biashara za aina hiyo ndio sisi tunakuwa na sauti na muda wowote tunaweza kuivunja.

Ni lazima wasajiliwe brela kwanza kabla hawajaanza biashara yoyote yenye baraka ya mkataba utakaozaliwa kibiashara kati ya pande mbili.

Ipo nguvu ya kujaribu kupotosha suala zima la uhusiano wa Tanzania na DP world lakini ukweli wenyewe utajulikana tu.
 
Back
Top Bottom