Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
CCM walituambia upinzani wa kupinga kila kitu umekwamisha maendeleo Kati ya 2015 Hadi 2020. Wakaamua kusiwe na uchaguzi kuwe na uchafuzi. Leo hii tunaelekea mwaka mmoja toka wakae wenyewe kwenye kila secta naikiwemo Bungeni. Kwa maoni yako ni kweli wapinzani walikuwa wanawakwamisha au walishakwama kabla hata yakuwaza wanakwamishwa? Je, maendeleo wanayoyahubiri yanazuiwa na wapinzani au yanazuiwa na uwezo wao wa fikra?
Ni sahihi kuona unafilisika ukaanza kuua wanaokua kibiashara ili usionekane unafilisika au Bora ujiweke karibu na wanaokua ili ujifunze na kutumia mbinu zao kudhibiti usifilisike?
Ni sahihi kuona unafilisika ukaanza kuua wanaokua kibiashara ili usionekane unafilisika au Bora ujiweke karibu na wanaokua ili ujifunze na kutumia mbinu zao kudhibiti usifilisike?