musiba

  1. G

    JamiiForums Tanzania Nape amsaliti rasmi Benard Membe

    Salam Salam!. Kitendo cha Nape kwenda kumpigia magoti rais Magufuli, kilichukuliwa kama bahati mbaya lkn hivi karibuni tumeona na kusikia bwana Nape akimsaliti rasmi Mh Membe kwa kitendo chake cha kuwaomba wanaccm wampitishe Magufuli tena hata bila kufuata kanuni na taratibu za chama na nchi...
  2. Singidan

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Jeshi la Polisi lamuita Cyprian Musiba kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa

    Muda huu maeneo ya Dodoma, inasemekana kuwa mtu mmoja anyefahamika Kama mwanaharakati, Cyprian Musiba, amekamatwa na Jeshi la Polisi Jijini humo kwa kosa la Kusambaza hanari ya kutaka kuuliwa katika magazeti bila kuripoti tukio Hilo katika Jeshi la Polisi. ==== Jeshi la Polisi mkoani Dodoma...
  3. StingRay

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari??? Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani...
  4. G

    JamiiForums Tanzania NYARAKA: Mahakama ilivyotupilia mbali mapingamizi ya Cyprian Musiba kwenye Kesi aliyofunguliwa na Membe

    TUWEKE KUMBUKUMBU SAWA ILI WASIJE KUSEMA HATUKUWAAMBIA.NA HIVI NDIVYO MAHAKAMA ILIVYOTUPILIA MBALI MAPINGAMIZI YA CYPRIAN MUSIBA KWENYE KESI ALIYOFUNGULIWA NA MH.BERNARD MEMBE.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Mapingamizi ya Musiba kwenye kesi yake dhidi ya Membe, yatupwa!

    Kesi ya Bernad Membe dhidi ya Musiba kusikilizwa tar 31 Machi, 2020 hii ni baada ya mapingamizi ya awali yaliyokuwa yamewasilishwa na Musiba na wenzake kutupwa na Mahakama Kuu. Leo tar 27 Desemba, 2019 Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi dhidi ya mapingamizi matatu yaliyokuwa...
  6. dubu

    JamiiForums Tanzania Watu wote Waliotajwa na Musiba kwamba wanamkosoa Magufuli Wameshatekwa, je nani anahusika

    Wakuu salaam. Watu wanao daiwa kumkosoa rais Magufuli wanakamatwa kama magaidi huku wanao wakamata wakiwa na uchu wa kuwatoa roho. Kuna mtu anajiita Cyprian Musiba, kipindi cha nyuma alitaja majina ya watu wanaomkosoa rais Magufuli mitandaoni. Au watu wasiounga mkono Juhudi za Serikali ya...
  7. Mystery

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini Baraza Kuu la CCM liliwaita na kutaka kuwahoji akina Membe na kumwacha Musiba?

    Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja Nimesikia kwenye kikao cha baraza kuu la CCM kilichomalizika siku chache zilizopita, huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na...
Back
Top Bottom