NAUKUMBUKA MWAKA WA 1957
Alfajir.
Baada ya sala ya Alfajir wengi wetu tukirudi nyumbani kutoka msikitini kitu cha kwanza, Bismillah mkono unakwenda kwenye simu kuangalia kuna ujumbe gani.
Mimi simu yangu kuna program moja hata sijui imeingiaje lakini siichukii kwani hunipa mengi katika yale...